Rais Zelensky utawalipa nini NATO?

Rais Zelensky utawalipa nini NATO?

Ukiwa kibaraka kamwe huwezi kuwa na huruma kwa wananchi wako.

Rais Zelensky ameamua kuwauza wananchi wake kwa Nato bila hata ya huruma.

Nato wamekupatia vifaru,risasi,na mitambo mikubwa ya kuangamiza watu bure.

Je, unaamini hivyo vifaa wanakupatia bureee? Jiandae kuwalipa hao Nato maana hakuna cha bure duniani.

Sasa hivi bila aibu unatembelea nchi wanachama kwa jeuri kabisa huku ukijipiga kifua kuwa unampiga Mrusi kwa silaha za kupewa au kuhongwa ili baadae uwauze wananchi wako.

Hakika Mungu atakulipa kwa huo utumwa wako uliokubali kuuingia ili utimize dhamira na matamanio ya kupata sifa za kijinga.

Mmawia niko paleeee nikishuhudia wana Nato wakikutumia kama taulo la kufutia miguu yao na mikono yao iliyo jaa damu za wananchi wako.

View attachment 2628605
Kwani waukraini si wazungu wenzao? Inamaana linapokuja swala la USA interest hawaangalii sura wanakula tu! [emoji848]
Nilifikiri hizo mbanga wanatufanyia sisi waafrika na waarabu tu
 
Mbowe anawalipa nini CCM waliomtoa Jela?

Ameiuza Chadema????
Kawaahidi hata kaa ahangaike na uraisi. Kawaahidi cdm itakuwa inawazuga tu wafuasi wake. Watajifanya wanaweka mpinzani Lkn kishushi tu. pia nao wameomba wasipigwe virungu coz wao Hawana nia ya kweli yakupinganga na lidude sisiemu.
 
Kuimaliza Russia ilikuwa ni ndoto ya muda mrefu sana ya NATO, Zelensky anatumika kama scapegoat..

Russia was a really threat to the entire regime, power influence and economics to the entire NATO group and their allies.

Labda ungeuliza atawalipa nini maelfu ya raia wake waliopoteza uhai kwa vita isiyo na sababu za msingi kwenye mambo yaliyokuwa yanazungumzika.
So, zele kukubali tu kuigeuza nchi yake uwanja wa vita ndio malipo hayo... Eeeh
 
Kwani waukraini si wazungu wenzao? Inamaana linapokuja swala la USA interest hawaangalii sura wanakula tu! [emoji848]
Nilifikiri hizo mbanga wanatufanyia sisi waafrika na waarabu tu
Usa wanachotazama ni maslahi yake iwe ya sasa au baadae
 
Kawaahidi hata kaa ahangaike na uraisi. Kawaahidi cdm itakuwa inawazuga tu wafuasi wake. Watajifanya wanaweka mpinzani Lkn kishushi tu. pia nao wameomba wasipigwe virungu coz wao Hawana nia ya kweli yakupinganga na lidude sisiemu.
Kwahiyo kwa kutokuwa na chama chenye nguvu cha upinzani unafaidika nini hapo mzee?
 
Kawaahidi hata kaa ahangaike na uraisi. Kawaahidi cdm itakuwa inawazuga tu wafuasi wake. Watajifanya wanaweka mpinzani Lkn kishushi tu. pia nao wameomba wasipigwe virungu coz wao Hawana nia ya kweli yakupinganga na lidude sisiemu.
Mtazamo wa Mbowe unapingana na wa Makamu Mwenyekiti wa Chadema.
 
Back
Top Bottom