Tony Laurent
JF-Expert Member
- Jan 5, 2011
- 5,606
- 7,032
Moto tayari umeshazimwa na mvua.Raisi samia akabidhi bendera kwa jeshi lika pambane na moto kule kilimanjaro
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Moto tayari umeshazimwa na mvua.Raisi samia akabidhi bendera kwa jeshi lika pambane na moto kule kilimanjaro
[emoji1][emoji1] Na hawa ndio tunaambiwa eti ndio superpower wa kijeshi E/Africa [emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1]
Japo sikubaliani na wewe hapa ila binafsi nampongeza rais Ruto na nawaombea mapambano mema KDF. Tanzania pia tunapaswa kuwaandaa JWTZ kuelekea huko wamtie adabu KagameKDF ni jeshi imara na lenye nguvu ukanda huu wa Afrika Mashariki
😄😄😄Na hivi sasa M7 na Kagame wameelewana Msitu utawaka moto mizinga itakuwa inasikika hadi Ngara😁
Jwtz ipo Congo miaka kibaoRaisi samia akabidhi bendera kwa jeshi lika pambane na moto kule kilimanjaro
😄😄😄
Kagame Nov, 21-22 ana visit Burundi.
Maajabu Sana haya
Ipo huko kitambo snTPDF nayo iende huko, Kagame apingwe kwa namna zote.
Jinsi Uganda inavyosupply jeshi lake Somalia kupitia Kenya , kenya itasupply jeshi lake kupitia Uganda na mseveni akidinda kenya itasupply jeshi lake kupitia Sudan ya kusini.Mtoto wa Museveni alikuwa na hamu na KDF sasa huko Msituni ndio kutamu Wakenya watarudi bila Viatu.
Uganda iwasupply M23 tuone kama DRC na Kenya hawajaanza kulialia.
Nani atawasupply Kenya au wanategemea KenyanAirways?
Bora yule Mzee wa Kijaluo angeshinda uchaguzi Kenya isingeingizwa kwenye Trap kwenda kuua Vijana wake mwituni.
Ile Vita ni Mmarekani ndie anayetumia Drones kuwapiga Magaidi UPDF wao huwa wanapiga picha kujionyesha.Jinsi Uganda inavyosupply jeshi lake Somalia kupitia
Hivi mpo nchi gani!!?? Inamaana hamjui kuwa TPDF ipo Congo miaka mingi nyuma na imefanya operations kibao za kijeshi kwa mafanikio!!?? Tatizo mnashinda mitandaoni kutwa kucha kujadili upumbavu.Msumbiji showdown uliiona? tuzime moto Mlimani mzee...tuwaanchie Nyang'au wakakurupushwe [emoji16][emoji23]
Ile UN Mission ilishaisha na Mwakibolwa alisharudi na Vikosi.TPDF ipo Congo miaka mingi
Sipo huko ko sisemi kitu kwa hayo madai.Ile Vita ni Mmarekani ndie anayetumia Drones kuwapiga Magaidi UPDF wao huwa wanapiga picha kujionyesha.
Rutto anapeleka Vijana kama Mifugo kwenda kuchinjwa Mwituni?, very sad.Sipo huko ko sisemi kitu kwa hayo madai.
Jipeleke mwenyewe kituoni ha ha aaaaRaisi samia akabidhi bendera kwa jeshi lika pambane na moto kule kilimanjaro
Bora umesema ukweli Amerika alikuwa anatembea Somalia mile milioni moja angani na drone zake alivyoona mambo Moto akasandaWabongo tuna maneno mengi.
Somalia walimdunda hata US na ma black hawk yake wakayaangusha akaondoa jeshi.
Hivi mpo nchi gani!!?? Inamaana hamjui kuwa TPDF ipo Congo miaka mingi nyuma na imefanya operations kibao za kijeshi kwa mafanikio!!?? Tatizo mnashinda mitandaoni kutwa kucha kujadili upumbavu.