Ramadhan Kabwili: “Simba walinifuata, nitafute kadi ya njano, wanipe IST mpya”

Ramadhan Kabwili: “Simba walinifuata, nitafute kadi ya njano, wanipe IST mpya”

Ndo huyu mchezaji mwenyewe?
Screenshot_20200127-211943~2.jpeg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Zile bao tano tulizowachabanga vyura tulitoa rushwa kiasi gani?
Hao takukuru washapelekewa kesi kama hizi za kuwahusu mikia na rushwa michezoni na nsa job na shaban kado hadi ushahidi alikua nao wa pesa alizopelekewa na ulimboka mwakingwe ili aifungishe mtibwa,tena hii kesi ilifika hadi mahakamani morogoro lkn hata ilivyoisha isha,takukuru kwenye kana hizi uwaoni

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
MO anapotishia kujiondoa Simba maanayake anaona anatumia fedha nyingi kwa mambo ya kipuuz. Timu anasajili kwa fedha ndefu,mishahara mikubwa bado na mechi anunue, marefa ahonge mwishoe anaona atafilisika bila sababu.
Mechi ya hivi karibun ya Simba na Mwadui, Mwamuzi msaidizi akinyoosha kibendera cha offside wakati mshambuliaji wa Mwadui katoka katika msitu wa mabeki wa Simba na kumlamba chenga kipa wa simba ili onyesha jinsi fedha inavyo udhalilisha mpira wetu.

Sent using Jamii Forums mobile app
Unaituhumu simba kuwa inanunua mechi na ushahidi wako ukiwa ni maamuzi ya uwanjani, hivi umeangalia mechi ya prison na yanga? Kuna tukio kama la kwenye mechi ya simba na mwadui, mchezaji wa prison alikua onside alikua anaelekea kufunga lakini linesman akanyosha kuwa ni offside.

Tukio lingine mchezaji wa yanga kanawa nje kidogo ya 18 tena karibu na linesman lakini akapeta.
Ni hivi hakuna asiyejua ubovu wa marefa na haujaanza leo na kama hayo maamuzi inakuwa sio ubovu wa waamuzi bali wanakuwa wamenunuliwa basi hata yanga inanunua mechi.
 
Huyu huwezi kuamini maneno yake..huenda ana matatizo kichwani. Kama hapa anasema yupo timu kubwa na inatwaa mataji,utawezaje kumuamini kwenye kauli zake zingine..!?? Huyu siyo mzima!! Yaani timu ya wananchi ina twaa mataji!?? Labda taji la miiba kichwani alilovikwa Yesu!
 
Alikaa langoni bado akala goli sasa analeta porojo bila ushahidi hapa.
Wakomae na njaa yao Simba watuache.
 
Nasubiri kuona mwisho wake huyu dogo utaishia vp.
Akumbuke mchezaji siyo shabiki wa timu fulani bali ni ajira.
Amejiharibia kisoka
kaongea ukweli mtupu...kipa wa Mbao alipewa pesa Kirumba mkashinda 3-2 akafukuzwa kwenye timu bahati ni mwalimu anafundisha shule...walivyomshindwa Kabwili wakawapa hela Kevin,Dante na Gadiel....sasa hivi kuna chapa GSM na Taifa gas haongeki mtu
 
Turnkey
Ukweli wa maneno tupu bila ushahidi ndio unadandia mkuu
ALI ALI alipokuwa anajifunga magoli kuwafaidisha Yanga napo mlimnunua..?
Kessy akiwa Simba akampasia NGOMA mpira akafunga mlimpa hela pia sio?...
HAMNA JIPYA NYIE TEMBEENI JUU YA MPIRA
 
kaongea ukweli mtupu...kipa wa Mbao alipewa pesa Kirumba mkashinda 3-2 akafukuzwa kwenye timu bahati ni mwalimu anafundisha shule...walivyomshindwa Kabwili wakawapa hela Kevin,Dante na Gadiel....sasa hivi kuna chapa GSM na Taifa gas haongeki mtu
Ukiambiwa uthibitishe unaweza au unaishi kupitia porojo za mtaani?
 
Yaani usipewe IST uachie magoli eti upewe IST utafute kadi,huyu dogo anatumika. Halafu issue sensitive unaizungumza kishogashoga jumla jumla tu. Awe na ushahidi wa kutosha,
 
MO anapotishia kujiondoa Simba maanayake anaona anatumia fedha nyingi kwa mambo ya kipuuz. Timu anasajili kwa fedha ndefu,mishahara mikubwa bado na mechi anunue, marefa ahonge mwishoe anaona atafilisika bila sababu.
Mechi ya hivi karibun ya Simba na Mwadui, Mwamuzi msaidizi akinyoosha kibendera cha offside wakati mshambuliaji wa Mwadui katoka katika msitu wa mabeki wa Simba na kumlamba chenga kipa wa simba ili onyesha jinsi fedha inavyo udhalilisha mpira wetu.




Sent using Jamii Forums mobile app
Nenda Kaaangalie Mechi ya Yanga na Prison dkk ya 33 mchezaji wa Yanga, Peter alianguka na kuunawa mpira kwenye box mwamuzi hakutoa penati kama alivyofanya kwa Yanga.
Yule Kocha Adolf ni mchezaji wa zamani wa Yanga wote tunamjua na jinsi mlivyompa pesa, Salum Kimenya alimgomea alipoona anataka kuwafunga akapiga shuti ikagonga mwamba hapo hapo akafanyiwa Substitution. Usiwaseme huku ukiwaaacha hasimu wao. Kwa Simba na Yanga wote lao moja.
 
Huyu huwezi kuamini maneno yake..huenda ana matatizo kichwani. Kama hapa anasema yupo timu kubwa na inatwaa mataji,utawezaje kumuamini kwenye kauli zake zingine..!?? Huyu siyo mzima!! Yaani timu ya wananchi ina twaa mataji!?? Labda taji la miiba kichwani alilovikwa Yesu!
Mimi mwenyewe nimeshangazwa na kauli yake, eti timu aliyopo inabeba mataji duuh

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nenda Kaaangalie Mechi ya Yanga na Prison dkk ya 33 mchezaji wa Yanga, Peter alianguka na kuunawa mpira kwenye box mwamuzi hakutoa penati kama alivyofanya kwa Yanga.
Yule Kocha Adolf ni mchezaji wa zamani wa Yanga wote tunamjua na jinsi mlivyompa pesa, Salum Kimenya alimgomea alipoona anataka kuwafunga akapiga shuti ikagonga mwamba hapo hapo akafanyiwa Substitution. Usiwaseme huku ukiwaaacha hasimu wao. Kwa Simba na Yanga wote lao moja.
Duh
 
Back
Top Bottom