Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ati Sheria! Muungwana sawa, lakini hawa mbwa wataingia hadi madhabahun. Magufulicate themView attachment 2570525
Nini sababu za kutochukua hatua? Je, ni udhaifu wa serikali kuu, sheria au mazingira?
Hapa ilikuwa ni kutangaza kutengua tuuView attachment 2570525
Nini sababu za kutochukua hatua? Je, ni udhaifu wa serikali kuu, sheria au mazingira?
Corrupted system kuiongoza ni shughuli. Kila kipengele kina majizi sasa utamwajibisha nani umwache nani?.Yeye ndio sababu ya haya yote, udhaifu. Anapaswa kuwajibika au ku wajibishwa.View attachment 2570525
Nini sababu za kutochukua hatua? Je, ni udhaifu wa serikali kuu, sheria au mazingira?
Huyu wala hana hata fununu mambo yanafanyikaje, yaani uchochoro kabisa. Ati watu wanamlinganisha na JPM, yale yalikuwa maji marefu, [ ingawa kuna un-proven ukatili]Wezi hawamuogopi kwa sababu wameshamfahamu, sasa wanajua kucheza nae, hapo kuna mtandao mkubwa wa wezi wa mali za umma wenye connection kwake ndio maana hajui la kufanya anaishia kusema "nadhani ....", hapo ni kama anawaamsha wezi wapunguze kidogo kutuibia!.
Ajabu sana pale anapotutajia makosa mengi toka kwenye ripoti ya CAG, lakini hakuna popote anapoagiza wezi wachukuliwe hatua, kama huyo jamaa aliyekopa benki tano akatoroka nchini hata jina hajamtaja.
Sijui kwanini amemficha wakati katuibia pesa zetu, au labda nae hamfahamu!, lakini vipi na wahusika waliotoa hiyo mikopo? hawakamatwi kuhojiwa chochote?
Jibu la hayo maswali hapo juu ni moja tu; connection.
Kutengua? Mbona hiyo ni kama favour. Arrest them and put them in custody! Na wale walamba asali wote kimyaaaaaaaaHapa ilikuwa ni kutangaza kutengua tuu
Malipo yote ya fedha za umma yanafanyikia BOT, how mtu anaweza kuiba fedha za umma kirahisi hivyo?View attachment 2570525
Nini sababu za kutochukua hatua? Je, ni udhaifu wa serikali kuu, sheria au mazingira?
BOT KAZI YAO NI KULIPA TU SIYO KUHOJI UHALALI WA MALIPOMalipo yote ya fedha za umma yanafanyikia BOT, how mtu anaweza kuiba fedha za umma kirahisi hivyo?
View attachment 2570525
Nini sababu za kutochukua hatua? Je, ni udhaifu wa serikali kuu, sheria au mazingira?
Dokezo/barua inaanzia sijui kwa mkuu wa Idara kuomba idhini then DED/RAS/CEO/KM anakubali au kukataa, vocha inaandikwa inapita kwa Chief inaenda kwa DED/RAS/CEO/KM(MUSE) then hazina baadae BOT, huku kote inapitaje?BOT KAZI YAO NI KULIPA TU SIYO KUHOJI UHALALI WA MALIPO
Sharia zipo nzuri ila hawachukui bhatia nadhani sasa Raisi wetu ataendelea kumwelewa mwendazake kwa nini hakutaka kucheka na nyaniView attachment 2570525
Nini sababu za kutochukua hatua? Je, ni udhaifu wa serikali kuu, sheria au mazingira?
Kwa kifupi hakuna kiongozi ambaye sio mpigajiJPM alipofeli ni ukatili tu kama isingekuwa hivyo basi angekuwa ni Rais Bora kuwahi tokea Toka tumepata uhuru.