wrong turn
JF-Expert Member
- Feb 17, 2013
- 438
- 170
Mkuu habar yako, ningekuomba kabla hujampinga o kumfahamisha mtu kitu kwa usahihi kwanza uwe unauhakika na unakijua kile unacho kiongea, bunaadam tumeubwa na mihemuko ila akili ya kujua ndio inatutulizia mihemko, so jifunze ili ujue.