Ni mwepesi kutoa pongezi kwa timu za mpira mara tu zinapopata ushindi LAKINI hana wepesi huo kwa watu waliotekwa.
Anaona fahari kutoa zawadi ya fedha kwa timu ya taifa ama Simba na Yanga WAKATI kuna watu wanakufa kwa kukosa tiba mahospitalini kwa kuwa hawana uwezo wa kulipia matibabu (hawana bima).
Anafuja fedha nyingi kuanda tamadha la Kizimkazi badala kuwalipia bima ya afya wazee wote hapa nchini.
View attachment 3192651
Ukifuatilia hiyo post kwenye mtandao wa X kwenye comments utaona jinsi watu wanavyoomba helaNabii Musa kalamba milion MIA MOJA tasilimu mchango wa ujenzi wa kanisa
Inaonekana kama ulikuwa umelala na saiv nd unaamka, akili yako haijakaa sawa.Ni mwepesi kutoa pongezi kwa timu za mpira mara tu zinapopata ushindi LAKINI hana wepesi huo kwa watu waliotekwa.
Anaona fahari kutoa zawadi ya fedha kwa timu ya taifa ama Simba na Yanga WAKATI kuna watu wanakufa kwa kukosa tiba mahospitalini kwa kuwa hawana uwezo wa kulipia matibabu (hawana bima).
Anafuja fedha nyingi kuanda tamadha la Kizimkazi badala kuwalipia bima ya afya wazee wote hapa nchini.
View attachment 3192651
Pastor Tony, Mwamposa hawakutosha? Wanafanya uwekezaji mkubwaNabii Musa kalamba milion MIA MOJA tasilimu mchango wa ujenzi wa kanisa
Yanga na Simba wanapeperusha BENDERA YA NCHI....hili ni jambo la kidiplomasia....Nchi anayotoka watu wanaingia kazini saa 4 asubuhi saa 6 mchana wanaenda kufanya swala saa 8 wanafunga ofisi