Rais Zelensky wa Ukraine anaweza kuitumbukiza dunia kwenye janga la vita kuu ya dunia

mleta mada unaeleza as if Ukraine ndio ilianzisha vita hivi!
Elewa kuwa vita ya 3 ikitokea aliyesababisha ni Putin na sii vinginevyo!
Uwe unaelewa unachoandika na acha unazi ktk uandishi.
 
kwenye historia unasoma nusu nusu ? sasa hv ataingia huko na utaona shangwe lake., hao waasi ni kama wale wa kibiti JPM alisingewamaliza leo wangekuwa mjin dar Zele alideal nao mpk basha

kwenye historia unasoma nusu nusu ? sasa hv ataingia huko na utaona shangwe lake., hao waasi ni kama wale wa kibiti JPM alisingewamaliza leo wangekuwa mjin dar Zele alideal nao mpk basha wao akajitokeza
Wakati mikoa minne inachukuliwa alikuwa wapi?
Russia wanajipigia Kiev wanavyotaka
 
Zelensiky aliwekwa madarakani kwa lengo la kutumika kufanikisha mpango wa US Containment Policy dhidi ya Russia! Inavyoelekea mpango huo unaenda kufeli.
Unacho kisema ni sahihi kabisa, now, a million dollar question is: sasa Uncle SAM atakuwa na plan"B" hipi yaku-leash Russia Putin in particular - maanake ya Ukraine yamekwisha onekana nimaji marefu kwa Biden mwenye na Viongozi wa Serikali za Ulaya raia wake wame kwisha choshwa na udorororaji wa Uchumi na ukosefu wa kazi - kisa? Chuki tu binafsi ya Serikali ya Merikani dhidi ya Urusi vita ya Ukraine ni kisingizio tu cha kuziingiza nchi za Ulaya kwenye mgogoro wa kijinga after all Warusi na Waukraine wana uwezo mkubwa wa kumaliza tofauti zao bila ya kuingiliwa na mtu/Taifa lolote.
 
Comedian beggar is 100% pure psycho..
His eyes can tell.
Americans have created a monster that will eat them in the end.
A Sad thing, is: some myopic western leaders never saw this clown Chimera coming - majority of ill-informed Americans are treating a WW3 recipe with a lot of respect and admiration - give him long range missiles, he won't think twice before unleashing salvos targeting Moscow or St. Petersburg ladden with a dirty payload, Ukrainian Scientists are very knowledgeable in fabricating such a a bomb in no time.

The truth of the matter ,is: Zelensky is not only crazy but also very very dangerous for World peace, as I said Zelensky is a recipe for WW3.
 
The long sleeved tshirt wearing psycho needs to be taken out.
And i can tell FSB are on the move.
 
The long sleeved tshirt wearing psycho needs to be taken out.
And i can tell FSB are on the move.
Splendid indeed!! Tell you what Bro, arrogance is going nowhere with this
dafty Comedian.

Kisaikolojia ninacho kiona kwa Zelensky: he has two choices to make namelly to either resign with dignity or desperately attempt to delay "the Inevitable" which won't be pretty for him 'am afraid, tatizo lake anavimbishwa kichwa sana na Biden, lakini Waarusi wakisha sema enough is enough Taifa la Ukraine lipapigika kweli kweli hapata kuwepo masuala ya undugu wala Uslav - nawakumubusheni kila siku kwamba jeshi la Urusi si lelemama na hakuna jeshi lolote la magharibi litajiingiza kuisaidia Ukraine, hakuna, mataifa ya maghararibi yatabaki kwenye makongamano ya kuiwekea vikwazo vya kiuchumi Urusi yet again, hapakuwepo na jipya.
 
Kumekucha, amka kutoka ndotoni sasa usijokojolee kitandani.
 
Dollar bilioni 45 kwa Ukraine katika bajeti ya mwaka 2023 zimeongezwa juu ya zile 40 zilizotolewa mara ya kwanza ambazo zimetumika bilioni 20 tu mpaka sasa.
Bajeti ya ulinzi ya Marekani kwa mwaka 2023 ni dola billion 800 ambazo ni sawa na bajeti za ulinzi za jumla ya mataifa 9 makubwa yanayoifuatia.

Amka katika hiyo ndoto ya Urusi kuuchosha uchumi wa US, siku Marekani ataachana na hiyo vita itakuwa kwa sababu nyingine kabisa ila sio kukosa pesa.
 
They tried with their 64km long convoy to Kyiv and failed miserably. Zelenskyy now is always in the frontlines while the Russian dictator is always hiding in his bunkers and dachas.
The long sleeved tshirt wearing psycho needs to be taken out.
And i can tell FSB are on the move.
 
CNN is damaging your thinking!
Taking a photo in some forest and trenches with soldiers surrounding you is a frontline combat!!!!
Stop that.

They tried with their 64km long convoy to Kyiv and failed miserably. Zelenskyy now is always in the frontlines while the Russian dictator is always hiding in his bunkers and dachas.
 
Vita ingekuwa ivyo basi Afghanistan ingekuwa na bendera za Marekani.maana Taliban bajeti yao hata milion 5 hazifiki[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Hakuna Taifa lipo tiari kuingia Vitani na Mwamba Putin. Time will tell.
 
Kama unamjua alieanza kurusha mabom kwa mwenzake then huyo ndio muanzisha vita.
 
Eti mkuu unamaanisha huyu Zelenski mtu mbaya kwa sababu alivamia Urusi na sasa anataka kuingiza mataifa mengine humo?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…