wrong turn
JF-Expert Member
- Feb 17, 2013
- 438
- 170
Urongo mtupu Alshaabab kwanza hawawakilishi Uislam Bali Uislam na Mafundisho yake matakatifu yako Mbali na Alshaabab...!Nasikia wale Al shabaab wanasemaga ni haram mwislamu kutumia inernet ni kweli? Maana wao wenyewe wana account hadi Twitter.
Masha Allah! naliona vazi la Mitume, uislamu raha jamani
Hauoni kama swaumu ipo peke yake.na swala ipo peke yake?
Shahada.inayosemwa kwenye nguzo ya uislam,ni ile kabla ya kuanza kuswali.Ok sawa unataka kujenga hoja ambayo mimi ntakujib kama ww unavyotaka au kama ww ulivyojenga hoja nataka nkuulize je swala na shahada si nguzo tofauti naaamini 100% jibu lako litakuwa ni ndio/swadaqta
Swali kwako mkuu
Je? Swala ya mtu amabaye ajatoa shahada ina kubalila/ yajuzuu?? tafadhal tunaomba jibu
hawata kuwa radh, manaswara na mayahudi mpaka mfate mila zaoNaomba anaetoka nje ya mada au kuikashfu uislam tufanye hatumuoni,tumuache kama alivyo.
Shahada.inayosemwa kwenye nguzo ya uislam,ni ile kabla ya kuanza kuswali.
No ile ya lazima kila anaetaka kuwa muslim lazma aitamke
Kweli mkuuni kweli kabisa na ndomana tunasisitizwa tusome ili kuijua dini yetu ,maana ukisoma hutoburuzwa wala hutofauta mkumbo,
maana dini haiendeshwi kwa rai za mtu au kufata mkumbo ,
Unaposoma basi unajua unachokisimamia
Kukhtilafiana kupo na kulikuwepo ila hakumaanishi tufarakane
Nilitaka kumuanzia mbali ila hapaOk sawa unataka kujenga hoja ambayo mimi ntakujib kama ww unavyotaka au kama ww ulivyojenga hoja nataka nkuulize je swala na shahada si nguzo tofauti naaamini 100% jibu lako litakuwa ni ndio/swadaqta
Swali kwako mkuu
Je? Swala ya mtu amabaye ajatoa shahada ina kubalila/ yajuzuu?? tafadhal tunaomba jibu
Kwahio aliye zaliwa ktk uwislamu atakua hajatoa shahada? AuShahada.inayosemwa kwenye nguzo ya uislam,ni ile kabla ya kuanza kuswali.
Nikweli ila haileti maana kwasababuMkuu nafikiri tumuachie mungu mwenyewe haukumu.maana zote ni ibada.na ukifanya unapata swawabu na ukiacha unapata dhambi
Hapa ukibadili dini hupati hasara.View attachment 512973 Asalam aleykum,na yasiyofaa katika uislam tuyakemee
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]nili kuwa na ku respect sana ila kwa hili ume jishusha kwangu kenge wewe
Wa'alaikum salam warhamatullahi wabarakatuhAsalam alykum warahma tullah wabarakatuh