Huwezi kuongoza taifa masikini hakuna maji, hakuna barabara, madawa, elimu, nk halafu ukakosa frustrations. Wenzake kina Trump, Merkel et al mambo yao safi. Wao wana budget surplus wakati huku kwetu unaongoza nchi yenye budget deficit! Kuongoza nchi za ulaya ni rahisi sana kuliko kuongoza nchi maskini za kiafrika!
Jamani punguzeni ukali wa maneno basi kwa rahisi wetu kwani maandiko matakatifu yana sema usimnenee mabaya mkuu wa watu wako.
Kubembea kunaondoa MSONGO..Kikwete alisumbuka sana tuwe wakweli ndio maana akawa anajiondokea kwenda safari za kila siku ikiwa ni jinsi ya kujipumzisha kusaikolojia
Wanyonge huku anawabomolea makazi na kuuwa lissu tema mateAna Frustrations jinsi akiwaza Wanyonge wanavyotaabika na jinsi ya kuondoa kero hizo
kwa hilo kama nchi ilikuwa pabaya amebadilisha nini kilichokusaidia toka amekuwa raisNchi ilikuwa pabaya sana kuliongoza lazima likuchanganye hata kikwete alisumbuka sana tuwe wakweli ndio maana akawa anajiondokea kwenda safari za kila siku ikiwa ni jinsi ya kujipumzisha kusaikolojia
maisha yako yanaongozwa na CCM sasa CDM atakupelekaje pabaya?Tukifanya mzaha Wa kumbeza mzee uyu chadema NA ukawa mtatupeleka pabaya
Endeleeni kujadili yasiyo NA tija mitandao
The end justify ze means
basi kwa maana hii walimu wote duniani wana frustration maana wanafunzi wao huwa hawaelewi,hii tafsi yako ya neno frustration kwa kiswahili nadhani inapatikakana kwenye kamusi ambayo umeiandika wewe mwenyeweWewe WACHA uwongo, kama hujui lugha jifunze. Frustration maana yake ni kuchoka kuelimisha watu wasioelewa. Ikiwa pamoja na wajinga, wezi , wavivu, wanaozubaa, hata ukiwaelezea hawaelewi. Na watu kama wewe wasiojuwa ukweli na uwongo. Na ndiyo tuko wengi Tanzania. Ni vigumu sana kuongoza wavivu na wajinga. Watu wenye uniform na manyota ya vyeo wanahojiwa majibu yao hawajui kitu, Na hawa ndiyo Viongozi, yes that is why he is frastrated. Ni kama unongea na watoto, ,ni ma baba wazima Wenye vyeo, lakini hawajui kitu, vedio hiyo imeonyesha ujinga wa Viongozi. Aibu kubwa..
Acha kujifarijiAna Frustrations jinsi akiwaza Wanyonge wanavyotaabika na jinsi ya kuondoa kero hizo
Kweli kabisa ndio maana hata lisu akapigwa tyu tyu tyuVipo vingi sana ila kawaida ukimchukia mtu huwezi kuona zuri lake hata moja
Rahisi ndo mdudu ganiJamani punguzeni ukali wa maneno basi kwa rahisi wetu kwani maandiko matakatifu yana sema usimnenee mabaya mkuu wa watu wako.
Ni kweli yule ndugu siyo mzima!Nimeiingia google kutafuta maana ya neno hili :
frustration
noun
1. the feeling of being upset or annoyed as a result of being unable to change or achieve something.
2. the prevention of the progress, success, or fulfilment of something.
Naona maana ya kwanza ina uzito sana hapa.
Tafadhali tumsaidie Mheshimiwa Raisi.