Ramadhani ile haipo

hao waliowaandikia injili , Marko na Mathayo hata kuandika walikuwa hawajui , injili ya mwanzo iliandikwa kwa kigiriki hata walikuwa hawajui , ushangae haya kwanza
Unachekesha sana. Hujasoma. Huwezi elewa historia ya biblia wewe.
 
Hongera
 
Your browser is not able to display this video.
 
Bila kumpokea Yesu Kristo utaendekea kulalamika. Yesu ni njia, kweli na uzima, mtu haendi kwa Baba ila kwa njia ya Yesu tu.
 
nadhani yalikua yanatokea huko Tanganyika wakati watu wachachee e......
hivi sasa watanganyika wamebaki wachachee sana, waTanzania wamechukua hatamu na utaratibu wao dhidi ya ramadhani......

Tanzania inaendelea na mambo yake kwa uhuru zaidi.....

kama yupo anaefungu Ramadhani basi afunge kibinafsi kwa utaratibu wake bila kumuhusisha mwingine kwa namna yeyote ile πŸ’

na hata wa kwaresma nae asiathiri kitu chochote kwa asiehisika na kwaresma yake πŸ’
 
Nimeshangaa..siku hizi mabinti wa kiislamu wanaliwa ndani ya mwezi wa ramadhani tena wao ndio wanaomba waliwe.
 
Bila kumpokea Yesu Kristo utaendekea kulalamika. Yesu ni njia, kweli na uzima, mtu haendi kwa Baba ila kwa njia ya Yesu tu.
Yesu yupi yule alovalishwa Pampers akatawazishwa mavi?
 
Wakristo ni wakatoliki. Hizo takataka zingine sijui evangelicals sijui upupu gani ndio nini? Ni nani labda? Wako wapi?
Wanakusoma wenyewe , Kama maneno yako ni kweli tutaona watakaa kimya
 
Mzeee wewe Ni mdini sanaaunataka tuache kucheza kiss ninyi mmefunga mbna Waislamu wengi Ni matapeli
 
Nimeshangaa..siku hizi mabinti wa kiislamu wanaliwa ndani ya mwezi wa ramadhani tena wao ndio wanaomba waliwe.
mimi huwa nafurahi sana sikuhizi uislamu umebak kama fasheni . Yaani wakimaliza kufturu ni kufanya ngono tu.πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Duuh..
Huyo mtoa mada anazeeka vibaya.
Anataka Tanzania iwe na udini kuliko wenye dini yao?!!!
 
N
Nimeshangaa..siku hizi mabinti wa kiislamu wanaliwa ndani ya mwezi wa ramadhani tena wao ndio wanaomba waliwe.
Nshakula sana, eti aliniambia subiri akishafturu saa moja usiku nami nikamfturu.
 
Yesu yupi yule alovalishwa Pampers akatawazishwa mavi?
Hapana, yule aloliwa na mbwa kule Medina. Alafu eti wanadai Yesu pia ni mtume wao. Alafu wanamdhihaki tena, viazi mbatata.
 
Zama zinabadilika,
Lakini ni dalili pia za kiama, so lazima mambo yawe hivi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…