- Thread starter
- #241
Wewe ndio huelewi, model ya M23 na Alshabaab ni sawa kabisa, wote wanalo jeshi lenye uniform na vikosi kamili, wote huteka na kutawala maeneo, tofauti ni kwamba Alshabaab wakati Fulani hutumia wapiganaji wa kujitoa muanga, lakini hiyo sio tatizo Kama jeshi ni imara katika(military intelligence)
Unatishika na nguo ambazo huvaa wakati wanapiga picha baadae huvua na kuvaa kanzu na kujichanganya na raia ili wasipatikane halafu baadae kuvizia mashambulizi ya kujitoa muhanga?