Ramadhan Kayoko ndiye mwamuzi mbovu katika NBC Premier League! Freekick uliyowazawadia Yanga imeigharimu Simba

Ramadhan Kayoko ndiye mwamuzi mbovu katika NBC Premier League! Freekick uliyowazawadia Yanga imeigharimu Simba

Mkono Mmoja

JF-Expert Member
Joined
Jan 26, 2019
Posts
3,359
Reaction score
6,568
Yaani baada ya kuona TFF imemchagua Kayoko kuwa mwamuzi katika mechi ya Derby ya Kariakoo moja kwa moja nikajua Simba hashindi mechi hii.

Yaani kila nikirejea picha za tukio ambalo ameizawadia Yanga freekick sioni kosa alilolifanya Okejepha. Na baada ya kuona Chama ameingia na anaenda kupiga ule mpira nikajua hapa inaenda kuzaa goli na kweli ndivyo ilivyotokea.

Zaidi ya kukodoa macho kama panya aliyebanwa na mlango hakuna kingine Kayoko (mwanachama wa Yanga) anajua zaidi ya kuiua Simba Sc.
 
Yaani baada ya kuona TFF imemchagua Kayoko kuwa mwamuzi katika mechi ya Derby ya Kariakoo moja kwa moja nikajua Simba hashindi mechi hii.

Yaani kila nikirejea picha za tukio ambalo ameizawadia Yanga freekick sioni kosa alilolifanya Okejepha. Na baada ya kuona Chama ameingia na anaenda kupiga ule mpira nikajua hapa inaenda kuzaa goli na kweli ndivyo ilivyotokea.

Zaidi ya kukodoa macho kama panya aliyebanwa na mlango hakuna kingine Kayoko (mwanachama wa Yanga) anajua zaidi ya kuiua Simba Sc.
TFF hawataki matumizi ya VAR
 
Yaani baada ya kuona TFF imemchagua Kayoko kuwa mwamuzi katika mechi ya Derby ya Kariakoo moja kwa moja nikajua Simba hashindi mechi hii.

Yaani kila nikirejea picha za tukio ambalo ameizawadia Yanga freekick sioni kosa alilolifanya Okejepha. Na baada ya kuona Chama ameingia na anaenda kupiga ule mpira nikajua hapa inaenda kuzaa goli na kweli ndivyo ilivyotokea.

Zaidi ya kukodoa macho kama panya aliyebanwa na mlango hakuna kingine Kayoko (mwanachama wa Yanga) anajua zaidi ya kuiua Simba Sc.
Mara zote kwa mtanzania kila kifo kina mchawi so kawaida tu...
 
Ningekua karibu na kayoko saiz nna kesi ya mahuaji kudadeki faulo mbili ndani ya boks wanacheza mwili badala ya mpira anatoa macho tu kayoko sasa faulo ya fernandez faulo gan ile
 
Back
Top Bottom