Ramadhan Kayoko ndiye mwamuzi mbovu katika NBC Premier League! Freekick uliyowazawadia Yanga imeigharimu Simba

Ramadhan Kayoko ndiye mwamuzi mbovu katika NBC Premier League! Freekick uliyowazawadia Yanga imeigharimu Simba

IMG_20241019_204752_504.jpg
 
Yaani baada ya kuona TFF imemchagua Kayoko kuwa mwamuzi katika mechi ya Derby ya Kariakoo moja kwa moja nikajua Simba hashindi mechi hii.

Yaani kila nikirejea picha za tukio ambalo ameizawadia Yanga freekick sioni kosa alilolifanya Okejepha. Na baada ya kuona Chama ameingia na anaenda kupiga ule mpira nikajua hapa inaenda kuzaa goli na kweli ndivyo ilivyotokea.

Zaidi ya kukodoa macho kama panya aliyebanwa na mlango hakuna kingine Kayoko (mwanachama wa Yanga) anajua zaidi ya kuiua Simba Sc.
Clear goal yanga wakikuwa hatari kwenye goli la simba ,na ike ya dube ilikuwa red card, simba kwa yanga bado mteja ,yanga ingawa hawakucheza vizuri as a team ila quality players waliamua matokeo
The ref was excellent tuache ushabiki maandazi
 
Yaani baada ya kuona TFF imemchagua Kayoko kuwa mwamuzi katika mechi ya Derby ya Kariakoo moja kwa moja nikajua Simba hashindi mechi hii.

Yaani kila nikirejea picha za tukio ambalo ameizawadia Yanga freekick sioni kosa alilolifanya Okejepha. Na baada ya kuona Chama ameingia na anaenda kupiga ule mpira nikajua hapa inaenda kuzaa goli na kweli ndivyo ilivyotokea.

Zaidi ya kukodoa macho kama panya aliyebanwa na mlango hakuna kingine Kayoko (mwanachama wa Yanga) anajua zaidi ya kuiua Simba Sc.
Vipi Ile card nyekundu aliyostahili kupewa abdulazack hamza na bado mnamlaumu kayoko? Mbumbumbu ni mbumbumbu kwakweli!
 
Yaani baada ya kuona TFF imemchagua Kayoko kuwa mwamuzi katika mechi ya Derby ya Kariakoo moja kwa moja nikajua Simba hashindi mechi hii.

Yaani kila nikirejea picha za tukio ambalo ameizawadia Yanga freekick sioni kosa alilolifanya Okejepha. Na baada ya kuona Chama ameingia na anaenda kupiga ule mpira nikajua hapa inaenda kuzaa goli na kweli ndivyo ilivyotokea.

Zaidi ya kukodoa macho kama panya aliyebanwa na mlango hakuna kingine Kayoko (mwanachama wa Yanga) anajua zaidi ya kuiua Simba Sc.
Mmekoma! Mateja ktk ubora wao
 
Maku sana kazi kutoa macho tu kama anakunya.
 
Yamkini kuna maamuzi alikosea ila tusimfanye sababu
Hamza was a last man standing kisheria ni straight red card
Kibu incidences 2 ni penalty
Camara kacheza mpira wa off target ukazua goal
Team imeonyesha improvement kubwa sana napata imani tukiendelea kujipanga vizuri tutarudi kwenye level zetu


MAGORI LEO KATUONESHA HATA WATU WAZIMA WANAKOSEA
 
Yaani baada ya kuona TFF imemchagua Kayoko kuwa mwamuzi katika mechi ya Derby ya Kariakoo moja kwa moja nikajua Simba hashindi mechi hii.

Yaani kila nikirejea picha za tukio ambalo ameizawadia Yanga freekick sioni kosa alilolifanya Okejepha. Na baada ya kuona Chama ameingia na anaenda kupiga ule mpira nikajua hapa inaenda kuzaa goli na kweli ndivyo ilivyotokea.

Zaidi ya kukodoa macho kama panya aliyebanwa na mlango hakuna kingine Kayoko (mwanachama wa Yanga) anajua zaidi ya kuiua Simba Sc.

Vipi kuhusu last man kucheza rafu na kupewa kadi ya njano ?

Ni sheria gani ya mpira inasema last man foul ni yellow card punishment
 
Nyinyi watoto wa Karia huwa mnabebwa sana! Ila hambebeki. Namshauri Mañgungu aanze tu kuwacharaza bakora ilo akili ziwakae sawa.
Tukiachana na utani refa mechi ya leo imemshinda.
Simba amenyimwa penality mbili ambazo hazihitaji nguvu wala VAR kuzitambua.
Ameshindwa kutoa kadi nyekundu kwa Razaki baada ya kumchezea rafu Dube wakati alikuwa mtu wa mwisho.

Faulu iliyo zaa goli haikuwa halali.
 
Vipi kuhusu last man kucheza rafu na kupewa kadi ya njano ?

Ni sheria gani ya mpira inasema last man foul ni yellow card punishment
Sasa si ndo ubovu tunao sema?
 
Yaani baada ya kuona TFF imemchagua Kayoko kuwa mwamuzi katika mechi ya Derby ya Kariakoo moja kwa moja nikajua Simba hashindi mechi hii.

Yaani kila nikirejea picha za tukio ambalo ameizawadia Yanga freekick sioni kosa alilolifanya Okejepha. Na baada ya kuona Chama ameingia na anaenda kupiga ule mpira nikajua hapa inaenda kuzaa goli na kweli ndivyo ilivyotokea.

Zaidi ya kukodoa macho kama panya aliyebanwa na mlango hakuna kingine Kayoko (mwanachama wa Yanga) anajua zaidi ya kuiua Simba Sc.
Ww unajua Mira au zaman ulikua shabiki wa netbali,Kwa iyo hata iyo faulu iliyosababisha goli hukuona?
 
Tukiachana na utani refa mechi ya leo imemshinda.
Simba amenyimwa penality mbili ambazo hazihitaji nguvu wala VAR kuzitambua.
Ameshindwa kutoa kadi nyekundu kwa Razaki baada ya kumchezea rafu Dube wakati alikuwa mtu wa mwisho.

Faulu iliyo zaa goli haikuwa halali.
Ile faul aliyotoa na kusababisha Goli ilikua sahihi, uwezi kucheza mpira wa kichwa ukaweka daruga ni Reckless play una hatarisha usalana wa mchezaji mwenzako.
 
Back
Top Bottom