Ramadhani ile haipo

Ramadhani ile haipo

Hapana, yule aloliwa na mbwa kule Medina. Alafu eti wanadai Yesu pia ni mtume wao. Alafu wanamdhihaki tena, viazi mbatata.
Kumbe ndiyo mafundisho ya wakatoliki hayo ??
 
Bila kumpokea Yesu Kristo utaendekea kulalamika. Yesu ni njia, kweli na uzima, mtu haendi kwa Baba ila kwa njia ya Yesu tu.


Hapa kuna nukuu zinazokanusha fundisho la kumkubali Yesu ili upate uzima wa milele:

1- Matendo 20:34-36 BHN - “Katika mambo yote niliyofanya, niliwaonyesha kwamba kwa kazi ya namna hii imewapasa kuwasaidia walio dhaifu, tukikumbuka maneno ya Bwana Yesu mwenyewe aliyosema, ‘Ni heri kutoa kuliko kupokea. '"

2- Mathayo 5:9-11 "Heri wenye kuudhiwa kwa ajili ya haki; maana ufalme wa mbinguni ni wao."

3- Mathayo 5:8-10 "Heri wapatanishi; maana hao wataitwa wana wa Mungu."

4- Mathayo 5:5-7 "Heri wenye njaa na kiu ya haki; maana hao watashibishwa."

5- Mathayo 5:6-8 "Heri wenye rehema, maana hao watahurumiwa."

6- Mathayo 5:7-9 "Heri wenye moyo safi maana hao watamwona Mungu."

7- Mathayo 5:3-5 "Heri wenye huzuni maana hao watafarijiwa."

8- Mathayo 5:4-6 "Heri wenye upole maana hao watairithi nchi."
 
Wakristo ni wakatoliki. Hizo takataka zingine sijui evangelicals sijui upupu gani ndio nini? Ni nani labda? Wako wapi?
Bora sisi wasabato tunajielewa, huu ukatoliki ni unanuka mavi

1712775694998.png
 
Hapa kuna nukuu zinazokanusha fundisho la kumkubali Yesu ili upate uzima wa milele:

1- Matendo 20:34-36 BHN - “Katika mambo yote niliyofanya, niliwaonyesha kwamba kwa kazi ya namna hii imewapasa kuwasaidia walio dhaifu, tukikumbuka maneno ya Bwana Yesu mwenyewe aliyosema, ‘Ni heri kutoa kuliko kupokea. '"

2- Mathayo 5:9-11 "Heri wenye kuudhiwa kwa ajili ya haki; maana ufalme wa mbinguni ni wao."

3- Mathayo 5:8-10 "Heri wapatanishi; maana hao wataitwa wana wa Mungu."

4- Mathayo 5:5-7 "Heri wenye njaa na kiu ya haki; maana hao watashibishwa."

5- Mathayo 5:6-8 "Heri wenye rehema, maana hao watahurumiwa."

6- Mathayo 5:7-9 "Heri wenye moyo safi maana hao watamwona Mungu."

7- Mathayo 5:3-5 "Heri wenye huzuni maana hao watafarijiwa."

8- Mathayo 5:4-6 "Heri wenye upole maana hao watairithi nchi."
Yesu ndio Kila kitu.
 
Sorry ni Yesu Kristo Mwana wa Mungu aliye hai

Waliokuwa wakimwita Yesu kuwa ni Mwana wa Mungu walikuwa wendawazimu, wenye pepo wachafu, au askari wa Kirumi ambao tokea hapo wao ni washirikina, mapagani.

Mwenyewe Yesu alikuwa daima akijiita mwana wa Adamu kwa Kiebrani, lugha yake, Bin Adam, yaani ni binaadamu, mtu tu.
 
Back
Top Bottom