Rais yeyote yule ana Majukumu mazito sana wananchi tuungane kuwaombea marais wetu

Rais yeyote yule ana Majukumu mazito sana wananchi tuungane kuwaombea marais wetu

Kwa hiyo unaishi kwa hisani ya Rais na siyo kwa sheria na taratibu? we muombe na familia yako mimi kwangu ni marufuku kuombea mtu nisiyemjua wala hana wafaida kwenye maisha yangu.
Ni jambo gani linalokukera kwasababu raisi ana mchango mkubwa sana usioweza kuhesabika
 
Ni jambo gani linalokukera kwasababu raisi ana mchango mkubwa sana usioweza kuhesabika
Hajanikera wala sina tatizo naye lakini usinilazimishe kumuombea kama vile pale anajitolea na wakati analipwa kwa kila kitu, kwanini nisimuombe Yesu ambaye ni mtenda haki?
 
Ni jambo gani linalokukera kwasababu raisi ana mchango mkubwa sana usioweza kuhesabika
Hajanikera wala sina tatizo naye lakini usinilazimishe kumuombea kama vile pale anajitolea na wakati analipwa kwa kila kitu, kwanini nisimuombe Yesu ambaye ni mtenda haki?
 
Hajanikera wala sina tatizo naye lakini usinilazimishe kumuombea kama vile pale anajitolea na wakati analipwa kwa kila kitu, kwanini nisimuombe Yesu ambaye ni mtenda haki?
Sawa, sasa tumeweza kuelewa kuwa maana yako kubwa ni kwamba unashauri kumsadiki Yesu mtenda haki, ni jambo jema sana 🤝
 
Kwa hiyo issue siyo kuongoz kwa kufuata katiba, sheria na taratibu isipokuwa ni kwa maombi? mimi sina huo muda wa kuombea mtu ambaye hanihusu nikaacha familia yangu ambayo itanisaidia hata nikipata matatizo, kufa leo uone kama atafika hata kwenye msiba wako pamoja na maombi yako.
Nani kasema habari za kutofuata sheria na katiba?
 
Rais Ukicheza na HAKI za watu wako Islael anapita na wewe, mifano ipo hai.
Mkuu watu wasipopendezewa na unayoyatenda Juu yao kuna sala za aina mbili. Hata Wayahudi walifunga na kuomba sala mojawapo ya hizo. Akasome Matendo ya Mitume (Acts) 23:12.
 
Raisi ni cheo kikubwa sana kinachotawala nchi yeyote duniani hapa

Majukumu ya Raisi ni mazito sana kwasababu anatawala nchi yote kwa ujumla na kuhakikisha kila jambo linakwenda kwa usahihi kama katiba inavyo ongoza.

Inapotokea Raisi ametingwa basi wananchi wakati mwingine wajaribu kuelewa kwamba Raisi ni binadamu kama wao.

Ukweli ni kwamba hakuna Raisi yeyote hapa duniani ataacha kulaumiwa hii ni kwasababu anaongoza watu wa aina mbili:

(1) Watu wanaotoka ngome ya Mungu
(2) Watu wanaotoka ngome ya Shetani

Kulingana na upinzani huu malalamiko hayatakosekana kamwe

Hali kadhalika tukirejelea hotuba za Baba wa Taifa Mwl Nyerere amekuwa mstari wa mbele kupinga udini na ukabila kwasababu tayari huu ni upinzani ili kujenga Taifa njia pekee ni kuunganisha wananchi kuwa wamoja.

Hivyobasi, tuwaombee maraisi wetu waweze kuunganisha wananchi na kuwa familia moja yenye upendo na amani kazi ambayo ni ngumu sana wakati mwingine inaweza kugharimu maisha.

Kuwa jamii moja hii ndio njia pekee ya kujenga Taifa.


Unaombeaje rais aliyeko madarakani kwa wizi wa kura?
 
Raisi ni cheo kikubwa sana kinachotawala nchi yeyote duniani hapa

Majukumu ya Raisi ni mazito sana kwasababu anatawala nchi yote kwa ujumla na kuhakikisha kila jambo linakwenda kwa usahihi kama katiba inavyo ongoza.

Inapotokea Raisi ametingwa basi wananchi wakati mwingine wajaribu kuelewa kwamba Raisi ni binadamu kama wao.

Ukweli ni kwamba hakuna Raisi yeyote hapa duniani ataacha kulaumiwa hii ni kwasababu anaongoza watu wa aina mbili:

(1) Watu wanaotoka ngome ya Mungu
(2) Watu wanaotoka ngome ya Shetani

Kulingana na upinzani huu malalamiko hayatakosekana kamwe

Hali kadhalika tukirejelea hotuba za Baba wa Taifa Mwl Nyerere amekuwa mstari wa mbele kupinga udini na ukabila kwasababu tayari huu ni upinzani ili kujenga Taifa njia pekee ni kuunganisha wananchi kuwa wamoja.

Hivyobasi, tuwaombee maraisi wetu waweze kuunganisha wananchi na kuwa familia moja yenye upendo na amani kazi ambayo ni ngumu sana wakati mwingine inaweza kugharimu maisha.

Kuwa jamii moja hii ndio njia pekee ya kujenga Taifa.

Kila mtu ajiombee mwenyewe hata kama watu Kenda mia wakikuombea Huku li nafsi lako lipo kama la pharaoh ni ngumu mno tena sana kupokea Baraka.
 
Raisi ni cheo kikubwa sana kinachotawala nchi yeyote duniani hapa

Majukumu ya Raisi ni mazito sana kwasababu anatawala nchi yote kwa ujumla na kuhakikisha kila jambo linakwenda kwa usahihi kama katiba inavyo ongoza.

Inapotokea Raisi ametingwa basi wananchi wakati mwingine wajaribu kuelewa kwamba Raisi ni binadamu kama wao.

Ukweli ni kwamba hakuna Raisi yeyote hapa duniani ataacha kulaumiwa hii ni kwasababu anaongoza watu wa aina mbili:

(1) Watu wanaotoka ngome ya Mungu
(2) Watu wanaotoka ngome ya Shetani

Kulingana na upinzani huu malalamiko hayatakosekana kamwe

Hali kadhalika tukirejelea hotuba za Baba wa Taifa Mwl Nyerere amekuwa mstari wa mbele kupinga udini na ukabila kwasababu tayari huu ni upinzani ili kujenga Taifa njia pekee ni kuunganisha wananchi kuwa wamoja.

Hivyobasi, tuwaombee maraisi wetu waweze kuunganisha wananchi na kuwa familia moja yenye upendo na amani kazi ambayo ni ngumu sana wakati mwingine inaweza kugharimu maisha.

Kuwa jamii moja hii ndio njia pekee ya kujenga Taifa.

Jiombee wewe na familia yako kwanza. Ya Kaizari Mungu anayajua.

Sent from my SM-G9350 using JamiiForums mobile app
 
Ukweli ni kwamba hakuna Raisi yeyote hapa duniani ataacha kulaumiwa hii ni kwasababu anaongoza watu wa aina mbili:

(1) Watu wanaotoka ngome ya Mungu
(2) Watu wanaotoka ngome ya Shetani
Na kama raisi ametokea ngome ya shetani.Itakuwaje hapo?
 
Back
Top Bottom