Carlos The Jackal
JF-Expert Member
- Feb 6, 2017
- 25,725
- 78,589
Sasa je hahaha, wachen kabisaaa aiseeee
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sasa je hahaha, wachen kabisaaa aiseeee
Ye mwenyewe anatafuta wa kumpeleka huko nje[emoji23][emoji23] very true et kajala akupeleke kimataifa aisee
HapanaKwa hiyo Rajabu alikuwa mwizi mbao?
[emoji28][emoji28]Tatizo usafini wameivest sana kwenye chawa.
Jeshi Hana baya,akifa haozi yuleHapana
Rajabu
Hakua mwizi ila kipindi amefikia mbagala (kokoto)
Siunajua mtoto wakiume mtafutaji aki ingia ugenini lazima uanze (kuji mix) kujichanganya kutafuta mishe mishe so watoto wa mbagala wakafanya Yao...
So Kwa kua alikua mgeni maeneo Yale akawa suspect....
Zipo juu sanaa in Pierre liquid voice🥃Harmonize amemzid diamond Kwa kila kitu hapo kuanzia hits na kolable.. Ni kheri ungeweka Jina la Marioo badala ya Diamond.. Nyimbo kama Best Friend, Wote na Nitaubeba zinazihirisha nilichosema
🤣🤣🤣🤣Harmonize amemzid diamond Kwa kila kitu hapo kuanzia hits na kolable.. Ni kheri ungeweka Jina la Marioo badala ya Diamond.. Nyimbo kama Best Friend, Wote na Nitaubeba zinazihirisha nilichosema
Mwanangu weka mahaba kando tujadili kikubwa🤣🤣🤣🤣