DR HAYA LAND
JF-Expert Member
- Dec 26, 2017
- 23,928
- 63,499
Naam kama herufi wazitambu vzr hii hapa . Hii ni dua baada ya kumaliza kula daku.
الْحَمْـدُ للهِ الَّذي أَطْعَمَنـي هـذا وَرَزَقَنـيهِ مِنْ غَـيْرِ حَوْلٍ مِنِّي وَلا قُوَّةٍ
Una we za niandikia kwa kiswahili
تعلم أن تكون محترماً أخي. الذي لم تجب عليه في أي مكان قال أنه مجالاتي. يوجد هنا على المسرح أناس لا يؤمنون بوجود الله. هل أنت متأكد أن كل من ينتقدك هو مسيحي؟Unaweza ukatupisha kwenye uzi wetu ukaenda kwa wagalatia wenzako.
Hapana mkuu. Nia haitamkwi. Ni uzushi kutamka Nia iwe katika Swala, Funga au Ibada yoyote.Nawaitu
Swaumu
Agadi
N.k
Ndo nahitaji mkuu niendikie
Kiukweli hata ulichokijibu hakieleweki kabisa swali langu nililokuuliza ni kwamba wayahudi walikuwa wanasali wapi kabla ya Mohammad?Mayahudi waliolaaniwa hawana haki napo pale muda wa kuwa hawajajisalimisha kwa Allah Peke yake na wakawa Waislam. Na ndio maana walitolewa pale kwa udhalili kwa sababu pale hapapaswi kuwa sinagogi au hekalu la kufanyia ushirikina.
Halafu Mtume Muhammad (Swala na Salamu ziwe juu yake) aweze kuandika Qur'an halafu wasiweze wengine? Unajua kuna wenzio walidai hilo wakati wake Mtume wakawa challenged nao watunge kama wanaweza? Na wakashindwa japo walikuwa ni wafasaha wa lugha ya Kiarabu. Na vipi Mtume Muhammad aandike Qur'an ilhali hakuwa akijua kusoma na kuandika na wala hakuwa na historia ya kusoma? Na kama yeye Mtume ndio katunga Qur'an kwanini Qur'an haifanani na maneno yake Mtume? Kungekuwa na ufanano. Na kama kasaidiwa na wengine mbona hawakuiweza challenge waliyopewa ya kutunga nyengine mfano wake, au hata sura kadhaa au hata sura moja tu?
Qur'an ni Maneno ya Allah.
Na pia Qur'an sio kiumbe bali ni Maneno yake Allah, hayakuumbwa.
Haya nenda katafute nyuzi za kubishana. Usiharibu uzi.
Hauwezi kujibu swali la wayahudi walikuwa wanasali wapi kabla ya Mohammad kuja?Walikuwa wanaswali Waislam. Masajid zote zipo kwa ajili ya kuabudiwa Allah peke yake.
Ila umekubali kuwa ulikuwa hujui Masjid al Aqsa ni eneo lote lile? Na hivyo kuondoa mshangao wako kuwa Mtume aliswalije wakati hakukuwa na jengo?
So, usiharibu uzi kwa kuruka ruka. Hatutaki mijadala isiyo na tija humu.
Bismillahi rrahmani rrahiim.Nawaitu
Swaumu
Agadi
N.k
Ndo nahitaji mkuu niendikie
الْحَمْـدُ للهِ الَّذي أَطْعَمَنـي هـذا وَرَزَقَنـيهِ مِنْ غَـيْرِ حَوْلٍ مِنِّي وَلا قُوَّةٍUna we za niandikia kwa kiswahili
Perfect Mkuu thank youBismillahi rrahmani rrahiim.
Nawaitu swawmaghadi. An-adaai min-yawmi shahar ramadhwaani. Haadhihi sana, faradhwa alayna lillahi taala, imaanan wahti saaban liwajihillahi kariim. Alhamdulillahi rabbil aalamiin.
Nafikiri ni hii uliyokuwa unaihitaji!
Kwani wayahud asili yao ni kwa nani?Hauwezi kujibu swali la wayahudi walikuwa wanasali wapi kabla ya Mohammad kuja?
asili kivipiKwani wayahud asili yao ni kwa nani?
Wewe asili yako ni wapi?asili kivipi
Asili maana yake nini?Wewe asili yako ni wapi?
Mwanzo wa kitu (au jamii).Asili maana yake nini?
Kama upo Dar, ratiba hiyo hapoNina maswali kuhusu muda wa kula daku.......Kwa ratiba ya sasa jua kuchomoza ni saa 11:19 asubuhi.....Jee mwisho wa kula daku inapaswa kuwa saa ngapi??
Nina maswali kuhusu muda wa kula daku.......Kwa ratiba ya sasa jua kuchomoza ni saa 11:19 asubuhi.....Jee mwisho wa kula daku inapaswa kuwa saa ngapi??
Muda huo ndio wa kupambazuka Alfajiri au ni muda wa kuchomoza Jua huko kwenu? Sijaelewa.Nina maswali kuhusu muda wa kula daku.......Kwa ratiba ya sasa jua kuchomoza ni saa 11:19 asubuhi.....Jee mwisho wa kula daku inapaswa kuwa saa ngapi??