Raisi wetu Mama Samia Mtumbue Ally Hapi kabla hujamuapisha

Ally Happy kakalia kuti kavu.
 
NA wewwe ni nani katika nchi hii mpaka upangie wengine mawazo?
Chuki zako kamfanyie mmeo na si watu wengine
 
Huyo hapi hata akitumbuliwa poa tu.
Lakini hii lugha eti 'walilitumikia taifa kwa uadilifu mkubwa....' siyo kabisa.
Wote ni wezi kwa sababu pamoja na nguvu za kiutawala walizokuwa nazo wao na 'watu' wao waliachilia wizi na waliiba pia. Mwendakuzimu naye wizi mtindo mmoja....
Kujifariji kuwa walitumikia taifa kwa uadilifu ni kujilisha upepo tu. Kwanza hao ndio taswira ya hao wastaafu! Maana hao ndio vijana wao.
Wabongo mnajisahaulisha mno.....Hivi hata bashite si aliteuliwa na kikwete baada ya kumtwanga Warioba?! Au ninachanganya mafaili?!
 
Kama unaweza kutetea matumizi yaliyofanyika bila idhini ya Bunge basi wewe siyo mwerevu kama nilivyokuwa nakuchukulia, au unafanya makusudi.

Matumizi yeyote yanayofanywa bila idhini ya Bunge ni UFISADI, period
 
Ndio maana watu wanamtukana mwendazake, japokuwa yupo kaburini. Haijalishi...

Dikteta angetupoteza sana yule...

Mungu akaamua kutufanyia wepesi
Ajabu wanaosema wazee hao sawa kuwatukana wanaweza kusema mwendazake asitukanwe hata kama kuna makosa alitenda.
 
Laana na baraka za mwanadamu yeyeto zimo ndani ya ulimi wake.
Tayari alishajichafua kwa ulimi wake anguko lake ni mda tu
 
Mwendo wa kuchongeana sasa
 
Kama unaweza kutetea matumizi yaliyofanyika bila idhini ya Bunge basi wewe siyo mwerevu kama nilivyokuwa nakuchukulia, au unafanya makusudi.

Matumizi yeyote yanayofanywa bila idhini ya Bunge ni UFISADI, period
Kila matumizi yalifanywa kwa idhini ya bunge. Hata zile ndege mlisema hazikuidhinishwa na bunge ushahidi upo wa bunge kuidhinisha.

Siasa nyingi ni za malalamiko.
 
Ukisikia kusagia kunguni ndo huku.

Wewe ni Mstaafu kwani?
 
We mataga na wewe sometimes unakuwaga na michango ya maana sometimes umagufuli umekuharibu sana.
Kuna kipindi gani ambapo nchi hii haikuwa na deal?

By the way,ukiangalia benchmark nyingi,uongozi wa Kikwete ulikuwa na mafanikio mengi mno. Hayo madini yako ya deal ni porojo tupu!
 
Wastaafu watulie ndiyo maana ni wastaafu aliyepo madarakani zama zao zimekwisha waliyoyafanya kama ni mazuri tunawashukru na kuyaenzi kama mabaya hatuhitaji kujifunza mabaya,
 
Mkuu unaitaka nafasi ya Ally Happi ? maana hili andiko lako ni sawa na kumsagia kunguni
 
Watanganyika ni ngumu sana kuwaelewa......

Kabla ya kumchongea emu jaribu kuangalia............

Alikotokea, waliomfikisha apo alipo.......

Usihangaike na spika............

yajayo yanafurahisha......
 
Hakuna tatizo na hii kauli

Pure political
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…