Ramadhani ile haipo

Kwa mawazo ya aina hii, ya ramadhani ileee, sishangai Zanzibar kuchapa wenzao bakora kisa ramadhani ambayo wachapwaji haiwahusu kwa nman yoyote ile. Tena ukizingati yanayofanya wachapwe, wanayafanyia ndani kwao
 
MZEE KAKIMBIA UZI
Labda hajamaliza uzi wake......atarudi na usishange Jumba bovu na lawama wakatupiwa wagalatia kuwa wamechangia ramadhan zao za sasa kutokuwa kama za zaman maana kwa lawama tu kwa wagalatia ahhh professor huyu!!
 
Kwa mawazo ya aina hii, ya ramadhani ileee, sishangai Zanzibar kuchapa wenzao bakora kisa ramadhani ambayo wachapwaji haiwahusu kwa nman yoyote ile. Tena ukizingati yanayofanya wachapwe, wanayafanyia ndani kwao

kwani mnakuja kufanya kitu gani huku , si mkae mle huko ugalitiani , hujatumwa uje huku otherwise watoto wa Mapadri msio malezi mtakula bakora tu
 
jaribu kula kula mchana huku kisiwani , yaani bara lote hujapata mahali pa kula mchana mpaka uje uwakere watu huku , kijana wewe ??
Hongera..!! Kwenu kumuua mwenzio kisa kueteta imani ni thawabu, wakati kwetu kufa wewe kisa kutetea imani ni neema..!! Mambo mawili tofauti hayo
 
Hongera..!! Kwenu kumuua mwenzio kisa kueteta imani ni thawabu, wakati kwetu kufa wewe kisa kutetea imani ni neema..!! Mambo mawili tofauti hayo

Kwani kauliwa nani kwa kula mchana ?? akili gani uliyonayo ??

Mnakosa ustaarabu mnataka kwenda kipunda mtaendeshwa kipunda.

Hapa kuna magoa wakristo, mabaniani, maparisi , mabuda wala hajawahipo kupigwa mtu kwani wanatuheshimu na tunawaheshimu , tatizo liko kwenu watoto wa Mapadri
 
Vyovyote iwavyo, ndivyo mlivyo.

Na itakuwa kwani mtakula mibungo vizurii mpaka mjifunze kuheshimu watu


Mnakosa ustaarabu mnataka kwenda kipunda mtaendeshwa kipunda.

Hapa kuna magoa wakristo, mabaniani, maparisi , mabuda wala hajawahipo kupigwa mtu kwani wanatuheshimu na tunawaheshimu , tatizo liko kwenu watoto wa Mapadri
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…