Rajab (Harmonize) Vs Nasib (Diamond). Nani tumkabidhi tuzo 2023?

Rajab (Harmonize) Vs Nasib (Diamond). Nani tumkabidhi tuzo 2023?

Kwa hiyo Rajabu alikuwa mwizi mbao?
Hapana
Rajabu
Hakua mwizi ila kipindi amefikia mbagala (kokoto)
Siunajua mtoto wakiume mtafutaji aki ingia ugenini lazima uanze (kuji mix) kujichanganya kutafuta mishe mishe so watoto wa mbagala wakafanya Yao...

So Kwa kua alikua mgeni maeneo Yale akawa suspect....
 
Bado sijaona Msanii wa kushindana na Diamond hapa Bongo...
 
Hapana
Rajabu
Hakua mwizi ila kipindi amefikia mbagala (kokoto)
Siunajua mtoto wakiume mtafutaji aki ingia ugenini lazima uanze (kuji mix) kujichanganya kutafuta mishe mishe so watoto wa mbagala wakafanya Yao...

So Kwa kua alikua mgeni maeneo Yale akawa suspect....
Jeshi Hana baya,akifa haozi yule
 
Harmonize amemzid diamond Kwa kila kitu hapo kuanzia hits na kolable.. Ni kheri ungeweka Jina la Marioo badala ya Diamond.. Nyimbo kama Best Friend, Wote na Nitaubeba zinazihirisha nilichosema
 
Harmonize amemzid diamond Kwa kila kitu hapo kuanzia hits na kolable.. Ni kheri ungeweka Jina la Marioo badala ya Diamond.. Nyimbo kama Best Friend, Wote na Nitaubeba zinazihirisha nilichosema
🤣🤣🤣🤣
 
Back
Top Bottom