Chizi Maarifa
JF-Expert Member
- Jul 29, 2013
- 10,931
- 24,816
Buffer zone ni eneo ambalo ni neutral kati ya mataifa mawili hasimu. Au yaliyo katika vita. Sasa anasemaje kuwa wanataka kuifanya Ukraine iwe Buffer zone?Wewe unayeijua hiyo maana twambie basi maana hapa ni jukwaa huru
Kwani waukraini si wazungu wenzao? Inamaana linapokuja swala la USA interest hawaangalii sura wanakula tu! [emoji848]Ukiwa kibaraka kamwe huwezi kuwa na huruma kwa wananchi wako.
Rais Zelensky ameamua kuwauza wananchi wake kwa Nato bila hata ya huruma.
Nato wamekupatia vifaru,risasi,na mitambo mikubwa ya kuangamiza watu bure.
Je, unaamini hivyo vifaa wanakupatia bureee? Jiandae kuwalipa hao Nato maana hakuna cha bure duniani.
Sasa hivi bila aibu unatembelea nchi wanachama kwa jeuri kabisa huku ukijipiga kifua kuwa unampiga Mrusi kwa silaha za kupewa au kuhongwa ili baadae uwauze wananchi wako.
Hakika Mungu atakulipa kwa huo utumwa wako uliokubali kuuingia ili utimize dhamira na matamanio ya kupata sifa za kijinga.
Mmawia niko paleeee nikishuhudia wana Nato wakikutumia kama taulo la kufutia miguu yao na mikono yao iliyo jaa damu za wananchi wako.
View attachment 2628605
Kawaahidi hata kaa ahangaike na uraisi. Kawaahidi cdm itakuwa inawazuga tu wafuasi wake. Watajifanya wanaweka mpinzani Lkn kishushi tu. pia nao wameomba wasipigwe virungu coz wao Hawana nia ya kweli yakupinganga na lidude sisiemu.Mbowe anawalipa nini CCM waliomtoa Jela?
Ameiuza Chadema????
So, zele kukubali tu kuigeuza nchi yake uwanja wa vita ndio malipo hayo... EeehKuimaliza Russia ilikuwa ni ndoto ya muda mrefu sana ya NATO, Zelensky anatumika kama scapegoat..
Russia was a really threat to the entire regime, power influence and economics to the entire NATO group and their allies.
Labda ungeuliza atawalipa nini maelfu ya raia wake waliopoteza uhai kwa vita isiyo na sababu za msingi kwenye mambo yaliyokuwa yanazungumzika.
Usa wanachotazama ni maslahi yake iwe ya sasa au baadaeKwani waukraini si wazungu wenzao? Inamaana linapokuja swala la USA interest hawaangalii sura wanakula tu! [emoji848]
Nilifikiri hizo mbanga wanatufanyia sisi waafrika na waarabu tu
Kwahiyo kwa kutokuwa na chama chenye nguvu cha upinzani unafaidika nini hapo mzee?Kawaahidi hata kaa ahangaike na uraisi. Kawaahidi cdm itakuwa inawazuga tu wafuasi wake. Watajifanya wanaweka mpinzani Lkn kishushi tu. pia nao wameomba wasipigwe virungu coz wao Hawana nia ya kweli yakupinganga na lidude sisiemu.
Kama Freeman Mbowe alivyoiuza Chadema Kwa samia suluhu hassan kwa vipande 10 vya fedha.Kajamaa kanatia kichefuchefu kwa kuwauza wananchi wake.
Nyinyi ambao sio us colony mna lipi la maana zaidi ya mahangaiko ?south korea, japan na ujerumani ni makoloni ya US.....
Umwamba wake ni kuhakikisha anaimarisha udikteta wake kama Mbowe kwa Chadema ?Hapo mwamba ni North Korea tu na ndiye mshirika mkuu wa Putin na China
Nyinyi wapuuzi mnaojifanya mnajua ndio mmejaa nya vichwani mwenuOngeza scope ya uelewa wako kuna mambo bado hujayaelewa kuhusu hii vita. Urusi hapigani na Ukraine anapigana na USA, EU na NATO
Mtazamo wa Mbowe unapingana na wa Makamu Mwenyekiti wa Chadema.Kawaahidi hata kaa ahangaike na uraisi. Kawaahidi cdm itakuwa inawazuga tu wafuasi wake. Watajifanya wanaweka mpinzani Lkn kishushi tu. pia nao wameomba wasipigwe virungu coz wao Hawana nia ya kweli yakupinganga na lidude sisiemu.
Mimi kama mfuasi wa Chadema, sifurahishwi na maamuzi ya kinafki ya Mwenyekiti.Kuuiuza cdm ndiyo furaha ya wana ccm
[emoji1787][emoji1787][emoji1787] punguza makasirikoNyinyi wapuuzi mnaojifanya mnajua ndio mmejaa nya vichwani mwenu