Nyoka_mzee
JF-Expert Member
- Nov 26, 2016
- 3,695
- 5,531
Kwahiyo Tuache kufundishana Dini yetu ,kwa kuoga hilo unalosemandio muda mzuri wa kuwatafuta wauaji wa kibiti
Wewe unaleta mengine sasa.
Hovyo kweli.Hivi wewe mkuu, ule hiyo saa kumi alfajiri ndiiii, tumbo nga nga nga! Utahitaji tena kula mchana? Hamna kufunga hapo... Kufunga ushinde na njaa, wanatujazia ushuzi tu kwenye magari, maana wakishashiba hiyo alfajiri,.. Na wanavyojua kuchanganya vitu, mahindi, Mayai, ugali, mapera,.. Sasa usubiri kujamba tu mchana.. Kila la heri Jamaa zangu watoto wa mama Mdogo,.... Mungu wenu akawape hitaji la moyo wenu, mkapunguze chuki,...
Sitetei wasioswali.ila
Nitajie nguzo 5 za uislam.
MashaAllahWanafunga...
Kubadili mda ina maana tungekua tunakunywa chai saa moja usiku,,lunch saa saba usiku afu dinner sa 12 asubuhi.
Tunafunga na kufungua kwa kuzama na kuchomoza kwa jua?!
Miezi mingine sio ya kutenda mabaya,ila mwezi Wa ramadhan matendo mema yanalipwa Mara kumi zaidi kulinganisha na miezi mingine.
Una swali lingine umeacha kiporo tukujibu?
Hauoni kama swaumu ipo peke yake.na swala ipo peke yake?1.shahada
2.swala
3.swiam/swaumu
4.zaka
5.kuhiji Kwa mwenye uwezo
Subra ndio msingi mkuu kwa waislam, nami naungana na ww hatupo hapa kwa ajili ya mabishano ya kidini, tupo kwa ajili ya kutafuta radhi za Allah. Tuwaapuze wanaotaka kututoa ktk malengo.Naomba anaetoka nje ya mada au kuikashfu uislam tufanye hatumuoni,tumuache kama alivyo.
W.warahmatullah wabarakatu.Asalaam Aleykum ndugu zangu wote katika imani
Kuelekea mfungo mtukufu wa mwezi wa ramadhan ,waislam wote nawaomba tukutane humu ili tuelimishane mawili matatu kuhusu mwezi huu
Lengo kuu ni kuweza kufahamu yale yote aliyotufunza kipenzi chetu mtume Muhammad S.A.W kuhusu mwezi huu ,vitu gani tukifanya vitaharibu swaumu zetu vitu gani tukifanya vitaongeza thawabu zinazopatikana katika kufunga ,ipi hukumu kwa wale wasiofunga na yapi malipo anayopewa mja ambaye anafunga swaumu kikamilifu
Pia tuweze kujifunza neema zinazopatikana kwenye usiku wa lailatul qadr usiku ambao ubarikiwa kuliko siku elfu moja
Kwa haya machache napenda kutanguliza shukrani zangu za dhati kwa muumba wa mbingu na ardhi ambaye si mwengine bali ni Allah S.W
T na kipenzi chake.mtume.Muhammad S.A.W
Karibuni .
Nasikia wale Al shabaab wanasemaga ni haram mwislamu kutumia inernet ni kweli? Maana wao wenyewe wana account hadi Twitter.