Raisi wetu Mama Samia Mtumbue Ally Hapi kabla hujamuapisha

Raisi wetu Mama Samia Mtumbue Ally Hapi kabla hujamuapisha

mdudu

JF-Expert Member
Joined
Feb 6, 2014
Posts
7,013
Reaction score
10,000
Mama Samia Mtumbue A, Hapi atakuharibia na kutoa imani kwa Watanzania waliyonayo kwako. Alionyesha dhalau kubwa Sana kwa wazee wetu ambao ni Maraisi wasitafu, kumbuka hata wewe ni msitafu mtalajiwa.

Ukimwacha hata wewe ukimaliza muda wako atakuja kukutukana.

Kwani A.Hapi yeye ni nani kwenye Nchi hii hadi afikie kiwango Cha kuwatukama wazee wetu,tena ambao waliwahi kulitumikia Taifa kwa uadilifu mkubwa.Na mcango wao bado unahitajika hadi sasa.

 
Heshima haiuombwi ; wastaafu kama hawajiheshimu na wakafanya mambo ya hovyo juu ya kodi zetu kuwatunza lazima wataambiwa kuwa wanatukwaza!! Wakiwa wastaafu ni lazima waendeshe maisha yao kama wastaafu na sio tena kujiingiza kwenye active politics hata kama ni kwa mlango wa nyuma!!!!
 
Mama Samia Mtumbue A,Hapi,atakuhalibia na kutoa imani kwa watanzania waliyonayo kwako,
Alionyesha dhalau kubwa Sana kwa wazee wetu ambao ni Maraisi wasitafu,kumbuka hata wewe ni msitafu mtalajiwa.
Ally Hapi must go. Ila uzuri wake atajikaanga kwa mafuta yake mwenyewe kama kitimoto tu. Hana nidhamu atachemka tu kama mlevi Chalamila.
 
Watanzania tunakoelekea sasa nahisi si pazuri, kama kila kiongozi atakaye kosea kidogo tu, ni kupigia petition, hii roho ya uhalibifu si ya kijenga. Mh Hapi ni kijana tumpe muda Kwanza, kama binadam kukosea kupo lakn si hukumu ya kumdemoti, maana sioni shida yake ni kiongozi anayeshirikisha ktk maamuzi
 
Mama Samia Mtumbue A,Hapi,atakuhalibia na kutoa imani kwa watanzania waliyonayo kwako,
Alionyesha dhalau kubwa Sana kwa wazee wetu ambao ni Maraisi wasitafu,kumbuka hata wewe ni msitafu mtalajiwa...
Kwa hili la wazee wastaafu A.Hapi kuwatukana anatakiwa apelekwe kwenye baraza la maadili y viongozi wa umma!
 
Mama Samia Mtumbue A,Hapi,atakuhalibia na kutoa imani kwa watanzania waliyonayo kwako,
Alionyesha dhalau kubwa Sana kwa wazee wetu ambao ni Maraisi wasitafu,kumbuka hata wewe ni msitafu mtalajiwa,.

Ukimwacha hata wewe ukimaliza muda wako atakuja kukutukana.

Kwani A.Hapi yeye ni nani kwenye Nchi hii hadi afikie kiwango Cha kuwatukama wazee wetu,tena ambao waliwahi kulitumikia Taifa kwa uadilifu mkubwa.Na mcango wao bado unahitajika hadi sasa.
Uyo Kama ajabadilika atajifukuzisha mwenyewe
 
Mama Samia Mtumbue A,Hapi,atakuhalibia na kutoa imani kwa watanzania waliyonayo kwako,
Alionyesha dhalau kubwa Sana kwa wazee wetu ambao ni Maraisi wasitafu,kumbuka hata wewe ni msitafu mtalajiwa,.

Ukimwacha hata wewe ukimaliza muda wako atakuja kukutukana.

Kwani A.Hapi yeye ni nani kwenye Nchi hii hadi afikie kiwango Cha kuwatukama wazee wetu,tena ambao waliwahi kulitumikia Taifa kwa uadilifu mkubwa.Na mcango wao bado unahitajika hadi sasa.
Duuh hizi kauli nani anawafundisha hawa viongozi? Yaani kauli za namna hii bado huyo kijana ni kiongozi hadi leo.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mama Samia Mtumbue A,Hapi,atakuhalibia na kutoa imani kwa watanzania waliyonayo kwako,
Alionyesha dhalau kubwa Sana kwa wazee wetu ambao ni Maraisi wasitafu,kumbuka hata wewe ni msitafu mtalajiwa,.

Ukimwacha hata wewe ukimaliza muda wako atakuja kukutukana.

Kwani A.Hapi yeye ni nani kwenye Nchi hii hadi afikie kiwango Cha kuwatukama wazee wetu,tena ambao waliwahi kulitumikia Taifa kwa uadilifu mkubwa.Na mcango wao bado unahitajika hadi sasa.
Sitoshangaa akimtumbua...
 
Mama Samia Mtumbue A,Hapi,atakuhalibia na kutoa imani kwa watanzania waliyonayo kwako,
Alionyesha dhalau kubwa Sana kwa wazee wetu ambao ni Maraisi wasitafu,kumbuka hata wewe ni msitafu mtalajiwa,.

Ukimwacha hata wewe ukimaliza muda wako atakuja kukutukana.

Kwani A.Hapi yeye ni nani kwenye Nchi hii hadi afikie kiwango Cha kuwatukama wazee wetu,tena ambao waliwahi kulitumikia Taifa kwa uadilifu mkubwa.Na mcango wao bado unahitajika hadi sasa.
Kama Makonda tu ' Hirizi ' zao ' zinapumua ' vizuri sana ila Siku si nyingi ' Damu ya Yesu ' tuliyoiagiza kutoka Mbinguni kwa Mungu Baba ' itawaangamiza ' wote na hawatoamini.
 
Watanzania tunakoelekea sasa nahisi si pazuri, kama kila kiongozi atakaye kosea kidogo tu, ni kupigia petition, hii roho ya uhalibifu si ya kijenga. Mh Hapi ni kijana tumpe muda Kwanza, kama binadam kukosea kupo lakn si hukumu ya kumdemoti, maana sioni shida yake ni kiongozi anayeshirikisha ktk maamuzi


naona wanatakiwa wateuliwe wa chadema sasa maana imefika mahali kila kiongozi hafai
 
Siyo wazee tu bali hata watu wengine.

Mnakumbuka sakata la wale madaktari?

Wale alowaambia “ mnanijua mimi? “ [emoji15][emoji15]

Au hakuwa yeye?

Zile clips ziko wapi?
 
Huyo mama mkimkomalia atamtumbua kweli maana anakuwa influenced sana na kelele za mitandaoni.
Huo udhaifu umeshaonekana na unatumiwa ipasavyo. Hayati alikuwa opposite, mkimshambulia sana mteule wake yeye anakwenda kinyume chake.

Ile team JK imerudi kwa nguvu zote kwa baadhi ya watu wanaona ni nafuu lakini kwa wengine wanaona kama ni kurudi kule kule kwenye masuala ya deals.
 
Watanzania tunakoelekea sasa nahisi si pazuri, kama kila kiongozi atakaye kosea kidogo tu, ni kupigia petition, hii roho ya uhalibifu si ya kijenga. Mh Hapi ni kijana tumpe muda Kwanza, kama binadam kukosea kupo lakn si hukumu ya kumdemoti, maana sioni shida yake ni kiongozi anayeshirikisha ktk maamuzi
Hao wazee waliopewa maneno yao na Hapi walimfanyia fitina hayati JPM na ushahidi wa audio upo. Na vijana wao wakaomba radhi kwa kuhusika kwenye ile fitna.

Sio malaika hao wazee na waliwakwaza sana wazee wengi wenye mapenzi ya kweli na nchi hii.

Hivyo Hapi anaposhambuliwa na hizi threads ni muendelezo tu wa vijana wa hao wazee kutaka kuwalipia kisasi waliowatuma.

Hizi siasa za kuchimbana na zenye sura ya makundi zimekuja miaka hii ya kuanzia Mkapa aondoke ikulu. Za kipuuzi sana zinajali matumbo ya wachache.
 
Back
Top Bottom