Rais wetu anajali sana starehe kuliko maisha ya watu?

Rais wetu anajali sana starehe kuliko maisha ya watu?

Ni mwepesi kutoa pongezi kwa timu za mpira mara tu zinapopata ushindi LAKINI hana wepesi huo kwa watu waliotekwa.

Anaona fahari kutoa zawadi ya fedha kwa timu ya taifa ama Simba na Yanga WAKATI kuna watu wanakufa kwa kukosa tiba mahospitalini kwa kuwa hawana uwezo wa kulipia matibabu (hawana bima).

Anafuja fedha nyingi kuanda tamadha la Kizimkazi badala kuwalipia bima ya afya wazee wote hapa nchini.

View attachment 3192651

Anajua watu lala lala mbaya yeye DP world wanatoa check tu na Abdul anatembeza pesa nyie shabikieni tu🧕
 
  • Thanks
Reactions: G4N
Ni mwepesi kutoa pongezi kwa timu za mpira mara tu zinapopata ushindi LAKINI hana wepesi huo kwa watu waliotekwa.

Anaona fahari kutoa zawadi ya fedha kwa timu ya taifa ama Simba na Yanga WAKATI kuna watu wanakufa kwa kukosa tiba mahospitalini kwa kuwa hawana uwezo wa kulipia matibabu (hawana bima).

Anafuja fedha nyingi kuanda tamadha la Kizimkazi badala kuwalipia bima ya afya wazee wote hapa nchini.

View attachment 3192651
Inaonekana kama ulikuwa umelala na saiv nd unaamka, akili yako haijakaa sawa.
 
COMFORTER OF THE NATION....

Yaani achangie tu misiba ,anapochangia harusi iwe NONGWA ?!! Khaaa BIASES na uonevu huu.....

Mh.Rais yuko sahihi kabisa....
 
Nchi anayotoka watu wanaingia kazini saa 4 asubuhi saa 6 mchana wanaenda kufanya swala saa 8 wanafunga ofisi
 
Nchi anayotoka watu wanaingia kazini saa 4 asubuhi saa 6 mchana wanaenda kufanya swala saa 8 wanafunga ofisi
Yanga na Simba wanapeperusha BENDERA YA NCHI....hili ni jambo la kidiplomasia....

Kule atokako ,wakienda "kufanya swala" hawapeperushi bendera ya nchi...wangefanya hivyo basi "utamaduni wetu" tungemshauri mh.Rais nao awe anawazawadia hata "pongezi"....

#Nchi Kwanza!
 
Back
Top Bottom