Rally Bwalya Simba wamepigwa mchana kweupe!

Rally Bwalya Simba wamepigwa mchana kweupe!

Mleta mada mda huu amejifunika gubigubi analia kinyawawa.

Sent from my TECNO BA2 using JamiiForums mobile app
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787],, mwambie yule Ni RB8 magician left footer,super maestro mzee wa soft touch. The King of Kitwe. Wenywe walimwita ' not for sale'
 
.... Sasa ni zamu ya kiungo wa Kizambia, Rally Bwalya nae alikuja kwa mbwembwe nyingi ila ameishia kuwa flop. Hajakidhi yale matarajio makubwa ya wapenda kandanda! Klabu ya Simba ifike wakati wabadilike, badala ya kusajili magarasabya kigeni kwa bei nyingi ni heri wawape nafasi wazawa tu!
-----------------------------------------------------------------------
Ni hayo tu, povu ruksa!
Mkuu, si vibaya ukapita huku tena walau kutusalimia tu
 
Binafsi yangu Mimi sipendi kuangalia mpira wa kibongo ila nilimuona Ile Simba day jamaa anajua sana
 
Kwa msimu wa pili mfululizo Simba Sc wanasajili mchezaji idara ya Kiungo kwaajili ya mechi za kimataifa halafu anakuwa galasa!

Wote ni mashahidi mnamkumbuka yule Msudan Sharif El Din "Mhogo Mchungu" alivyokuja kuwa flop. Sasa ni zamu ya kiungo wa Kizambia, Rally Bwalya nae alikuja kwa mbwembwe nyingi ila ameishia kuwa flop. Hajakidhi yale matarajio makubwa ya wapenda kandanda!

Klabu ya Simba ifike wakati wabadilike, badala ya kusajili magarasabya kigeni kwa bei nyingi ni heri wawape nafasi wazawa tu! Huwezi ukamnunua mchezaji kwa bei kubwa halafu mechi kama ya juzi ya Plateau anawekwa benchi na mchezaji mzawa kama Mzamiru Yassin!

Ni hayo tu, povu ruksa!
We m.k.u.d....uko wap njoo uusome tena huu UCHAWI WAKO

Sent from my SM-N910F using JamiiForums mobile app
 
Kwa msimu wa pili mfululizo Simba Sc wanasajili mchezaji idara ya Kiungo kwaajili ya mechi za kimataifa halafu anakuwa galasa!

Wote ni mashahidi mnamkumbuka yule Msudan Sharif El Din "Mhogo Mchungu" alivyokuja kuwa flop. Sasa ni zamu ya kiungo wa Kizambia, Rally Bwalya nae alikuja kwa mbwembwe nyingi ila ameishia kuwa flop. Hajakidhi yale matarajio makubwa ya wapenda kandanda!

Klabu ya Simba ifike wakati wabadilike, badala ya kusajili magarasabya kigeni kwa bei nyingi ni heri wawape nafasi wazawa tu! Huwezi ukamnunua mchezaji kwa bei kubwa halafu mechi kama ya juzi ya Plateau anawekwa benchi na mchezaji mzawa kama Mzamiru Yassin!

Ni hayo tu, povu ruksa!
Wivu huna ila roho inakuuma sana.
 
UKWELI USEMWE.
SIMBA INAIDADI KUBWA SANA YA WACHEZAJI WABOVU HASA PRO AMBAO NINGEKUWA KIONGOZI SIMBA NINGEACHANA NAO NI HAWA WAFUATAO...

1. PASCAL WAWA.
2.JOASH ACHENG.
3 .KAHATA.
4. BWALYA.
5. MORISON AMESHINDWA......
6. MUGALU NAE AMESHINDWA KABISA.

WANAOFANYA VIZURI NI.
1. CHAMA
2. KAGERE.
3.MISQUSON.

KWAHERI FLAGA.

Kwahiyo kwa akili yoko ww ungewaacha hao wachezaji alaf ukawachukua akina Sarpong, Carlinhos, yakuba, Kisinda ifikie kipindi tuache wivu nasio lazima ww ukiwa namagarasa bas ulazimishe naupande wapili wawenayo
 
Kwahiyo kwa akili yoko ww ungewaacha hao wachezaji alaf ukawachukua akina Sarpong, Carlinhos, yakuba, Kisinda ifikie kipindi tuache wivu nasio lazima ww ukiwa namagarasa bas ulazimishe naupande wapili wawenayo
Hayo magalasa yalikulaza mapema tu Unguja...nyambafu.
 
Bwalya ni kama alivyoanza Fraga.
Alianza kama m'bovu lakini kila anavyoondelea kucheza anaimarika vizuri.
Goli la pili aliassist yeye baada ya kupiga machine kali golikipa akatema Kapombe akamalizia nyavuni goli la pili.
Goli la tatu pia aliassist yeye baada ya kumpokonya mpira Chama na kudrive na kumpa John Boko aliye usindikiza nyavuni kiulaini kabisa goli la tatu.
Mchango wa Bwalya jana ulikuwa mkubwa sana.

Mto mada sahivi yupo kimyaa kama kapigwa ganzi.. [emoji2957] jamaa sahivi anakiwasha balaa
 
Renzo achana na Simba!! Vinginevyo utaendelea kukimbia kila uzi wako!! Huu nao umeshaukimbipa!! Kisa! Bwalya ni Moto wa kuotea mbali!¡
 
Aliye tengeneza huu UZI sijui ana hali gani ? Anapo muona Fiston na supong wana paza paza tu mipira juu
 
Back
Top Bottom