Ally Happy kakalia kuti kavu.Mama Samia Mtumbue A,Hapi,atakuhalibia na kutoa imani kwa watanzania waliyonayo kwako,
Alionyesha dhalau kubwa Sana kwa wazee wetu ambao ni Maraisi wasitafu,kumbuka hata wewe ni msitafu mtalajiwa,.
Ukimwacha hata wewe ukimaliza muda wako atakuja kukutukana.
Kwani A.Hapi yeye ni nani kwenye Nchi hii hadi afikie kiwango Cha kuwatukama wazee wetu,tena ambao waliwahi kulitumikia Taifa kwa uadilifu mkubwa.Na mcango wao bado unahitajika hadi sasa.
Kuna clip kama tatu hivi ziko zinasambaa mtandaoniAliwatukani lini? Na matusi gani
Mama Samia Mtumbue A,Hapi,atakuhalibia na kutoa imani kwa watanzania waliyonayo kwako,
Alionyesha dhalau kubwa Sana kwa wazee wetu ambao ni Maraisi wasitafu,kumbuka hata wewe ni msitafu mtalajiwa,.
Ukimwacha hata wewe ukimaliza muda wako atakuja kukutukana.
Kwani A.Hapi yeye ni nani kwenye Nchi hii hadi afikie kiwango Cha kuwatukama wazee wetu,tena ambao waliwahi kulitumikia Taifa kwa uadilifu mkubwa.Na mcango wao bado unahitajika hadi sasa.
kabisa aseee hii kamshikia tu mtu kiporo ya kwake 10 badoAkimaliza hii minne, tutasema amemaliza awamu ya Jiwe.
Hivyo aanze mikumi yake.
Ngoja tuanzishe petisheni na makamanda🤣🤸🐒Huyo mama mkimkomalia atamtumbua kweli maana anakuwa influenced sana na kelele za mitandaoni.
Kama unaweza kutetea matumizi yaliyofanyika bila idhini ya Bunge basi wewe siyo mwerevu kama nilivyokuwa nakuchukulia, au unafanya makusudi.Hizo trillion 2.4 zilielezewa kwa kirefu ndani ya bunge kama hukuelewa hayo ni matatizo yako binafsi.
JPM kama alifanya ufisadi angalau vitu vingi sana tangible vipo leo hii kama ushahidi wa matumizi ya pesa.
Assad alitumia lugha zenye kuidharau mamlaka akamkwaza mpaka Kiongozi wa juu kabisa.
Ajabu wanaosema wazee hao sawa kuwatukana wanaweza kusema mwendazake asitukanwe hata kama kuna makosa alitenda.Ndio maana watu wanamtukana mwendazake, japokuwa yupo kaburini. Haijalishi...
Dikteta angetupoteza sana yule...
Mungu akaamua kutufanyia wepesi
Mwendo wa kuchongeana sasaMama Samia Mtumbue A,Hapi,atakuhalibia na kutoa imani kwa watanzania waliyonayo kwako,
Alionyesha dhalau kubwa Sana kwa wazee wetu ambao ni Maraisi wasitafu,kumbuka hata wewe ni msitafu mtalajiwa,.
Ukimwacha hata wewe ukimaliza muda wako atakuja kukutukana.
Kwani A.Hapi yeye ni nani kwenye Nchi hii hadi afikie kiwango Cha kuwatukama wazee wetu,tena ambao waliwahi kulitumikia Taifa kwa uadilifu mkubwa.Na mcango wao bado unahitajika hadi sasa.
Kweli kabisaOva,
Au nasema uongo ndugu zangu?
Kila matumizi yalifanywa kwa idhini ya bunge. Hata zile ndege mlisema hazikuidhinishwa na bunge ushahidi upo wa bunge kuidhinisha.Kama unaweza kutetea matumizi yaliyofanyika bila idhini ya Bunge basi wewe siyo mwerevu kama nilivyokuwa nakuchukulia, au unafanya makusudi.
Matumizi yeyote yanayofanywa bila idhini ya Bunge ni UFISADI, period
We mataga na wewe sometimes unakuwaga na michango ya maana sometimes umagufuli umekuharibu sana.Huo udhaifu umeshaonekana na unatumiwa ipasavyo. Hayati alikuwa opposite, mkimshambulia sana mteule wake yeye anakwenda kinyume chake.
Ile team JK imerudi kwa nguvu zote kwa baadhi ya watu wanaona ni nafuu lakini kwa wengine wanaona kama ni kurudi kule kule kwenye masuala ya deals.
Wastaafu watulie ndiyo maana ni wastaafu aliyepo madarakani zama zao zimekwisha waliyoyafanya kama ni mazuri tunawashukru na kuyaenzi kama mabaya hatuhitaji kujifunza mabaya,Mama Samia Mtumbue A, Hapi atakuharibia na kutoa imani kwa Watanzania waliyonayo kwako. Alionyesha dhalau kubwa Sana kwa wazee wetu ambao ni Maraisi wasitafu, kumbuka hata wewe ni msitafu mtalajiwa.
Ukimwacha hata wewe ukimaliza muda wako atakuja kukutukana.
Kwani A.Hapi yeye ni nani kwenye Nchi hii hadi afikie kiwango Cha kuwatukama wazee wetu,tena ambao waliwahi kulitumikia Taifa kwa uadilifu mkubwa.Na mcango wao bado unahitajika hadi sasa.
View attachment 1815796
Mkuu unaitaka nafasi ya Ally Happi ? maana hili andiko lako ni sawa na kumsagia kunguniHeshima haiuombwi ; wastaafu kama hawajiheshimu na wakafanya mambo ya hovyo juu ya kodi zetu kuwatunza lazima wataambiwa kuwa wanatukwaza!! Wakiwa wastaafu ni lazima waendeshe maisha yao kama wastaafu na sio tena kujiingiza kwenye active politics hata kama ni kwa mlango wa nyuma!!!!
Hakuna tatizo na hii kauliMama Samia Mtumbue A, Hapi atakuharibia na kutoa imani kwa Watanzania waliyonayo kwako. Alionyesha dhalau kubwa Sana kwa wazee wetu ambao ni Maraisi wasitafu, kumbuka hata wewe ni msitafu mtalajiwa.
Ukimwacha hata wewe ukimaliza muda wako atakuja kukutukana.
Kwani A.Hapi yeye ni nani kwenye Nchi hii hadi afikie kiwango Cha kuwatukama wazee wetu,tena ambao waliwahi kulitumikia Taifa kwa uadilifu mkubwa.Na mcango wao bado unahitajika hadi sasa.
View attachment 1815796