Frumence M Kyauke
JF-Expert Member
- Aug 30, 2021
- 630
- 1,262
Raisi ni cheo kikubwa sana kinachotawala nchi yeyote duniani hapa
Majukumu ya Raisi ni mazito sana kwasababu anatawala nchi yote kwa ujumla na kuhakikisha kila jambo linakwenda kwa usahihi kama katiba inavyo ongoza.
Inapotokea Raisi ametingwa basi wananchi wakati mwingine wajaribu kuelewa kwamba Raisi ni binadamu kama wao.
Ukweli ni kwamba hakuna Raisi yeyote hapa duniani ataacha kulaumiwa hii ni kwasababu anaongoza watu wa aina mbili:
(1) Watu wanaotoka ngome ya Mungu
(2) Watu wanaotoka ngome ya Shetani
Kulingana na upinzani huu malalamiko hayatakosekana kamwe
Hali kadhalika tukirejelea hotuba za Baba wa Taifa Mwl Nyerere amekuwa mstari wa mbele kupinga udini na ukabila kwasababu tayari huu ni upinzani ili kujenga Taifa njia pekee ni kuunganisha wananchi kuwa wamoja.
Hivyobasi, tuwaombee maraisi wetu waweze kuunganisha wananchi na kuwa familia moja yenye upendo na amani kazi ambayo ni ngumu sana wakati mwingine inaweza kugharimu maisha.
Kuwa jamii moja hii ndio njia pekee ya kujenga Taifa.
Majukumu ya Raisi ni mazito sana kwasababu anatawala nchi yote kwa ujumla na kuhakikisha kila jambo linakwenda kwa usahihi kama katiba inavyo ongoza.
Inapotokea Raisi ametingwa basi wananchi wakati mwingine wajaribu kuelewa kwamba Raisi ni binadamu kama wao.
Ukweli ni kwamba hakuna Raisi yeyote hapa duniani ataacha kulaumiwa hii ni kwasababu anaongoza watu wa aina mbili:
(1) Watu wanaotoka ngome ya Mungu
(2) Watu wanaotoka ngome ya Shetani
Kulingana na upinzani huu malalamiko hayatakosekana kamwe
Hali kadhalika tukirejelea hotuba za Baba wa Taifa Mwl Nyerere amekuwa mstari wa mbele kupinga udini na ukabila kwasababu tayari huu ni upinzani ili kujenga Taifa njia pekee ni kuunganisha wananchi kuwa wamoja.
Hivyobasi, tuwaombee maraisi wetu waweze kuunganisha wananchi na kuwa familia moja yenye upendo na amani kazi ambayo ni ngumu sana wakati mwingine inaweza kugharimu maisha.
Kuwa jamii moja hii ndio njia pekee ya kujenga Taifa.