Mzee hata sisi tulienda Biafra yakatukuta pamoja na intelligence mimi naamini Kenya wameingizwa kwenye Trap labda waongee na Kagame kwanza.Subiri uone unadhani intelligence section ya KDF hawajachambua hali ilivo huko wanakoenda? Yaani unahisi wameamka tu na kwenda huko?
Kama kigezo Ni mission za UN,then kwa takwimu za September,2022 Rwanda kwa africa ndio inaongoza kwa kua na wanajeshi wengi Kwny mission za UN na kwa dunia Ni ya 4 nadhani,ikiwa na wanajeshi 5752,Tz Ina 1487,Uganda 647,Burundi 774,Kenya 349.
Je,kwa takwimu hizo zitaifanya Rwanda kua na superior army kulinganisha na Wenzake kwa Sababu ya hizo mission za UN?
Mzee hata sisi tulienda Biafra yakatukuta pamoja na intelligence mimi naamini Kenya wameingizwa kwenye Trap labda waongee na Kagame kwanza.
ππ Na Hio mission naona kama Tz haijaipa shavu kivile,maana mission hii itaongozwa na boss wa KDF.Yule Waziri wa Ulinzi Msomali kamdanya Ruto KDF watauzwa kama njugu wewe ngoja uone.
Maiti za Wajaluo zitakuwa zinapishana kuzikwa.
Hata Uganda yumo na anavikosi vyake vinawatafuta Waasi.Kagame ndio atawashauri nini sasa kwa mfano? Hivi unafahamu hakuna asiyejua uasi ndani ya Congo una mkono wa kigali?
Tozo zetu haziwezi kutumika kumkomboa mtu anaewaza Mziki na Wananawake na kujichubua.Na Hio mission naona kama Tz haijaipa shavu kivile
Tz wkt inapigana na Uganda Nani alikua na budget kubwa na vifaa vya kisasa?Na Nani alishindwa?KDF ina kamandi za Anga, maji na Ardhi, bajeti ya jeshi pekee almost 1 dollar billion, wana vifaa vya kisasa vya kila aina, askari wanaowengi kuliko yeyote east and central africa hivo wala RDF haiwezi kusogea kwa KDF huo ndio ukweli wenyewe
Tukisikia Uuuwwii!! tunavuta shuka.Kenya wamekua na kiherere
Hawa wataenda kuzidisha balaa huko.Chisekedi alikuja Bongo kuomba msaada akatolewa nje.Hayawi hayawi sasa yamekuwa.
Amiri jeshi mkuu wa majeshi ya ulinzi na usalama nchini Kenya mheshimiwa Rais William Ruto mapema leo amekabidhi bendera ya kenya kwa Jeshi kabambe la kenya KDF kwenda kuwaokoa Wacongoman na masaibu ya vita yanayowasumbua.
View attachment 2404964
View attachment 2404965
KDF ni jeshi imara na lenye nguvu ukanda huu wa Afrika Mashariki hii ni safi kwa afya ya jumuiya yetu lazima M23 wafurushwe haraka sana.
Viva KDF Viva KDF.
KDF hata discipline hawanaga wale,yaani wanaenda kuokoa watu kwny mall wanaanza kuiba mikate, Chocolate ππTukisikia Uuuwwii!! tunavuta shuka.
πππππ Wakikusikia wacongo watakumaindi kishenzi ππTozo zetu haziwezi kutumika kumkomboa mtu anaewaza Mziki na Wananawake.
Sasa vita vya kupambana na alshabab ni sawa na vya M23?,mbona jk kipindi kile aliwaweza,lakini jwtz tungewapeleka somalia wasingeweza.Kama viongozi wa EAC wakiamua kwa dhati hiyo M23 inamalizwa kabisa.Wameshindwa Somalia, watawaweza M23?
Na hapohapo Wacongo wanaandamana kumlaani M7 anaesema Yuko huko Congo kupambana na ADF, Burundi nayo iliyochangia jeshi humo Inawatafuta waasi wake wa Red-Tabara.Hata Uganda yumo na anavikosi vyake vinawatafuta Waasi.
Hata leo sisi wana jf tukisema twende DRC kuanzisha vikosi vya uasi wanatupokea tu, halafu Tanzania ikilalamika wanajiona wanaonewaNa hapohapo Wacongo wanaandamana kumlaani M7 anaesema Yuko huko Congo kupambana na ADF, Burundi nayo iliyochangia jeshi humo Inawatafuta waasi wake wa Red-Tabara.
Interesting kiukweli.
Nitawapoza kwa Bia waanze kukatika.πππππ Wakikusikia wacongo watakumaindi kishenzi ππ
KDF ina kamandi za Anga, maji na Ardhi, bajeti ya jeshi pekee almost 1 dollar billion, wana vifaa vya kisasa vya kila aina, askari wanaowengi kuliko yeyote east and central africa hivo wala RDF haiwezi kusogea kwa KDF huo ndio ukweli wenyewe
View attachment 2405167
KDF wajue wanakutana na Mwitu mzito, hata Kifaru hakipenyi, ni mwendo wa mguu tu halafu wakipotea M23 ndio inaenda kupata silaha za bure.
Hahah Sasa wacongo hayo maneno makali ndio hawayataki, wanataka kubembelezana kwa Saana na wapewe maneno laini.Hata leo sisi wana jf tukisema twende DRC kuanzisha vikosi vya uasi wanatupokea tu, halafu Tanzania ikilalamika wanajiona wanaonewa
Very low IQ.