Hlf ple ulipopata ajali sio maeneo yale ya scaba scuba?Assalam alleykum warhmatulah wabaraqatuh
Ndugu zangu mimi jumatatu nilipata ajali, alhamdulilah kiafya niko poa, ila upande wa uchumi siko poa ukizingatia bajaj yangu ndio ilikuwa kila kitu
Sasa kuna rafiki yangu, kwao mashallah amesema niwe naenda kufuturu kwao!
Kusema kweli nafeel shame hii imekaaje mana kwao ni extended family naombeni ushauri.
Waalaykum Salaam Warahmatullaah WabarakaatuhAssalam alleykum warhmatulah wabaraqatuh
Ndugu zangu mimi jumatatu nilipata ajali, alhamdulilah kiafya niko poa, ila upande wa uchumi siko poa ukizingatia bajaj yangu ndio ilikuwa kila kitu
Sasa kuna rafiki yangu, kwao mashallah amesema niwe naenda kufuturu kwao!
Kusema kweli nafeel shame hii imekaaje mana kwao ni extended family naombeni ushauri.
AminaHivi ndivyo binadamu tunatakiwa kua,kukumbushana mambo ya kheri,unaweza kufanya jambo dogo tu kama la mleta uzi Kumbe kwa MOLA ni jambo kubwa,tumuombe ALLAH atujaalie tuwe ni wenye kukumbushana mara kwa mara mpaka mauti zitapotufika.
Kama mnaishi karibu bora mtoto awe anakuja kukuletea maana itakupa amani zaidi kuliko kwenda hapo.Assalam alleykum warhmatulah wabaraqatuh
Ndugu zangu mimi jumatatu nilipata ajali, alhamdulilah kiafya niko poa, ila upande wa uchumi siko poa ukizingatia bajaj yangu ndio ilikuwa kila kitu
Sasa kuna rafiki yangu, kwao mashallah amesema niwe naenda kufuturu kwao!
Kusema kweli nafeel shame hii imekaaje mana kwao ni extended family naombeni ushauri.
Ndio pale pale mkuuHlf ple ulipopata ajali sio maeneo yale ya scaba scuba?
SahihiKama mnaishi karibu bora mtoto awe anakuja kukuletea maana itakupa amani zaidi kuliko kwenda hapo.
Sawa mwalimu shukranWaalaykum ssalaam warahmatullahi wabarakatuh
Ndugu niliona ile post ya Ajali ila uyo Rafiki ako kma kakualika mwenyewe haina shida we nenda huenda kashaongea na familia yake uyo
Mtoaji rizki ni Allah huu ni mwezi wa kutoa sadaqa sanaa kwaio rafiki ako anataka kupata thawabu kupitia wewe nenda mkuu wala usione haya
Napajua sana tu ayo maeneo hlf yaonesha inaweza kua ata ushawahi nipakia na bajaji yko aiseeNdio pale pale mkuu
Wewe ni mwenyeji sana aiseee
Pole sana ndugu yanguNdio pale pale mkuu
Wewe ni mwenyeji sana aiseee
Waaleykum Salaam Warahmatullah Wabarakatuh,Assalam alleykum warhmatulah wabaraqatuh
Ndugu zangu mimi jumatatu nilipata ajali, alhamdulilah kiafya niko poa, ila upande wa uchumi siko poa ukizingatia bajaj yangu ndio ilikuwa kila kitu
Sasa kuna rafiki yangu, kwao mashallah amesema niwe naenda kufuturu kwao!
Kusema kweli nafeel shame hii imekaaje mana kwao ni extended family naombeni ushauri.
Hahaha location ni tanzania hii hii tena hapa karibu, tusijaze server za uzi wa ramadhan nimwambie mshenga afungue uzi mwingine tuyajenge?.Washa location 😀
Ukija na mshenga km mmejipanga suala linaisha leoleo tukifuturu tu 😀
Kweli kabisaHahaha location ni tanzania hii hii tena hapa karibu, tusijaze server za uzi wa ramadhan nimwambie mshenga afungue uzi mwingine tuyajenge?.
Asante kwa hatua nzuri.Kweli kabisa
Fatwa ya lajnah ya kudumu