Raisi Trump aikosoa vikali sheria ya talaka kwa wanandoa

Raisi Trump aikosoa vikali sheria ya talaka kwa wanandoa

Rais wa 47 wa Marekani Donald Trump amesema anatairekebisha sheria ya Talaka Nchini humo akisema imekuwa ikiwatesa wanaume nchini Marekani na kuwafaidisha wanawake licha ya wanawake wengi kuwa wameolewa na wamezikuta Mali.

"Kwa sababu tu unaolewa na mtu tajiri haimaanishi kwamba unapaswa kupata nusu ya mali yake na hatimaye kuwa tajiri baada ya talaka.

Talaka imekuwa biashara yenye faida kubwa kwa wanawake wengi nchini Marekani na nishaingia ofisini, nitaikomesha. Ikiwa mwanamke ataolewa na mwanamume tajiri, haimaanishi kwamba ataondoka kama mwanamke tajiri baada ya talaka.

Ikiwa baada ya talaka mwanamke anahitaji pesa, mwanamume anaweza kumuazima kiwango cha juu cha $1-milioni ikiwa ana dhamana. $1-milioni sio pesa nyingi kwa tajiri lakini inapaswa kuwa nyingi kuitoa kwa sababu mwanamke huyo hakuifanyia kazi.

Ikiwa nina thamani ya $50-milioni, sitakupa $25-milioni baada ya talaka. Hiyo Ni pesa yangu na niliifanyia kazi kwa bidii sana.

Sijali kama tumeoana kwa miaka 6 au hata miaka 25 au hata tuna watoto."
Amechelewa sana, wanaume walikuwa wanalizwa sana , kufilisika, wengine wanarudi kulala mtaani sababu mwanamke kaamua.

Kwa US akibadili sheria onevu kama hizo atakubalika zaidi
 
Nadhani yalishamkuta! Kama sikosei alishaachana na wanawake wawili na huyu aliye naye ni watatu.
 
marekani wakibadilisha izi sheria inamana na sisi inabidi tubadilishe sio?
 
Akimaliza aje bongo hapa apige marufuku mademu kuomba omba pesa , yani mtu anakuomba hela ya kununua nail cutter ya kucha, khaaa🤣🤣
Itakuaje na wao wakibana vilivyopo katikati ya mapaja Yao?
 
Rais wa 47 wa Marekani Donald Trump amesema anatairekebisha sheria ya Talaka Nchini humo akisema imekuwa ikiwatesa wanaume nchini Marekani na kuwafaidisha wanawake licha ya wanawake wengi kuwa wameolewa na wamezikuta Mali.

"Kwa sababu tu unaolewa na mtu tajiri haimaanishi kwamba unapaswa kupata nusu ya mali yake na hatimaye kuwa tajiri baada ya talaka.

Talaka imekuwa biashara yenye faida kubwa kwa wanawake wengi nchini Marekani na nishaingia ofisini, nitaikomesha. Ikiwa mwanamke ataolewa na mwanamume tajiri, haimaanishi kwamba ataondoka kama mwanamke tajiri baada ya talaka.

Ikiwa baada ya talaka mwanamke anahitaji pesa, mwanamume anaweza kumuazima kiwango cha juu cha $1-milioni ikiwa ana dhamana. $1-milioni sio pesa nyingi kwa tajiri lakini inapaswa kuwa nyingi kuitoa kwa sababu mwanamke huyo hakuifanyia kazi.

Ikiwa nina thamani ya $50-milioni, sitakupa $25-milioni baada ya talaka. Hiyo Ni pesa yangu na niliifanyia kazi kwa bidii sana.

Sijali kama tumeoana kwa miaka 6 au hata miaka 25 au hata tuna watoto."
Hapo Trump hajakosea!
 
Back
Top Bottom