swissme
JF-Expert Member
- Aug 15, 2013
- 13,663
- 19,894
Huwezi kuongoza taifa masikini hakuna maji, hakuna barabara, madawa, elimu, nk halafu ukakosa frustrations. Wenzake kina Trump, Merkel et al mambo yao safi. Wao wana budget surplus wakati huku kwetu unaongoza nchi yenye budget deficit! Kuongoza nchi za ulaya ni rahisi sana kuliko kuongoza nchi maskini za kiafrika!
Usongo wa mawazo
Tetetetetete
Swissme