Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mbili zipi?Red card saw moja
penat 2 mwish katoa faulo ya uongo iliowapa goli mtani jiulize nan kafaidka na refa
Kibu kafanyiwa tackeling 2 na beki ambazo zote wamekosa mpira wamecheza mwili ndani ya boks kayoko ka mute tuMbili zipi?
Pole sana. Vumilia ndo ukubwa huoNingekua karibu na kayoko saiz nna kesi ya mahuaji kudadeki faulo mbili ndani ya boks wanacheza mwili badala ya mpira anatoa macho tu kayoko sasa faulo ya fernandez faulo gan ile
Moja tu nyingine sio penalty. Mshukuruni refa nyie, mngepata kadi nyekundu, nina uhakika Yanga hasinge kukosa goli tatu minimum, kwani kipindi cha pili pumzi ilikata ndio maana mkajaziwa washambuliaji.Kibu kafanyiwa tackeling 2 na beki ambazo zote wamekosa mpira wamecheza mwili ndani ya boks kayoko ka mute tu
Sawa, vipi Chama bado ni mzee???Faulu iliyo zaa goli haikuwa halali.
Clear offside ya Ateba vipi, je red card ya Abdulazik akiwa na Dube au nyani haoni nanilii yake?Red card saw moja
penat 2 mwish katoa faulo ya uongo iliowapa goli mtani jiulize nan kafaidka na refa
Mbumbumbu hilo hawalioni wala kuligusia...wanamlaumu Camara kachomesha wakati kwa matampi katema mpira wakafunga na kwenda kwenye kibendera kukata mauno.Hizi mechi waamuzi wanakua na presha sana Kuna beki wa Simba alimfanyia foul dube akiwa mtu wa mwisho, ile ni red card Haina mjadala
Chukulia kama mngekua pungufu nini kingewakutaRed card saw moja
penat 2 mwish katoa faulo ya uongo iliowapa goli mtani jiulize nan kafaidka na refa
Ile ni red card na pia Camara kumuangusha Musonda ni penati uto tumenyimwa! Mechi ilikuwa iishe mapema tu!!Simba wana zali sana na marefa!!Hizi mechi waamuzi wanakua na presha sana Kuna beki wa Simba alimfanyia foul dube akiwa mtu wa mwisho, ile ni red card Haina mjadala
Mpira umeanza fatilia lini kwanza 2015/16 simba anasawqzish zid ya yanga wakiwa wana ongoza 1 goli la msuva penati simba wapo punguf mavugo na kichuya anatupia la 2 la ushndi red card alipata bukungu simba wakiwa nyuma 1 bilaChukulia kama mngekua pungufu nini kingewakuta
Kama sio ile faulo ya uongo kipi kingne kwakeSawa, vipi Chama bado ni mzee???
Nyie hamkupata freekick hata Moja? Mlizitumiaje?Yaani baada ya kuona TFF imemchagua Kayoko kuwa mwamuzi katika mechi ya Derby ya Kariakoo moja kwa moja nikajua Simba hashindi mechi hii.
Yaani kila nikirejea picha za tukio ambalo ameizawadia Yanga freekick sioni kosa alilolifanya Okejepha. Na baada ya kuona Chama ameingia na anaenda kupiga ule mpira nikajua hapa inaenda kuzaa goli na kweli ndivyo ilivyotokea.
Zaidi ya kukodoa macho kama panya aliyebanwa na mlango hakuna kingine Kayoko (mwanachama wa Yanga) anajua zaidi ya kuiua Simba Sc.
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂Angalia vizuri marudio ya lile goli kwenye tv,,utaona camara alipigwa tochi usoni kabla ya mpira kupigwa.
Utaona anajikinga usoni kuna tochi ya kijani kwenye paji la uso,,
Unapaswa uwe makini sn utaona.
mimi ni shabiki wa simba, bila hiyana wala ajizi ile ilikuwa kadi nyekundu kayoko akaamua kubalance mchezo.Hizi mechi waamuzi wanakua na presha sana Kuna beki wa Simba alimfanyia foul dube akiwa mtu wa mwisho, ile ni red card Haina mjadala
Yanga mnafaida ya kushinda mechi za hivi karibuni na hii haimanishi hamtakiwi kushinda mnaweza mkaendelea kushinda dhidi ya Simba na si kila mkishinda mseme mnaquality Sana zaidi ya Simba hizi mechi za derby zinachezwa Sana nje ya uwanja na zinaamuriwa na makosa ya maamuzi pia kwa hiyo furahini mnapopata furaha siku akiba yenu hii ndo itakuwa inawafariji. Hongereni Sana wataniVipi Ile card nyekundu aliyostahili kupewa abdulazack hamza na bado mnamlaumu kayoko? Mbumbumbu ni mbumbumbu kwakweli!
kabisa bora umewakumbusha hawa makoloAfwile munu Asigale munu, sisi kama wananchii tulimkataa kayoko mapema ila nyie ndio mliekuwa mnataka achezeshe so vumilia mtoto wa kiume wewe
red card ni sawa, ila ile ya ateba sio offside hujui mpira wewe maandazi ya kuchoma.Clear offside ya Ateba vipi, je red card ya Abdulazik akiwa na Dube au nyani haoni nanilii yake?
Ubinadamu ni kazi/The humanity is a work.