Ramadhani na Kwaresma kugongana je is it a coincidence? The evidence says No!!!

Ramadhani na Kwaresma kugongana je is it a coincidence? The evidence says No!!!

Hadithi ni porojo za kubuni
Samahani Kwa Kusema Hili Najua Kama Wewe Ni Mwislamu Na Umefunga Unaamini Kuwa Funga Hulipa Mungu peke yake na Hakuna Kiumbe chochote Kinahusika nayo..

Ila Kwa Jibu lako Hilo Umeharibu Funga Yako na Umeshinda Njaa Tu 🤣🤣
Nimekuwa Muslimu kwa Muda Mrefu sana Na Tamko kama Hilo Linaweza Kumtoa Mtu katika Uislamu..

Turudi Kuhusu Hadithi Ni Porojo 🤣🤣
Sikukatalii Wala Sikukubalii Kuhsu hilo ila Since Unafata Imani ya Kiislamu Hadithi ni tool ya Pili baada ya Quran..
Na Hii Inakubaliwa na Maulamaa wa Pande zote Na Wanazuoni wa Shia hata Wa Sunni kwa madhehebu yote..

Kupitia Hadithi Ndo hupatikana Sunna na maagizo ya Mtume..
Kama Quran inavyotaka Kufanyika..

Qur'an 4:59
"Enyi mlioamini! Mtiini Mwenyezi Mungu, na mtiini Mtume na wale wenye mamlaka miongoni mwenu..."

Qur'an 4:80
"Anayemtii Mtume, basi kwa hakika amemtii Mwenyezi Mungu..."

Qur'an 59:7

"Na anachokupeni Mtume chukueni, na anachokukatazeni jiepusheni nacho..."

Qur'an 3:31

"Sema: Ikiwa mnapenda Mwenyezi Mungu, basi nifuateni mimi, Mwenyezi Mungu atakupendeni na atakusameheni dhambi zenu..."

Qur'an 7:157


"Wale wanaomfuata Mtume, Nabii asiyejua kusoma wala kuandika, ambaye wanamkuta ameandikwa kwao katika Taurati na Injili, anawaamrisha mema na anawakataza maovu, na anawahalalishia vilivyo vizuri na anawaharimishia vilivyo vibaya, na anawaondolea mizigo yao na minyororo iliyokuwa juu yao..."


Nawwza Nikaandika Aya Nyingi sana Ila Haisaidii kitu Ila kama Ni muislamu Amini katika Uislamu ukitaka kuwa Kama Mimi Kuwa kama Mimi ila Usichanganye mawili
 
mtoto wa madrasa muislam pro max bilble unaijulia wapi mpaka unatamba kuwa una majibu toka humo? We tumia quran, biblia hutaweza kuitumia, huna roho mtakatifu wa kukuwezesha kupambanua maandiko ya biblia
Amri Ya kwanza kwa mwislam ni 'SOMA'Na hatukuambiwa cha kusoma ili mradi ni Elimu basi tukaambiwa tusome kwa hiyo ukimuona mwislamu anasoma usimshangae na ndio maana hata ibada inaendeshwa na yoyote ili mradi awe amesoma kuhusu ibada husika hakunaga mambo ya kumsubiri padri ama mchungaji ukifa mambo ni yale yale Mwislamu sio mtu wa kutafuniwa na kumeza kila kitu bila kutumia mantiki.
 
once unakuwa mkristo automatically unakuwa na akili
Vice versa ni kweli!
Huwezi uwe na Akili alafu uamini eti Yesu ni Mungu (Sub'hana llah)

Yaani Mungu ndo Akatoke kwenye ile kitu inamesa mwenzake!
Akili ya binadamu inakataa hiyo nadharia ya kiumbe kuwa Mungu.
 
Amri Ya kwanza kwa mwislam ni 'SOMA'Na hatukuambiwa cha kusoma ili mradi ni Elimu basi tukaambiwa tusome kwa hiyo ukimuona mwislamu anasoma usimshangae na ndio maana hata ibada inaendeshwa na yoyote ili mradi awe amesoma kuhusu ibada husika hakunaga mambo ya kumsubiri padri ama mchungaji ukifa mambo ni yale yale Mwislamu sio mtu wa kutafuniwa na kumeza kila kitu bila kutumia mantiki.
mbona huwa mnakumbwa na mob sychology bila ku urgue reason? Mnafuata mikumbo
 
Kwani kuna ulazima gani wa kuweka "peace be upon him"
 
Vice versa ni kweli!
Huwezi uwe na Akili alafu uamini eti Yesu ni Mungu (Sub'hana llah)

Yaani Mungu ndo Akatoke kwenye ile kitu inamesa mwenzake!
Akili ya binadamu inakataa hiyo nadharia ya kiumbe kuwa Mungu.
uungu wa YESU huwezi kuuelewa kwa kuwa we bado hujafunuliwa kujua mambo ya Mungu
 
Vijana wa kiislam wa kibongo huwa hawataki kabisa kupanua ufahamu zaidi kuhusu dini yao waliyoikuta inaabudiwa na wazazi wao, hawataki kuwaza nje ya box, wanadhani mambo ndivyo yalivyo kwa jinsi walivyohubiriwa. Hawataki kufanya akili zao kuwa huru kuwaza na kutafuta ukweli wa mambo ya dini ndio maana husombwa na itikadi kali na chuki za kidini pasipo kuujua ukweli na ajenda zilizojificha ndani ya dini yao. Let them set free
Ila vijana wa kikiristo wanafikiria nje ya boksi!? 😁
 
Hoja za Alberto Rivera kuhusu Uhusiano Kati ya Ukatoliki na Uislamu zina fikirisha sana.

Alberto Rivera ambae alikuwa jasusi wa Vatican anasema Dini ya kiislamu ilianzishwa na Holy Sea ( Vatican).

Anasema Bi Khadija mke wa kwanza wa Prophet Muhammad ( Peace be upon him) alikuwa ni mtawa wa kikatoliki na shushushu wa Vatican ambae alipewa task na Vatican ya kusaidia kupatikana kwa kijana makini, smart, mwenye maadili mema wa kiarabu ili wamtumie kueneza Uislamu ambapo Bi Khadija alizipata sifa hizo kwa prophet Muhammad ( Peace Be Upon Him)


Alberto Rivera aliprove hoja yake kwa kutumia mifano mingi sana kama vile ufanano wa baadhi ya mambo kwenye ukatoliki na Uislamu kama vile : Architectures, idol worshiping etc.

( Hapo kwenye idol worshiping: Wakatoliki wanasujudia sanamu la Bikira Maria na kutumia vitu kama rosary waislamu wanabusu jiwe la kwenye Kaaba na kutumia vitu kama Tasbihi.

....

Kwanini Ramadhani na Kwaresma zinagongana miaka yote?.

Isije kuwa tunafuata kalenda ya miungu ya Rumi bila kujua kama tunafanya hivyo?



Haya bana


# Fateema is the name of the most favourite daughter of Prophet Muhammad ( Peace Be Upon Him)


In Catholic Fateema is a holy name attributed to a holy place in Portugal which is known as Fateema. ( Fatima) The place was named after Fateema, the favourite daughter of Prophet Muhammad Peace Be Upon Him.

Bikira Maria mama wa Yesu aliwatokea Lucia, Francis na Yasinta ( watoto wa Fatima Katika eneo liitwalo Fatima huko Portugal)

# Our Lady of Fatima Catholic Choir.


# In the Catholic Church, Maryam the mother of Jesus is venerated. In the Holy Quoran there is a complete chapter attributed to Maryam the mother of Jesus ( Suratul Maryam) . Mama wa Prophet Muhammad aliitwa Amina lakini hajapewa sura kwenye Qur'aan ila mama wa Yesu kapewa.


# Waislamu wanavaa Kanzu wakatoliki wanavaa Kanzu ( mapadri)


# wanawake wa kiislamu wanavaa baibui wanawake wa katoliki wanavaa baibui (masista)


# Mbona kama tunachezewa akili?
Nikuulize! miaka yote ipi hiyo unayosema zinagongana...!? Mbona unadhihirisha tatizo lako la akili ambalo limefichikanašŸ˜„
 
once unakuwa mkristo automatically unakuwa na akili
Hao wenye akili ndo wale wakitaka gari wanaombewa ila mchungaji akitaka gari anachangiwa?
Au ndo wale waumini wakiumwa wanaenda kanisani kuombewa alafu mchungaji wao akiumwa anaenda kwenye hospital za gharama kujitibu?
Au ndo wale wanao nunua udongo, chumvi kwa sh 100,000 ili watajirike bila kufanya kazi?
 
Hao wenye akili ndo wale wakitaka gari wanaombewa ila mchungaji akitaka gari anachangiwa?
Au ndo wale waumini wakiumwa wanaenda kanisani kuombewa alafu mchungaji wao akiumwa anaenda kwenye hospital za gharama kujitibu?
Au ndo wale wanao nunua udongo, chumvi kwa sh 100,000 ili watajirike bila kufanya kazi?
ulishafanya uchunguzi wanaoenda kuuziwa maji, udongo, chupi, vitambaa, mafuta, chumvi ni dini gani? Ni dini yako, halafu usilete vichekesho vya tik tok hapa, hakuna mkristo imara anayeombewa apate gari na atajirike. Hizo ni zenu kujazana kwa mitume na manabii ili mpatiwe miujiza
 
Vijana wa kiislam wa kibongo huwa hawataki kabisa kupanua ufahamu zaidi kuhusu dini yao waliyoikuta inaabudiwa na wazazi wao, hawataki kuwaza nje ya box, wanadhani mambo ndivyo yalivyo kwa jinsi walivyohubiriwa. Hawataki kufanya akili zao kuwa huru kuwaza na kutafuta ukweli wa mambo ya dini ndio maana husombwa na itikadi kali na chuki za kidini pasipo kuujua ukweli na ajenda zilizojificha ndani ya dini yao. Let them set free
Hata wewe huna fikra mpya, maana hata ukatoliki au a Uluteri au aina yoyote ya dini ni kama chama cha siasa kuna wenyewe
 
mbona huwa mnakumbwa na mob sychology bila ku urgue reason? Mnafuata mikumbo
Kawaida pahala popote penye wengi kuna mengi na ndio maana ndani ya ukristo kunapatikana wengine wanaiona nuru na wanaifuata.
hujawai kusikia mtoto anauwa mzazi wake? Tena Mama yake.
kwa hiyo ndani ya jamii ya kiislamu wapo wengi tu wanakengeuka na tayari wameshabainishiwa adhabu ila bado kuna wazinifu,wezi,na kila aina ya wabaya ila tayari wajue Jehannam inawasubiri kama inavyowangoja wakosefu wasio waislamu.
 
Back
Top Bottom