Rais William Ruto atuma Jeshi Congo, KDF direct to DRC

Rais William Ruto atuma Jeshi Congo, KDF direct to DRC

Fighting Rebels na armed peacekeeping under that Brigade ina maana wasingekuepo hali ingekua mbaya sana, na labda ingetokea mauaji ya kimberly ambayo dunia haitaki yajirudierudie mara kwa mara. Na hapo ndio utakuta hata wacongoman kwa kutoelewa majukumu ya vikosi hivo wanaanza kurusha tuhuma kwa MONUSCO, sana ambacho watafanya wao ni kushare taarifa za kiintelijensia na jeshi la Congo FARDC halafu wao sasa ndio wanatakiwa waingie front
 
Wameshindwa Somalia, watawaweza M23?
Mkuu KDF as part of African Union Mission in Somalia (AMISOM) wamefanikiwa kwa % kubwa sana kupunguza vitisho vya Alshabab na vikundi vingine vidogo vidogo vya wapiganaji nchini Somalia kutokana na utofauti wa sera za wanasiasa Mogadishu. Mpaka sasa Kenya binafsi ana base 16 ambazo muda wote ziko standby alerted in Somalia. Sasa ukisema KDF Imeshindwa Somalia, watu wa medani tunakushangaa.
Binafsi nampa hongera sana rais wa Kenya kwa kutoa " IT'S A GO" kwa KDF kuwasaidia jeshi la Congo kwenye maeneo yote korofi especially Kivu na Goma.
Najua nafasi tunayoplay TPDF katika kuhakikisha amani ya Congo inakuwa restored
 
This time Mimi natamani wasikimbilie popote pale zipigwe mpk mwisho tuone itakavyokua tu.
Hawawezi vita na nchi yeyote hao mbwa, siku zote huwa wanapigwa na kukimbilia Rwanda na kupewa hifadhi, Rwanda anawapa tena silaha wanarudi msituni, miaka yote ni hivyo, safari hii ni kufanya kama Nyerere alivyofanya kwa Iddi Amini, hata wakikimbilia Rwanda basi wafuatwe huko huko!
 
Mkuu KDF as part of Amison wamefanikiwa kwa % kubwa sana kupunguza vitisho vya Alshabab na vikundi vingine vidogo vidogo vya wapiganaji nchini Somalia kutokana na utofauti wa sera za wanasiasa Mogadishu. Mpaka sasa Kenya binafsi ana base 16 ambazo muda wote ziko standby alerted in Somalia. Sasa ukisema KDF Imeshindwa Somalia, watu wa medani tunakushangaa.
Binafsi nampa hongera sana rais wa Kenya kwa kutoa " IT'S A GO" kwa KDF kuwasaidia jeshi la Congo kwenye maeneo yote korofi especially Kivu na Goma.
Najua nafasi tunayoplay TPDF katika kuhakikisha amani ya Congo inakuwa restored

Umeandika kitu muhimu sana sana kuwadhihaki KDF kwanza ni kutokufahamu nini kinaendelea somalia hadi sasa na AMISOM wanafanya nini pale somalia,
 
Hawawezi vita na nchi yeyote hao mbwa, siku zote huwa wanapigwa na kukimbilia Rwanda na kupewa hifadhi, Rwanda anawapa tena silaha wanarudi msituni, miaka yote ni hivyo, safari hii ni kufanya kama Nyerere alivyofanya kwa Iddi Amini, hata wakikimbilia Rwanda basi wafuatwe huko huko!
Wapigweeeeeeeeeeeee
 
Armed Peacekeeping.
Sio kweli,FIB Ni offensive unit.

'Force Intervention Brigade is specifically tasked to carry out targeted offensive operations to "neutralize and disarm" groups considered a threat to state authority and civilian security.'
 
Jamaa wakiwa wanaandamana unaweza kudhani wako serious Ile kishenziiiiii.Muandamanaji mwingine huyo hapo chini akifanya yake.
Screenshot_20221101-134534.jpg
 
Uganda na Rwanda waungane ili Buffer zone iwepo laa sivyo watashangaa Waasi wa Kihutu wametia timu.

Kagame na Mzee Museveni watembeze kichapo kitakatifu.

KDF wameshafunzwa mbio ndefu.
 
Uganda na Rwanda waungane ili Buffer zone iwepo laa sivyo watashangaa Waasi wa Kihutu wametia timu.

Kagame na Mzee Museveni watembeze kichapo kitakatifu.

KDF wameshafunzwa mbio ndefu.
Waziri wao wa ulinzi alisema RDF Wana battalions na vifaa vingi kwny upande huo wa boarder ya Congo na liko pale Muda mrefu.

Nadhani ktk kitu waasi wa kihutu hawawezi kufanya Ni kujiingiza ndani ya Rwanda maana itakua imepatikana Justification ya kuwaibukia huko huko Congo na kufanya mambo yazidi kua complicated.
 
Uganda na Rwanda waungane ili Buffer zone iwepo laa sivyo watashangaa Waasi wa Kihutu wametia timu.

Kagame na Mzee Museveni watembeze kichapo kitakatifu.

KDF wameshafunzwa mbio ndefu.
Ule mzozo wao ulishapatiwa ufumbuzi ili waungane Sasa?.....hao wote dhaifu kiuchumi hawawezi fadhili Vita za muda mrefu bila kufilisika.
 
Nadhani ktk kitu waasi wa kihutu hawawezi kufanya Ni kujiingiza ndani ya Rwanda maana itakua imepatikana Justification ya kuwaibukia huko huko Congo na kufanya mambo yazidi kua complicated.
Kama ndio hivyo mbona Rwanda haiachi kulalamika kwamba hao waasi ni kitisho kwake?.....kwanini wasiiache Drc ishughulike nao?.
 
Bunge letu halitaarifiwi hizo hela anatoa nani na wakirudi vilema nani anatoa fidia?.

Jeshi letu likienda kimya kimya yakitukuta yale ya Biafra?

Jeshi letu liwe na Baraka za Wananchi kwenye mission yoyote

Hili ndio maana linaitwa JW.
Mwakilishi wa wananchi ndie Amiri jeshi mkuu.
 
Back
Top Bottom