Raisi Samia, utatembelea bucha zote lakini maini ni yale yale!

Maini kweli ni yale yale lakini hata mabwana Afya huwa wanatembelea machinjioni kupima maini yenye kugundulika na vimelea vya maradhi huwa yanachomwa moto !
 
Raisi Samia, nilikuambia utatembelea bucha zote, maini ni yale yale, naona bado hujanielewa!
 
Hadi sasa ndio anashikilia hiyo rekodi. Ana miaka 3 ila kila taasisi ina wakurugenzi 4 ama 5. Kila wizara una mawaziri 3 am 4, kila halmashauri ina wakuu wa wilaya 3 ama 3, wakurugenzi, ras ama das, rc na wote wanaoteuliwa.
Naona mtu wetu kaamua kununua maini bucha nyingine tena, akitarajia safari yatakuwa tofauti!
 
SSH ana shida hapendi watu wampite umaarafu, wachapakazi kama Lukuvi, Slaa, Kalemani, Majaliwa, Kabudi, Polepole, Bashiru hawa walikuwa watendaji wazuri angewatumia vizuri wangemsaidia sana na kuepuka matatizo mengi na mikataba mibovu
Safari hii kapitiliza. Kumweka Kabudi utamaduni nadhani ni kupita kiasi! Kabudi anapaswa ajitambue sasa, atambue maisha sio lazima uwe waziri!
 
Sasa wewe unataka mpasuko ndani ya CCM utokee kwake maana katika vitu ambavyo atakuwa kaenda wrong ndani ya chama ni kufanya teuzi hizo kuwapa wapinzani tena ambao hawajaungama kwa CCM
 
Sasa wewe unataka mpasuko ndani ya CCM utokee kwake maana katika vitu ambavyo atakuwa kaenda wrong ndani ya chama ni kufanya teuzi hizo kuwapa wapinzani tena ambao hawajaungama kwa CCM
Kule Zanzibar wanafanya. Kuteua wapinzani wawili au watatu sio mbaya, na ni namna ya kukubali yaishe. Nilitoa mfano wa Mandela na Buthelezi kule bondeni. ANC na Inkatha Freedom Party, IFP, walikuwa na uadui mkubwa sana, waliuana vibaya. Lakini Mandela alipendekeza kwa ANC wampe Buthelezi uwaziri wa mambo ya ndani. Alipingwa na kuzomewa, lakini hatimae watu waliona lojiki yake.
 
HUYO MWANAMKE HAFAI KUWA RAIS WA NCHI LEO NDIO NIMEAMINI.

MAMA ABDUL JINGA KABISA.
 
Kule walikiamsha wakati wa maalim seifu sharifu hamadi walipata mpaka wakimbizi kwaiyo kuna selekali ya umoja wa kitaifa huku kiongozi yoyote wa juu akifanya hicho kitu ataonekana hafai ndani ya CCM
 
Kule walikiamsha wakati wa maalim seifu sharifu hamadi walipata mpaka wakimbizi kwaiyo kuna selekali ya umoja wa kitaifa huku kiongozi yoyote wa juu akifanya hicho kitu ataonekana hafai ndani ya CCM
Nadhani tutumie tu busara ya Mandela. Kwa mfano, kama Chadema wanasema Polisi wanafanya uzembe kukamata wasiojulikana, na kama kweli serikali haihusiki na utekaji, basi wape Chadema waongoze wizara ya mambo ya ndani, na kama raisi muagize waziri wa Chadema kwamba anataka sisisikie tena mambo ya utekaji ndani ya miazi mitatu ijayo!

Sangara hukaangwa kwa mafuta yake mwenyewe!
 
Nafikiri mkuu hapa jambo la muhimu tupate katiba mpya ndio itakuwa suluhisho la magonjwa yote hayo unayoyazungumza
 
Nafikiri mkuu hapa jambo la muhimu tupate katiba mpya ndio itakuwa suluhisho la magonjwa yote hayo unayoyazungumza
Katiba mpya ni mpango wa muda mrefu, in the meantime kuna issue zinataka solution za haraka
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…