Rais Zelenskyy amualika Rais Xi Jinping aje Kyiv

Rais Zelenskyy amualika Rais Xi Jinping aje Kyiv

Sayansi gani Urusi walitumia kwa ambavyo wamechoshwa na kainchi kadogo hapo jirani, hadi aibu...
Sema Wagner ndivyo wasomi tunavyoelewa kwakuwa wao ndiyo wapo rasmi kule. Hivyo punguza kuitaja sana Urusi sababu hawajapeleka jeshi lao rasmi kule au ukiona vipi unaweza tumia neno (Mamluki wa Urusi) ili walau uwe unaeleweka kuwa hao Mamluki (Wagner) wana mahusiano ya karibu na Urusi..Hivyo kuanzia leo ni vyema ukayatumia hayo maneno mawili "either Wagner or Mamluki wa Urusi" nasiyo kuitaja nchi wakati wao kwao wanamkataba tu na kikundi cha ulinzi shirikishi.. Mfano; munaweza mukawaalika pia kwenu ila pia nakufundisha musiseme tumekodi Urusi, wateje jina lao au sema tumekodi Mamluki wa Urusi na siyo "Urusi"

Ingawa mimi ni mwanacha mpya ila naona wewe post zako kidogo unashindwa namna ya mtumizi ya lugha.
 
Hii ni baada ya China kukatalia mbali ombi la kuipa Urusi msaada wa silaha, ombi lilikataliwa juzi pale rais wa Uchina alitembelea Urusi.

---

Ukrainian President Volodymyr Zelenskyy said on Wednesday that he had invited Chinese President Xi Jinping to visit his country.

"We are ready to see him here," Zelenskyy told the Associated Press.

Xi, who recently visited his "dear friend" Russian President Vladimir Putin on a state visit to Moscow, has not spoken with Zelenskyy since Russia launched its invasion on February 24, 2022.

"I want to speak with him. I had contact with him before the full-scale war. But during all this year, more than one year, I didn't have," said Zelenskyy.

The Ukrainian president also suggested that despite China's clear alliance with Russia, Beijing had not given Vladimir Putin what he wanted during the recent Moscow meeting, namely weapons and ammunition to replace dwindling Russian stockpiles.

Naona unajipa matumaini hewa kwamba China haipo pamoja na Russia. Kwa taarifa yako China na Russia wana mpango kabambe sana wa kumfelisha USA ktk masuala ya kuitawala dunia

Siku ambayo rais wa China alipomtembelea Putin, West walifanya makosa ya kuandaa safari ya gafla ya kiongozi wa Japan kumtembelea Zelensky ili ku undermine ziara ya rais wa China na Zelensky anafahamu Japan inatumika na merekani kuihujumu china. Rais wa China sio mpumbavu
 
Haya ni masuala ya itifaki hayajadiliwi Kitandale Tandale, huyo Mchina hana msaada kwenu tena amewagomea, kukaribishwa kwake Kyiv ni kuendelea kumzuia asitoe msaada kwa Urusi.
Pale Kremlin wana tutusa limekaa Ikulu, hakawii kusema "ole wake China aweke mguu ndani ya Kyiev"
 
Naona mleta mada anajipa sana matumaini kushinda hata Oleksii Reznikov..ambaye kwasasa kashasema kuwa hata ndege kwao zimeshaisha hivyo mpaka wakopeshwe na nchi za EU na US ,ingawa siyo vya kushabikia ila hari siyo nzuri sana huko kwa Zele kama wanavyojaribu kuzungumza kwenye media zao..
 
Ukiona mpaka ameanza kutafuta msaada wa china ambayo inajulikana kuwa ni chawa wa Urusi basi jua maji yako shingoni.

Ule msafara wa magari zaidi ya 100 ya kivita kuelekea Kiev ulikwama wapi?!

Maana bado Zelensky anadunda tu hapo Kiev huku akialika viongozi wa dunia kuja kumtembelea
 
Endelea kuburudika tu na zilipendwa, sasahivi ni mwendo wa kuwafukunyua kwenye mashimo yao na hypersonic missile
Hizo hypersonic zimeshindwa kumuondoa ze comedy Zelensky hapo Kiev.
Bwana mdogo tu tena mchekeshaji lakini bado amemdindia Jasusi Putin na majeshi yake.
 
Naona unajipa matumaini hewa kwamba China haipo pamoja na Russia. Kwa taarifa yako China na Russia wana mpango kabambe sana wa kumfelisha USA ktk masuala ya kuitawala dunia

Siku ambayo rais wa China alipomtembelea Putin, West walifanya makosa ya kuandaa safari ya gafla ya kiongozi wa Japan kumtembelea Zelensky ili ku undermine ziara ya rais wa China na Zelensky anafahamu Japan inatumika na merekani kuihujumu china. Rais wa China sio mpumbavu

China hawezi kuthubutu maana anajua mziki wake, kikubwa anachokifanya sasa ni kufyonza raslimali za Urusi huku akijifanya rafiki wa karibu, lakini hawezi kuwasaidia kwenye huu mtanange, mliingia cha kike.
 
Sema Wagner ndivyo wasomi tunavyoelewa kwakuwa wao ndiyo wapo rasmi kule. Hivyo punguza kuitaja sana Urusi sababu hawajapeleka jeshi lao rasmi kule au ukiona vipi unaweza tumia neno (Mamluki wa Urusi) ili walau uwe unaeleweka kuwa hao Mamluki (Wagner) wana mahusiano ya karibu na Urusi..Hivyo kuanzia leo ni vyema ukayatumia hayo maneno mawili "either Wagner or Mamluki wa Urusi" nasiyo kuitaja nchi wakati wao kwao wanamkataba tu na kikundi cha ulinzi shirikishi.. Mfano; munaweza mukawaalika pia kwenu ila pia nakufundisha musiseme tumekodi Urusi, wateje jina lao au sema tumekodi Mamluki wa Urusi na siyo "Urusi"

Ingawa mimi ni mwanacha mpya ila naona wewe post zako kidogo unashindwa namna ya mtumizi ya lugha.

Hamnaaa!! Urusi imepoteza wanajeshi 70,000 kwenye hako kamji, mliingia cha kike kwenye kumuabudu huyo Putin, mtachoka kuandika hizi nadharia zenu ila mpaka sasa ni aibu tu jameni.
 
China hawezi kuthubutu maana anajua mziki wake, kikubwa anachokifanya sasa ni kufyonza raslimali za Urusi huku akijifanya rafiki wa karibu, lakini hawezi kuwasaidia kwenye huu mtanange, mliingia cha kike.
Wewe jamaa jinga sana, China yupo pamoja na Russia ktk hiyo operation ya Ukraine na vilevile operation ya Taiwan china na Russia watakuwa pamoja. Hayo mambo sio ya kukurupuka yapo culculated na watu wenye akili kisoda kama wewe hamuwezi kuona kitu hapo


Marekani na NATO yake wamepigwa na kitu kizito sana hawakutegemea kama Russia bado atakuwa imara kiuchumi na kijeshi kulingana na vikwazo walivyoviweka
 
Wewe jamaa jinga sana, China yupo pamoja na Russia ktk hiyo operation ya Ukraine na vilevile operation ya Taiwan china na Russia watakuwa pamoja. Hayo mambo sio ya kukurupuka yapo pculculated na watu wenye akili kisoda kama wewe hamuwezi kuona kitu hapo


Marekani na NATO yake wamepigwa na kitu kizito sana hawakutegemea kama Russia bado atakuwa imara kiuchumi na kijeshi kulingana na vikwazo walivyoviweka

Mbona unakua mpumbavu au njaa ya swaumu ya mwarabu inakuchanganya, China hawezi kujiingiza kwenye huo ujinga, tena anafyonza raslimali za Warusi kwa kujifanya ukaribu na Warusi.
 
Haya ni masuala ya itifaki hayajadiliwi Kitandale Tandale, huyo Mchina hana msaada kwenu tena amewagomea, kukaribishwa kwake Kyiv ni kuendelea kumzuia asitoe msaada kwa Urusi.
Kwa Akili zako za kiitifaki huko Milembe unaamini kuwa china atamsikiliza zele kuliko Putin? Hivi una habari kama teknolojia nyingi anazotumia mchina hasa kwenye ndege vita na makombora ni Kwa msaada wa urusi? Mfano Lori aina ya JIEFANG wengi waliita Jeifongo ni teknoloj ya urusi kupitia Lori aina ya ZIL yaani mkombozi na hata wachina walikopi jina kwani hiyo JIEFANG maana yake ni Mkombozi
 
Mbona unakua mpumbavu au njaa ya swaumu ya mwarabu inakuchanganya, China hawezi kujiingiza kwenye huo ujinga, tena anafyonza raslimali za Warusi kwa kujifanya ukaribu na Warusi.
Kwa mbwembwe ulizomkuja nazo unaonekana bogus huna hata ustaarabu na hujui chochote Kwan hata shetwani Hana ubavu wa kuinyonya urusi sembuse mchina anaesaidiwa teknolojia Kila uchao hivi una habari kwamba hata usafirishaji wa Wana anga wa china kwenda huko juu ni Kwa usimamizi wa wataalam kutoka huko urusi kituo Cha COSMODROME?
 
Kwa Akili zako za kiitifaki huko Milembe unaamini kuwa china atamsikiliza zele kuliko Putin? Hivi una habari kama teknolojia nyingi anazotumia mchina hasa kwenye ndege vita na makombora ni Kwa msaada wa urusi? Mfano Lori aina ya JIEFANG wengi waliita Jeifongo ni teknoloj ya urusi kupitia Lori aina ya ZIL yaani mkombozi na hata wachina walikopi jina kwani hiyo JIEFANG maana yake ni Mkombozi

China hamsklizi yeyote maana hata mwenyewe hana jeuri hiyo, hawezi akamsaidia Urusi maana akithubutu analo, Urusi imekua ikibembeleza China sana ila sasa Zele anataka kuwaonyesha hata huyo Mchina mnayeenda kuomba msaada anaweza akaalikwa Kyev.
 
Kwa mbwembwe ulizomkuja nazo unaonekana bogus huna hata ustaarabu na hujui chochote Kwan hata shetwani Hana ubavu wa kuinyonya urusi sembuse mchina anaesaidiwa teknolojia Kila uchao hivi una habari kwamba hata usafirishaji wa Wana anga wa china kwenda huko juu ni Kwa usimamizi wa wataalam kutoka huko urusi kituo Cha COSMODROME?

Urusi kwa sasa analiwa na Uchina hadi mifupa, unatakiwa ujielimishe namna ya kutumia ubongo na kusoma matukio ya kimataifa.
 
China hamsklizi yeyote maana hata mwenyewe hana jeuri hiyo, hawezi akamsaidia Urusi maana akithubutu analo, Urusi imekua ikibembeleza China sana ila sasa Zele anataka kuwaonyesha hata huyo Mchina mnayeenda kuomba msaada anaweza akaalikwa Kyev.
Unajua hela ya china ndio inakwenda kuwa mbadala wa dola ya kimarekani?? BRICS wameamua watumie pesa ya china badala ya dola alafu wewe kubwa jinga bado unawaza mambo ya sanctions. KUBWAJINGA SANCTIONS IMESHATAFUTIWA DAWA
 
Kubwa jinga hivi vihabari vyako vya kuokoteza sijui unavitoaga wapi,, na je vipi yale maandamano yenu kenya mmefikia wapi? Kuna kadalili kokote ka Ruto kujiuzulu au?
Mana haya ndo unayoyajua ila utaki tu kutujuza humu jf,,,
Wewe mama mdogo sio utaki ni hautaki
 
Back
Top Bottom