Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Vitoto hivi .... Vina ishi kimizuka mizuka Ila vitanyooshwa visipojifunzaMama Samia Mtumbue A, Hapi atakuharibia na kutoa imani kwa Watanzania waliyonayo kwako. Alionyesha dhalau kubwa Sana kwa wazee wetu ambao ni Maraisi wasitafu, kumbuka hata wewe ni msitafu mtalajiwa.
Ukimwacha hata wewe ukimaliza muda wako atakuja kukutukana.
Kwani A.Hapi yeye ni nani kwenye Nchi hii hadi afikie kiwango Cha kuwatukama wazee wetu,tena ambao waliwahi kulitumikia Taifa kwa uadilifu mkubwa.Na mcango wao bado unahitajika hadi sasa.
View attachment 1815796
Majungu tupu,fanya kazi nzuri pata pesa nawe utatue matatizo yako.roho yako siyo nzuri penda binaadam wenzio nawe watakupenda.Mama Samia Mtumbue A, Hapi atakuharibia na kutoa imani kwa Watanzania waliyonayo kwako. Alionyesha dhalau kubwa Sana kwa wazee wetu ambao ni Maraisi wasitafu, kumbuka hata wewe ni msitafu mtalajiwa.
Ukimwacha hata wewe ukimaliza muda wako atakuja kukutukana.
Kwani A.Hapi yeye ni nani kwenye Nchi hii hadi afikie kiwango Cha kuwatukama wazee wetu,tena ambao waliwahi kulitumikia Taifa kwa uadilifu mkubwa.Na mcango wao bado unahitajika hadi sasa.
View attachment 1815796
Kwenye andiko hili Ally Hapi hayumo!!!Mkuu unaitaka nafasi ya Ally Happi ? maana hili andiko lako ni sawa na kumsagia kunguni
Mara ni mabwanyenye akae nao vizuri.. pale majungu ndio mahala pakeHuyu katupwa mkoa mgumu akajitumbue mwenyewe.Hawa mbwembwe type huwa wanajisahau sana
utakuta hata nyumba hawana zaidi ya kumiliki mbwembwe tu.
Wanapoambiwa uongozi ni siti ya daladala huwa awaelewi
Hujawahi kuwa na Akili tokea uwepo haoa Jamvini na sijui kama unatambua kuwa Wewe ni 'Psychopath Case' na umechelewa kwenda kuanza Matibabu yako ama Milembe Hospital ( Dodoma ) au Lutindi Hospital ( Tanga ) ili angalau uweze Kupona kabisa.Mara ni mabwanyenye akae nao vizuri.. pale majungu ndio mahala pake
Ewe mwezi mchanga ngoja nimalize kuendesha kikao hapa ofisini then nikuanzishie uzi maalumu..Hujawahi kuwa na Akili tokea uwepo haoa Jamvini na sijui kama unatambua kuwa Wewe ni 'Psychopath Case' na umechelewa kwenda kuanza Matibabu yako ama Milembe Hospital ( Dodoma ) au Lutindi Hospital ( Tanga ) ili angalau uweze Kupona kabisa.