Ally Hapi must go. Ila uzuri wake atajikaanga kwa mafuta yake mwenyewe kama kitimoto tu. Hana nidhamu atachemka tu kama mlevi Chalamila.Mama Samia Mtumbue A,Hapi,atakuhalibia na kutoa imani kwa watanzania waliyonayo kwako,
Alionyesha dhalau kubwa Sana kwa wazee wetu ambao ni Maraisi wasitafu,kumbuka hata wewe ni msitafu mtalajiwa.
Watu wameamua kurarua sanda maiti zibaki wazi daah!!!Sasa huu ni uchawi!
Kwa hili la wazee wastaafu A.Hapi kuwatukana anatakiwa apelekwe kwenye baraza la maadili y viongozi wa umma!Mama Samia Mtumbue A,Hapi,atakuhalibia na kutoa imani kwa watanzania waliyonayo kwako,
Alionyesha dhalau kubwa Sana kwa wazee wetu ambao ni Maraisi wasitafu,kumbuka hata wewe ni msitafu mtalajiwa...
Uyo Kama ajabadilika atajifukuzisha mwenyeweMama Samia Mtumbue A,Hapi,atakuhalibia na kutoa imani kwa watanzania waliyonayo kwako,
Alionyesha dhalau kubwa Sana kwa wazee wetu ambao ni Maraisi wasitafu,kumbuka hata wewe ni msitafu mtalajiwa,.
Ukimwacha hata wewe ukimaliza muda wako atakuja kukutukana.
Kwani A.Hapi yeye ni nani kwenye Nchi hii hadi afikie kiwango Cha kuwatukama wazee wetu,tena ambao waliwahi kulitumikia Taifa kwa uadilifu mkubwa.Na mcango wao bado unahitajika hadi sasa.
Duuh hizi kauli nani anawafundisha hawa viongozi? Yaani kauli za namna hii bado huyo kijana ni kiongozi hadi leo.Mama Samia Mtumbue A,Hapi,atakuhalibia na kutoa imani kwa watanzania waliyonayo kwako,
Alionyesha dhalau kubwa Sana kwa wazee wetu ambao ni Maraisi wasitafu,kumbuka hata wewe ni msitafu mtalajiwa,.
Ukimwacha hata wewe ukimaliza muda wako atakuja kukutukana.
Kwani A.Hapi yeye ni nani kwenye Nchi hii hadi afikie kiwango Cha kuwatukama wazee wetu,tena ambao waliwahi kulitumikia Taifa kwa uadilifu mkubwa.Na mcango wao bado unahitajika hadi sasa.
Sitoshangaa akimtumbua...Mama Samia Mtumbue A,Hapi,atakuhalibia na kutoa imani kwa watanzania waliyonayo kwako,
Alionyesha dhalau kubwa Sana kwa wazee wetu ambao ni Maraisi wasitafu,kumbuka hata wewe ni msitafu mtalajiwa,.
Ukimwacha hata wewe ukimaliza muda wako atakuja kukutukana.
Kwani A.Hapi yeye ni nani kwenye Nchi hii hadi afikie kiwango Cha kuwatukama wazee wetu,tena ambao waliwahi kulitumikia Taifa kwa uadilifu mkubwa.Na mcango wao bado unahitajika hadi sasa.
Kama Makonda tu ' Hirizi ' zao ' zinapumua ' vizuri sana ila Siku si nyingi ' Damu ya Yesu ' tuliyoiagiza kutoka Mbinguni kwa Mungu Baba ' itawaangamiza ' wote na hawatoamini.Mama Samia Mtumbue A,Hapi,atakuhalibia na kutoa imani kwa watanzania waliyonayo kwako,
Alionyesha dhalau kubwa Sana kwa wazee wetu ambao ni Maraisi wasitafu,kumbuka hata wewe ni msitafu mtalajiwa,.
Ukimwacha hata wewe ukimaliza muda wako atakuja kukutukana.
Kwani A.Hapi yeye ni nani kwenye Nchi hii hadi afikie kiwango Cha kuwatukama wazee wetu,tena ambao waliwahi kulitumikia Taifa kwa uadilifu mkubwa.Na mcango wao bado unahitajika hadi sasa.
Watanzania tunakoelekea sasa nahisi si pazuri, kama kila kiongozi atakaye kosea kidogo tu, ni kupigia petition, hii roho ya uhalibifu si ya kijenga. Mh Hapi ni kijana tumpe muda Kwanza, kama binadam kukosea kupo lakn si hukumu ya kumdemoti, maana sioni shida yake ni kiongozi anayeshirikisha ktk maamuzi
Mitano tena, atake asitake.Nani kakwambia ni minne ,huyu tupo nae mpka 2035.
We mnyakyusa wa kambasegera kaa kwa kutulia
Mitano tena, atake asitake.
Huo udhaifu umeshaonekana na unatumiwa ipasavyo. Hayati alikuwa opposite, mkimshambulia sana mteule wake yeye anakwenda kinyume chake.Huyo mama mkimkomalia atamtumbua kweli maana anakuwa influenced sana na kelele za mitandaoni.
Hao wazee waliopewa maneno yao na Hapi walimfanyia fitina hayati JPM na ushahidi wa audio upo. Na vijana wao wakaomba radhi kwa kuhusika kwenye ile fitna.Watanzania tunakoelekea sasa nahisi si pazuri, kama kila kiongozi atakaye kosea kidogo tu, ni kupigia petition, hii roho ya uhalibifu si ya kijenga. Mh Hapi ni kijana tumpe muda Kwanza, kama binadam kukosea kupo lakn si hukumu ya kumdemoti, maana sioni shida yake ni kiongozi anayeshirikisha ktk maamuzi
Aliwatukani lini? Na matusi ganiKwa hili la wazee wastaafu A.Hapi kuwatukana anatakiwa apelekwe kwenye baraza la maadili y viongozi wa umma!