Ramadhani na Kwaresma kugongana je is it a coincidence? The evidence says No!!!

Ramadhani na Kwaresma kugongana je is it a coincidence? The evidence says No!!!

Hizo ni Nadharia tu.

Mwaka 2030 utakuwa na ramadhani mbili

Kila Ramadhani huchukua siku 10 hadi 11, kwani miezi ya Hijri ni siku chache kuliko kalenda ya kawaida, ambayo ina maana kwamba kila mwaka Ramadhani inakaribia Januari.

Kwa mujibu wa mtaalamu wa Nyota Khalid al-Zaqaq, tofauti ya siku za hesabu hizo mbili ina maana kwamba kila baada ya miaka thelathini tunafunga mara mbili kwa mwaka. Mara ya mwisho hii ilifanyika mnamo 1997.

Unapotazama kalenda ya Saudi Arabia 2030 unaona kwamba Ramadhani ya kwanza itaanza Januari 6, huku Eid ikiangukia tarehe 5 Februari. Ramadhani ya pili inaangukia tarehe 26 Disemba mwaka huo huo.

Cc: BBC swahili
mjadala huzua maarifa.
 
Back
Top Bottom