Rajab (Harmonize) Vs Nasib (Diamond). Nani tumkabidhi tuzo 2023?

Rajab (Harmonize) Vs Nasib (Diamond). Nani tumkabidhi tuzo 2023?

Melki Wamatukio

JF-Expert Member
Joined
May 3, 2022
Posts
6,156
Reaction score
10,974
Kutokana na mchango wao wanaouonesha katika taifa, hasa ule wa kuitangaza nchi yetu nje ya mipaka, hatuna budi kuwapa motisha kutokana na kazi nzuri waifanyayo

Mimi pamoja na jopo zima la sanaa X na tuzo bora Afrika mashariki, kwa kushirikiana na baraza la sanaa nchini, hatutoishia kuwaalika wapige daku na viongozi wakubwa. Tuna mpango wa kumpatia tuzo mmoja wao ili akatuwakilishie taifa kwenye mashindano X ya kidunia

Unadhani ni nani anafaa kuchukua tuzo hiyo (2023) na kwa nini?

N.B Sababu ni ya msingi zaidi
 
Sasa mkuu lini Harmonize amefanya vizuri kimataifa zaidi ya hapa bongo tu angalau kaenda Sana kenya, burundi nadhani mlinganyo wako haujakaa Sawa Rayvanny na Zuchu wanafanya vizuri nje ya mipaka ya Tz kuliko hata Harmonize. Diamond kwa nje ya mipaka anafanya vizuri ndio maana msanii yoyote mkubwa akija Tanzania atataja jina la diamond kama msanii anapenda kufanya nae kazi, Tuzo yoyote kubwa jina lake utaikuta kwenye kipengele Cha best male of Africa
 
Sasa mkuu lini Harmonize amefanya vizuri kimataifa zaidi ya hapa bongo tu angalau kaenda Sana kenya, burundi nadhani mlinganyo wako haujakaa Sawa Rayvanny na Zuchu wanafanya vizuri nje ya mipaka ya Tz kuliko hata Harmonize. Diamond kwa nje ya mipaka anafanya vizuri ndio maana msanii yoyote mkubwa akija Tanzania atataja jina la diamond kama msanii anapenda kufanya nae kazi, Tuzo yoyote kubwa jina lake utaikuta kwenye kipengele Cha best male of Africa
Mkuu, wewe ni Baba Levo au? Tunachokifanya ni kuangalia wasanii wenye motisha zaidi ndani ya nchi ili tuwafanyie promo huko nje ya nchi, ili wakaperform kwa jina la mashirika yetu, nchi na wadhamini kwa ujumla. Tungemuhitaji Zuchu, tungemualika ikulu ale msosi na Rais
 
Mkuu, wewe ni Baba Levo au? Tunachokifanya ni kuangalia wasanii wenye motisha zaidi ndani ya nchi ili tuwafanyie promo huko nje ya nchi, ili wakaperform kwa jina la mashirika yetu, nchi na wadhamini kwa ujumla. Tungemuhitaji Zuchu, tungemualika ikulu ale msosi na Rais
Tatizo usafini wameivest sana kwenye chawa.
 
Ndani ya Tanzania harmonize ametoa mchango mkubwa sana kwa kutoa hits songs nyingi na kali sana nahisi kuliko msanii yoyote yule bongo kwa mwaka huu 2023 but linapokuja suala la kimataifa ni ishu nyingine kabisa huko utamsikia diamond tu labda na rayvany, harmonize bado hajaweza kuwin soko la nje ya mipaka ya bongo
 
Ndani ya Tanzania harmonize ametoa mchango mkubwa sana kwa kutoa hits songs nyingi na kali sana nahisi kuliko msanii yoyote yule bongo kwa mwaka huu 2023 but linapokuja suala la kimataifa ni ishu nyingine kabisa huko utamsikia diamond tu labda na rayvany, harmonize bado hajaweza kuwin soko la nje ya mipaka ya bongo
Harmonize anakosa management nzuri,basi!angepata manager mzuri angekuwa mbali Sana,kwa upande wangu naona anastahili pongezi maana anapambana kivyakevyake.....maskini eti Mara Kajala ndio Manager wake yaani daaah,anahaki ya kujiita Jeshi
 
Kutokana na mchango wao wanaouonesha katika taifa, hasa ule wa kuitangaza nchi yetu nje ya mipaka, hatuna budi kuwapa motisha kutokana na kazi nzuri waifanyayo

Mimi pamoja na jopo zima la sanaa X na tuzo bora Afrika mashariki, kwa kushirikiana na baraza la sanaa nchini, hatutoishia kuwaalika wapige daku na viongozi wakubwa. Tuna mpango wa kumpatia tuzo mmoja wao ili akatuwakilishie taifa kwenye mashindano X ya kidunia

Unadhani ni nani anafaa kuchukua tuzo hiyo (2023) na kwa nini?

N.B Sababu ni ya msingi zaidi
Rajab first time alipo kuja town alifikia Mbagala (Kokoto) Kwa dada yake....

Akawa saidia fundi Kuna siku wizi wa mbao ukatokea Rajab akatuumiwa....
Akasaidiwa na DIWANI wa kata... DIWANI
Akawaambia Huyu kijana ni mgeni na amefikia Kwa dada yake....
Anaswali pia ni mpole na mtaratibu MNO...
Ndipo alivyo okoka kwenye msala wa wizi wa mbao...

The rest his history...

Source: kokoto, mbagala
 
Kutokana na mchango wao wanaouonesha katika taifa, hasa ule wa kuitangaza nchi yetu nje ya mipaka, hatuna budi kuwapa motisha kutokana na kazi nzuri waifanyayo

Mimi pamoja na jopo zima la sanaa X na tuzo bora Afrika mashariki, kwa kushirikiana na baraza la sanaa nchini, hatutoishia kuwaalika wapige daku na viongozi wakubwa. Tuna mpango wa kumpatia tuzo mmoja wao ili akatuwakilishie taifa kwenye mashindano X ya kidunia

Unadhani ni nani anafaa kuchukua tuzo hiyo (2023) na kwa nini?

N.B Sababu ni ya msingi zaidi
Mnajudge kupitia history au current songs??
 
Mkuu, wewe ni Baba Levo au? Tunachokifanya ni kuangalia wasanii wenye motisha zaidi ndani ya nchi ili tuwafanyie promo huko nje ya nchi, ili wakaperform kwa jina la mashirika yetu, nchi na wadhamini kwa ujumla. Tungemuhitaji Zuchu, tungemualika ikulu ale msosi na Rais
Soma uzi wako wewe umezungumzia kimataifa nimekupa jibu zuri labda ulikuwa na mtazao wako kichwani
 
Rajab first time alipo kuja town alifikia Mbagala (Kokoto) Kwa dada yake....

Akawa saidia fundi Kuna siku wizi wa mbao ukatokea Rajab akatuumiwa....
Akasaidiwa na DIWANI wa kata... DIWANI
Akawaambia Huyu kijana ni mgeni na amefikia Kwa dada yake....
Anaswali pia ni mpole na mtaratibu MNO...
Ndipo alivyo okoka kwenye msala wa wizi wa mbao...

The rest his history...

Source: kokoto, mbagala
Kwa hiyo Rajabu alikuwa mwizi mbao?
 
Mnajudge kupitia history au current songs??
Kupitia kazi ambazo zimekuwa released mwaka huu. Itahusisha utunzi mzuri wa mashairi, mpangilio wa sauti, uhalisia wa kilichoimbwa, muonekano wao kwenye video, maadili na umakini wa kazi (seriousness)
 
Harmonize anakosa management nzuri,basi!angepata manager mzuri angekuwa mbali Sana,kwa upande wangu naona anastahili pongezi maana anapambana kivyakevyake.....maskini eti Mara Kajala ndio Manager wake yaani daaah,anahaki ya kujiita Jeshi
Tunashukuru kwa mchango wako, mkuu
 
Back
Top Bottom