Ram Singh: Kijana alidunduliza sarafu ndani ya gunia la kilo 35 kwa muda wa miaka 12 ili aweze kununua zawadi ya Friji siku ya birthday ya mama yake

Watalii wengi sana wanatokea Ujerumani mkuu...
Bwana mkubwa Mbowe kama unapita hapa nakuomba ikiwezekana tembea kwa magoti hadi chamwino ukaombe radhi kwa Rais Magufuli la sivyo mtakufa tu mtakuwa mmekaidi sauti ya Mungu.
 
Magufuli anapeleka umeme kila kijiji mkoloni alishindwa.
 
Mbona unapanic? hupendi maendeleo anayoleta Rais Magufuli.
 
Tumpongeze Baba wa Taifa Mwalimu Nyerere kwa kuzalisha wasomi wazalendo kama Rais Magufuli.
 
Asante Magufuli umejua kuwatumikia Watanzania October tutakupa kura zote.
 
sisi Watanzania tunamuunga mkono Rais Magufuli kupinga ubeberu na kutetea Wanyonge.
 
Rais Magufuli ni kiboko ya CHADEMA.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…