Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
mfunge kwa kuonekana kwa mwezi kwa sababu hii mipaka ya nchi ya tanzania haikuwepo wakat wa mtumeNamsubiri atujibu maana naamini tuko nae nchi moja sasa kwanini afuate nchi ya mbali!
"Fᵒˡˡᵒʷ ᵉˣᶜᵉˡˡᵉⁿᶜᵉ ˢᵘᶜᶜᵉˢˢ ʷⁱˡˡ ᶜʰᵃˢᵉ ᵖᵃⁿᵗˢ ᵈᵒʷN"
Miji ilikuwepo ukhuty japo hapakua na mipaka kama hii ya leoMtume kwa kuonekana kwa mwezi kwa sababu hii mipaka ya nchi ya tanzania haikuwepo wakat wa mtume
Sio sio kweli kwamba wanaangalia mwezi kwa vifaa na wanawazuoni pia wanakataa kuuungalia mwezi kwa vifaa na tunazo fatuaa za wanazuoni wa kisaudia wanakataa kuangalia mwezi kwa vifaa na hilo la kulipa fidia pia sio la kweli nakutumia na uthibitisho na hivyo vifaa unavyosema ni vifaa gani"Fungeni kwa kuuona mwezi na mfungue kwa kuuona pia", ukifuatilia hadithi mbali mbali za mtume utagundua kwamba katika hayo mafundisho yake kuna kitu kuuona, mtume ametuachia Sunna ambapo ni kufunga kwa kusikia ikiwa mwezi umeonekana kokote kule ulimwenguni. Lakini swala linalokuja ni kwamba sisi na Saudia tupo katika longitude moja (Zone C) kwa hiyo kuna ufanano wa masaa na kitu kama hicho, lakini linapokuja swala la mwezi Saudia wanakuwa wa kwanza kuuona, kwa vile wanatumia vifaa vya kutizamia mwezi kitu ambacho mimi sikubaliani nacho moja kwa moja kwani kwa siku ya jana mwezi ulikuwa ndio umekuwa kwa 0.2% ambapo sio wa kuonekana
View attachment 1428992
na siku ya leo utakuwa umekuwa kwa 3.5% ambapo ni wenye kuonekana.
View attachment 1428994
Kumbuka pia hata mwaka jana Saudia hao hao waliomba radhi kwa kuwalisha watu mchana wa Ramadhan na wakalipa fidia.
"Fᵒˡˡᵒʷ ᵉˣᶜᵉˡˡᵉⁿᶜᵉ ˢᵘᶜᶜᵉˢˢ ʷⁱˡˡ ᶜʰᵃˢᵉ ᵖᵃⁿᵗˢ ᵈᵒʷN"
Isome vizuri hiyo Hadith ya Kureib ya "fungeni na fungueni kwa kuoona mwezi". Utakutana na fatw'a ya Ibn Abbas(Swahaba mkubwa sana huyu) akimfafanulia na kumtaka Kureib aliyetoka safarini Shamu afuate mwezi wa Madina. Suala sio "kuonekana" bali "kuuona". Mtume SAW alikua ni fasaha wa lugha na kila neno lake moja lina maanaKwa hiyo na wao pia walitofautian kufunga kwa sababu walitofautiana hiyo miji wakati wa mtume
Wewe umeielewa vipi hiyo hadithIsome vizuri hiyo Hadith ya Kureib ya "fungeni na fungueni kwa kuoona mwezi". Utakutana na fatw'a ya Ibn Abbas(Swahaba mkubwa sana huyu) akimfafanulia na kumtaka Kureib aliyetoka safarini Shamu afuate mwezi wa Madina. Suala sio "kuonekana" bali "kuuona". Mtume SAW alikua ni fasaha wa lugha na kila neno lake moja lina maana
Dada yangu ukhuty they uses telescope belive na sio local kama tufanyavyo sisi huku nyumbani. Kwa siku waliotangaza mwezi ulikuwa bafo mchanga kabisa sio wa kuonekana. Wanaogopa kuaibika pia kwa vile njia wanayotumia sio sahihi na hata hivyo tunatakiwa tuangalie mwezi localy. Wanahofia pia kupata aibu maana shaaban ingekuwa na siku 31 njia wanayoitumia imewapeleka chaka kiasi kwamba ikabidi watangaze mwezi kilazima ili kulinda aibu zao.S
Sio sio kweli kwamba wanaangalia mwezi kwa vifaa na wanawazuoni pia wanakataa kuuungalia mwezi kwa vifaa na tunazo fatuaa za wanazuoni wa kisaudia wanakataa kuangalia mwezi kwa vifaa na hilo la kulipa fidia pia sio la kweli nakutumia na uthibitisho na hivyo vifaa unavyosema ni vifaa gani
Dada yangu ukhuty they uses telescope belive na sio local kama tufanyavyo sisi huku nyumbani. Kwa siku waliotangaza mwezi ulikuwa bafo mchanga kabisa sio wa kuonekana. Wanaogopa kuaibika pia kwa vile njia wanayotumia sio sahihi na hata hivyo tunatakiwa tuangalie mwezi localy. Wanahofia pia kupata aibu maana shaaban ingekuwa na siku 31 njia wanayoitumia imewapeleka chaka kiasi kwamba ikabidi watangaze mwezi kilazima ili kulinda aibu zao.View attachment 1429820View attachment 1429816
"Fᵒˡˡᵒʷ ᵉˣᶜᵉˡˡᵉⁿᶜᵉ ˢᵘᶜᶜᵉˢˢ ʷⁱˡˡ ᶜʰᵃˢᵉ ᵖᵃⁿᵗˢ ᵈᵒʷN"
Wasafiri watakaopenda kuswali waje kuswalia hapo Msata Hotel halafu mnawauzia futari kwa sh. 3000,Tunawaalika wasafiri wote ambao watapenda kuswali wakati wakiwa safirini kupitia bagamoyo road tunapatikana msata hotel inaitwa drive in.Futari inapatikana kwa bei ya tsh.3,000/piga 0655 605998 mkuweka order au njoo moja kwa moja tutafurahi kukuhudumia mwezi huu mtukufu.
Ukiacha kula daku funga yako itasihi,kwa kweli ukila daku ukashiba siku ya pili saumu inakuwa Kali Sana.Assalam aleykm warahmatullah wabatakatul! Naomba kujuzwa juu ya ulaj/ kutokula daku.Je nikiacha kula daku funga yangu itaswih?
Jamhuri moja inasema wakati wa Mtume SAW maendeleo ya Sayansi hayakua makubwa. Ila wakati huu **** mawasiliano ya simu Radio TV n.k na ki jiografia hakuna nchi inayoipita nchi nyingine kwa zaidi ya saa 12. Kwa hiyo kimsingi inafika wakati dunia nzima inakua katika siku moja kwa hiyo lazima kutumia mwezi mmoja muandamoWewe umeielewa vipi hiyo hadith
kuacha sala haibatilishi funga.overSWALI: Ipi hukumu ya mwenye kufunga Ramadhwaan bila ya Swalaah au akaswali katika Ramadhwaan na haswali (miezi) mingine?
JIBU: Ama Swawm yake, Zakaah yake, Hajj yake au yasiyokuwa hayo katika ´amali zake bila ya Swalaah hazitomfaa. Kwa kuwa la sahihi ni kuwa mwenye kuacha Swalaah ni kafiri, kutokana na dalili maalumu, miongoni mwazo ni Hadiyth: "Ahadi iliyoko baina yetu na wao (makafiri) ni Swalaah, mwenye kuiacha amekufuru."
Na Hadiyth: "Baina ya mtu na kafiri na shirki ni kuacha Swalaah."
Hadiyth hizi mbili ni sahihi na dalili zake ziko wazi.
Una ushahidi na hilo?
Funga yako itakuwa na mashaka
katika wale masheikh yupo m1 anaitwa Msellem Aly... ni miongon mwa wanadam ninaowahusudu sana kutokana na ufundishaj wake ni jins anavyoitumia elim yake kunufaisha wengne..In ShaaAllah , Ameen. , na tusiwasahau masheikh wetu waliopo Segerea.