Ramadhani na Kwaresma kugongana je is it a coincidence? The evidence says No!!!

Ramadhani na Kwaresma kugongana je is it a coincidence? The evidence says No!!!

Maelezo yote ni kutetea icho kirusi. So waafrika pekee ndio walioweza kubadilisha ama kubadilika na maisha kadri ya muda ,mbona hakuna wachina wenye majina ya kiarabu ama hakuna waarabu wenye majina ya kihindi.
Elewa wahindi Wana vyakula vyao, mavazi yao, pamoja wachina ,wajapan , waarabu na wazungu sema tu mwafrika amekuwa mjinga ameshindwa kuwa na dini., chakula na mavazi yake hata namna ya ndoa yenye asili ya kiafrika wameiga mpaka happy birthday.
Haya bana Muhammad ama wewe ni John Mana mwafrika bila ya kujiita jina la mzungu ama mwarabu anajiona hajakamilika. Kumbe ni inferiority unamsumbua , cheki hakuna tamaduni iliyoamua kufuata tamaduni nyingine Kila watu Wana tamaduni zao namna ya kuabudu.
9 chini ya 10 ulikuwa Mkristo hivyo umekata tamaa na matendo na mafundisho ya dini yako.
Unachojaribu kufanya ni kutaka kutafuta faraja nje ya mfumo wa dini na mko kundi kubwa sana.

Lawama na maswali ulio uliza ni nonsense.
Kila kitu unachokiona ni mipangilio mizuri kabisa ya Muumbaji mwenyewe hivi ushawahi kujiuliza faida ya kuitwa chukulubu?
au kuitwa John ama Mas'udi?

Tambua Muumbaji Aliumba mataifa tofauti Rangi tofauti kabila tofauti Rugha tofauti ili tupate kutambuana wala havina maana nyengine.

Kwa Akili yako unadhani hakuna wachina waislamu ama wakristo?
je hakuna wahindi waislamu na mfano Nzuri ni bwana Shahru khan kwenye mitandao kuna picha kapiga yuko Mecca yeye na familia yake walikwenda hijja kufanya ibada je yule ni mswahiri kutoka Chitohori Mtwara Tanzania Afrika?
Ukristoni hakuna majibu ya maswali mengi magumu ila ndani ya Uislamu kunapatikana majawabu yote ya Maisha ya Mwanadamu.
Kwani uislamu ni mfumo kamili wa maisha ya mwanadamu.
Mimi kama mwislamu nikiamua kumiliki gari ni lahisi kabisa kuna ibada Za Usiku kuna Aya za Quran kuna Adhkari za kufanya Na Muumba mbingu na Ardhi Na vyote vilivyomo Akitaka ananipa sina haja ya Shekhe wala Imamu kuniombea au kuniuzia mchanga na mafuta.
 
Hoja za Alberto Rivera kuhusu Uhusiano Kati ya Ukatoliki na Uislamu zina fikirisha sana.

Alberto Rivera ambae alikuwa jasusi wa Vatican anasema Dini ya kiislamu ilianzishwa na Holy Sea ( Vatican).

Anasema Bi Khadija mke wa kwanza wa Prophet Muhammad ( Peace be upon him) alikuwa ni mtawa wa kikatoliki na shushushu wa Vatican ambae alipewa task na Vatican ya kusaidia kupatikana kwa kijana makini, smart, mwenye maadili mema wa kiarabu ili wamtumie kueneza Uislamu ambapo Bi Khadija alizipata sifa hizo kwa prophet Muhammad ( Peace Be Upon Him)


Alberto Rivera aliprove hoja yake kwa kutumia mifano mingi sana kama vile ufanano wa baadhi ya mambo kwenye ukatoliki na Uislamu kama vile : Architectures, idol worshiping etc.

( Hapo kwenye idol worshiping: Wakatoliki wanasujudia sanamu la Bikira Maria na kutumia vitu kama rosary waislamu wanabusu jiwe la kwenye Kaaba na kutumia vitu kama Tasbihi.

....

Kwanini Ramadhani na Kwaresma zinagongana miaka yote?.

Isije kuwa tunafuata kalenda ya miungu ya Rumi bila kujua kama tunafanya hivyo?



Haya bana


# Fateema is the name of the most favourite daughter of Prophet Muhammad ( Peace Be Upon Him)


In Catholic Fateema is a holy name attributed to a holy place in Portugal which is known as Fateema. ( Fatima) The place was named after Fateema, the favourite daughter of Prophet Muhammad Peace Be Upon Him.

Bikira Maria mama wa Yesu aliwatokea Lucia, Francis na Yasinta ( watoto wa Fatima Katika eneo liitwalo Fatima huko Portugal)

# Our Lady of Fatima Catholic Choir.


# In the Catholic Church, Maryam the mother of Jesus is venerated. In the Holy Quoran there is a complete chapter attributed to Maryam the mother of Jesus ( Suratul Maryam) . Mama wa Prophet Muhammad aliitwa Amina lakini hajapewa sura kwenye Qur'aan ila mama wa Yesu kapewa.


# Waislamu wanavaa Kanzu wakatoliki wanavaa Kanzu ( mapadri)


# wanawake wa kiislamu wanavaa baibui wanawake wa katoliki wanavaa baibui (masista)


# Mbona kama tunachezewa akili?
Nyie makafiri mkishavuta bange mnakuja na uzushi wenu usio na msingi wala mashiko, yaani upumbavu mtupu, sasa hao wavatikan basi walikua hawana akili kutengeneza kitu cha kuja kuwapinga ,manaaake adui mkuu wa ukatoliki ni uislamu, sio ubuda wala ubaniani,

Halafu iweje uislamu ukatae kua yesu si Mungu kama uislamu ni tawi la ukatoliki?

Pia kwa nini waislamu na wakristo wapigane vita wakati wote ni wamoja?

Mkija na upuuzi wenu mje na hoja za msingi
 
9 chini ya 10 ulikuwa Mkristo hivyo umekata tamaa na matendo na mafundisho ya dini yako.
Unachojaribu kufanya ni kutaka kutafuta faraja nje ya mfumo wa dini na mko kundi kubwa sana.

Lawama na maswali ulio uliza ni nonsense.
Kila kitu unachokiona ni mipangilio mizuri kabisa ya Muumbaji mwenyewe hivi ushawahi kujiuliza faida ya kuitwa chukulubu?
au kuitwa John ama Mas'udi?

Tambua Muumbaji Aliumba mataifa tofauti Rangi tofauti kabila tofauti Rugha tofauti ili tupate kutambuana wala havina maana nyengine.

Kwa Akili yako unadhani hakuna wachina waislamu ama wakristo?
je hakuna wahindi waislamu na mfano Nzuri ni bwana Shahru khan kwenye mitandao kuna picha kapiga yuko Mecca yeye na familia yake walikwenda hijja kufanya ibada je yule ni mswahiri kutoka Chitohori Mtwara Tanzania Afrika?
Ukristoni hakuna majibu ya maswali mengi magumu ila ndani ya Uislamu kunapatikana majawabu yote ya Maisha ya Mwanadamu.
Kwani uislamu ni mfumo kamili wa maisha ya mwanadamu.
Mimi kama mwislamu nikiamua kumiliki gari ni lahisi kabisa kuna ibada Za Usiku kuna Aya za Quran kuna Adhkari za kufanya Na Muumba mbingu na Ardhi Na vyote vilivyomo Akitaka ananipa sina haja ya Shekhe wala Imamu kuniombea au kuniuzia mchanga na mafuta.
Icho unachoongea ni recent event , hao waislamu ama wakristo waikuwepo huko miaka hata 2000 iliyopita ama ni kirusi ulichopandikiziwa kiasi kuwa unajiona mbingu ni ya kwenu wenye dini za weupe.

Naona unatetea kirusi ulichowekea na hakuna namna itabidi ukitetee kwa gharama yoyote.
Waambieni ukoo wako wote waombe ili upate gari.
Umeaminishwa kuwa ukipata gari kwa Aya ndio utakuwa binadamu wa aina Gani.
Rudia uafrika wako achana na utumwa, dini zinaleta disunity na chuki ndani ya jamii moja. Mana wewe hapo ulipo unajiona u sahihi kinyama wengine tunaenda jehanamu.
Wengine unawaona Kama hawastahili kuishi.
Eti wahindi wanaenda kuhiji hao si ni WA hivi juzi wanapokea mapokeo , mie naongelea India yenye budha na Hinduism miaka 70 bilioni iliyopita walikuwepo hao ama rationalize your instincts or emotions.
Hujiulizi why unavaa suti ama kanzu ama umeambiwa ule tende mbona afrika tuna vyakula asili so why ivyo vyakula vyao vinapigiwa chapuo kumbe watu wanapiga hela kwa uteja wa watu wajinga.
Hata salamu ya kwenu husalimii mpaka ya kiarabu ama kizungu kuwa ndio Muumbaji aliagiza ivyo.

Kwanza unanichosha Mana umeshaposwa lazima utetee bwana wako kwanza umeshaolewa kitambo lazima utamtetea kwa damu na jasho.
 
Amri Ya kwanza kwa mwislam ni 'SOMA'Na hatukuambiwa cha kusoma ili mradi ni Elimu basi tukaambiwa tusome kwa hiyo ukimuona mwislamu anasoma usimshangae na ndio maana hata ibada inaendeshwa na yoyote ili mradi awe amesoma kuhusu ibada husika hakunaga mambo ya kumsubiri padri ama mchungaji ukifa mambo ni yale yale Mwislamu sio mtu wa kutafuniwa na kumeza kila kitu bila kutumia mantiki.
Hiyo soma ilikuwa inamaanisha soma Quran.
 
Hoja za Alberto Rivera kuhusu Uhusiano Kati ya Ukatoliki na Uislamu zina fikirisha sana.

Alberto Rivera ambae alikuwa jasusi wa Vatican anasema Dini ya kiislamu ilianzishwa na Holy Sea ( Vatican).

Anasema Bi Khadija mke wa kwanza wa Prophet Muhammad ( Peace be upon him) alikuwa ni mtawa wa kikatoliki na shushushu wa Vatican ambae alipewa task na Vatican ya kusaidia kupatikana kwa kijana makini, smart, mwenye maadili mema wa kiarabu ili wamtumie kueneza Uislamu ambapo Bi Khadija alizipata sifa hizo kwa prophet Muhammad ( Peace Be Upon Him)


Alberto Rivera aliprove hoja yake kwa kutumia mifano mingi sana kama vile ufanano wa baadhi ya mambo kwenye ukatoliki na Uislamu kama vile : Architectures, idol worshiping etc.

( Hapo kwenye idol worshiping: Wakatoliki wanasujudia sanamu la Bikira Maria na kutumia vitu kama rosary waislamu wanabusu jiwe la kwenye Kaaba na kutumia vitu kama Tasbihi.

....

Kwanini Ramadhani na Kwaresma zinagongana miaka yote?.

Isije kuwa tunafuata kalenda ya miungu ya Rumi bila kujua kama tunafanya hivyo?



Haya bana


# Fateema is the name of the most favourite daughter of Prophet Muhammad ( Peace Be Upon Him)


In Catholic Fateema is a holy name attributed to a holy place in Portugal which is known as Fateema. ( Fatima) The place was named after Fateema, the favourite daughter of Prophet Muhammad Peace Be Upon Him.

Bikira Maria mama wa Yesu aliwatokea Lucia, Francis na Yasinta ( watoto wa Fatima Katika eneo liitwalo Fatima huko Portugal)

# Our Lady of Fatima Catholic Choir.


# In the Catholic Church, Maryam the mother of Jesus is venerated. In the Holy Quoran there is a complete chapter attributed to Maryam the mother of Jesus ( Suratul Maryam) . Mama wa Prophet Muhammad aliitwa Amina lakini hajapewa sura kwenye Qur'aan ila mama wa Yesu kapewa.


# Waislamu wanavaa Kanzu wakatoliki wanavaa Kanzu ( mapadri)


# wanawake wa kiislamu wanavaa baibui wanawake wa katoliki wanavaa baibui (masista)


# Mbona kama tunachezewa akili?
Hizi Dini za kigeni zimetutoa akili, zimetufanya mazombies.

Mtoa mada una umri gani..?

Mfano mdogo tu...
Ramadhan ya mwaka 2021 ilianza April 13
Ramadhan ya mwaka 2002 ilianza 5 November, 2002.

Kwa ufupi tu... Ramadhan haina mwezi na tarehe maalum.

Chukua hii Ramadhan cycle, alafu tuambie kwa miaka 30 ijayo Ramadhan na kwarezima zitakutana mara ngapi..?

Kama nipo nje ya MADA natanguliza SAMAHANI
 

Attachments

  • images (1).png
    images (1).png
    40.1 KB · Views: 1
Itakuwa Uislamu Ndo Umeanzisha Ukatoliki
kwa nijuavyo na ndivyo ilivyo Uislam upo toka enzi za Adam na ndio maana ufanyaji wa ibada za manabii wote zinafanana na Ufanyaji wa ibada wa mtume Muhammad S.A.W

Alafu acha kufananisha Sanamu na Al kaaba kwenye quran tumekatazwa kuabudia sanamu na bible imekatazwa kuabudia sanamu.
Alafu kila kanisa la katoliki duniani ndani lina sanamu ila sio kila msikiti una al kaaba
wewe ni Akili kisoda.
Acha uongo dogo. Uislamu una miaka 600 plus na alinzisha Muhamed na Majini yalikuwa ya kwanza kabisa kuslimu
 
Vijana wa kiislam wa kibongo huwa hawataki kabisa kupanua ufahamu zaidi kuhusu dini yao waliyoikuta inaabudiwa na wazazi wao, hawataki kuwaza nje ya box, wanadhani mambo ndivyo yalivyo kwa jinsi walivyohubiriwa. Hawataki kufanya akili zao kuwa huru kuwaza na kutafuta ukweli wa mambo ya dini ndio maana husombwa na itikadi kali na chuki za kidini pasipo kuujua ukweli na ajenda zilizojificha ndani ya dini yao. Let them set free
IMG_20250312_130501_869.jpg
 
Samahani Kwa Kusema Hili Najua Kama Wewe Ni Mwislamu Na Umefunga Unaamini Kuwa Funga Hulipa Mungu peke yake na Hakuna Kiumbe chochote Kinahusika nayo..

Ila Kwa Jibu lako Hilo Umeharibu Funga Yako na Umeshinda Njaa Tu 🤣🤣
Nimekuwa Muslimu kwa Muda Mrefu sana Na Tamko kama Hilo Linaweza Kumtoa Mtu katika Uislamu..

Turudi Kuhusu Hadithi Ni Porojo 🤣🤣
Sikukatalii Wala Sikukubalii Kuhsu hilo ila Since Unafata Imani ya Kiislamu Hadithi ni tool ya Pili baada ya Quran..
Na Hii Inakubaliwa na Maulamaa wa Pande zote Na Wanazuoni wa Shia hata Wa Sunni kwa madhehebu yote..

Kupitia Hadithi Ndo hupatikana Sunna na maagizo ya Mtume..
Kama Quran inavyotaka Kufanyika..

Qur'an 4:59
"Enyi mlioamini! Mtiini Mwenyezi Mungu, na mtiini Mtume na wale wenye mamlaka miongoni mwenu..."

Qur'an 4:80
"Anayemtii Mtume, basi kwa hakika amemtii Mwenyezi Mungu..."

Qur'an 59:7

"Na anachokupeni Mtume chukueni, na anachokukatazeni jiepusheni nacho..."

Qur'an 3:31

"Sema: Ikiwa mnapenda Mwenyezi Mungu, basi nifuateni mimi, Mwenyezi Mungu atakupendeni na atakusameheni dhambi zenu..."

Qur'an 7:157


"Wale wanaomfuata Mtume, Nabii asiyejua kusoma wala kuandika, ambaye wanamkuta ameandikwa kwao katika Taurati na Injili, anawaamrisha mema na anawakataza maovu, na anawahalalishia vilivyo vizuri na anawaharimishia vilivyo vibaya, na anawaondolea mizigo yao na minyororo iliyokuwa juu yao..."


Nawwza Nikaandika Aya Nyingi sana Ila Haisaidii kitu Ila kama Ni muislamu Amini katika Uislamu ukitaka kuwa Kama Mimi Kuwa kama Mimi ila Usichanganye mawili
Sasa aya gani hapo imezungumzia hadithi!?.. hadithi zimekusanywa miaka 200+ baada ya kifo cha mtume, Mungu hawezi tuma miongozo miwili kwa nabii mmoja
 
Icho unachoongea ni recent event , hao waislamu ama wakristo waikuwepo huko miaka hata 2000 iliyopita ama ni kirusi ulichopandikiziwa kiasi kuwa unajiona mbingu ni ya kwenu wenye dini za weupe.

Naona unatetea kirusi ulichowekea na hakuna namna itabidi ukitetee kwa gharama yoyote.
Waambieni ukoo wako wote waombe ili upate gari.
Umeaminishwa kuwa ukipata gari kwa Aya ndio utakuwa binadamu wa aina Gani.
Rudia uafrika wako achana na utumwa, dini zinaleta disunity na chuki ndani ya jamii moja. Mana wewe hapo ulipo unajiona u sahihi kinyama wengine tunaenda jehanamu.
Wengine unawaona Kama hawastahili kuishi.
Eti wahindi wanaenda kuhiji hao si ni WA hivi juzi wanapokea mapokeo , mie naongelea India yenye budha na Hinduism miaka 70 bilioni iliyopita walikuwepo hao ama rationalize your instincts or emotions.
Hujiulizi why unavaa suti ama kanzu ama umeambiwa ule tende mbona afrika tuna vyakula asili so why ivyo vyakula vyao vinapigiwa chapuo kumbe watu wanapiga hela kwa uteja wa watu wajinga.
Hata salamu ya kwenu husalimii mpaka ya kiarabu ama kizungu kuwa ndio Muumbaji aliagiza ivyo.

Kwanza unanichosha Mana umeshaposwa lazima utetee bwana wako kwanza umeshaolewa kitambo lazima utamtetea kwa damu na jasho.
Unaongea vitu ambavyo huna Elimu navyo wala tafakuri navyo
Asili ya Binadamu ni moja nadhani ulikuwa hujui,Yaani tumetokana na Adam kwani Mungu akuumba wahindu kama kundi wala wazungu wala waafrika bali aliumbwa Adam peke Yake.
a
Hizi Race unazoziona ni kwa sababu tupate kujuana yaani ukiona mchina utambue huyu ni mchina kutoka Asia,ukimuona muhindi ujue huyu ni muhindi kutoka India Hivyo hivyo kwa waafrika na hata rugha ni hivyo.
Hata dini ni moja ukijaribu kuishirikisha Akili yako utagundua kilichofanyika ni kwamba yule aliye adui yetu Shetani ametumia kanuni ya wagawe uwatawale ila Mungu ni Mmoja na Dini ni Moja.
Kwa Akili ya kawaida aiingii Akilini Boga,Ng'ombe Hivi vitu ni miungu Kwa hao wahindu je nikuulize kwa Akili ya kwako ng'ombe anaweza kuwa Mungu?
Alafu hoja ya kwamba waafrika turudi kwenye asili yetu hujaanza wewe hata watu wa Nabii Ibrahimu waliwahi kuwa na hoja kama yako karne nyingi zilizopita Ndani Ya Quran Imebainisha pale Ibrahim alipowataka watu wake wamuabudu Mungu mmoja wao walimjibu hivi:Quran 43:22
Bali wanasema:Hakika sisi Tuliwakuta
Baba zetu wanashika Dini makhususi,Basi na sisi Tunaongoza Nyayo Zao.

Hao walikuwa watu wa Ibrahim.
Wasikie sasa Waarabu wa Macca pindi Mtume Muhammad S.A.W alipowataka waachane na ibada zao za masanamu na wamuabudu Mungu mmoja walimwambia:

Quran 5:104
Na wanapo ambiwa:Njooni kwenye
Yale aliyo yatelemsha Mwenyezi Mungu,Na kwa Mtume,Husema:Yanatutosha tuliyo wakuta nayo Baba zetu.Je hata ikiwa Baba zao walikuwa hawajui kitu wala Hawakuongoka.

Umeona hapo kwamba hayo madai yako sio mapya hapa Ulimwenguni na sio tu wewe mwafrika kuna race za wenzako walidai kama unavyodai?
Tumeitwa Umma bora kwa sababu ya Tabia yetu ya Kukatazana mabaya na kuamlishana mambo mema wewe na wenzako shikeni Jambo Hili:
Mungu Ni Mmoja Na Dini Ni Moja.
 
mtu anapewa akili halafu anakataa kwa kusema yeye ni muislam, huu si ni wehu?
The thing , they believe everything without questioning.

Kwenye uislamu unaamini kweli utakuta MTO una pombe peponi. Kama hapa duniani mmekatazwa iweje muikute peponi?

Kwanini Mama wa Yesu aelezewe kwenye Quran kuliko mama wa Mtume Muhammad ( S.A.W)?
 
sometimes Tuweke Pembeni Udini na Tuseme Ukweli..
Vipi wewe Ni muislamu?
Umewahi Kufanya Hija au Umra?
Au je Una Elimu ya Umra au Hija??

Unaijua Ibada ya "Istilam" (الإستلام). Ambayo ni sehemu ya Tawaf ikiwemo Kubusu na Kushika Al-Hajar Al-Aswad..

Hiyo Imedhihiri Kwa Mtume na Kwa karne na Karne imekuwa Ni sunna Miongoni mwa Sunna Zilizobora kwa Mwenye Kuhijji..

Katika Sahihi Bukhari Mlango wa Hijja Hadithi namba 1610, Iliyopokelewa kutoka Kwa Ibn Umar anasimulia Kuwa..

"Nilimwona Mtume wa Mwenyezi Mungu (S.A.W) alipokuwa akiwasili Makka, alielekea Al-Hajar Al-Aswad, akaligusa kwa mkono wake, kisha akautia busu." (Sahih al-Bukhari, Hadithi No. 1610)

katika Hadithi namba 1597 Umar bin Khattab (R.A) alisema wakati akilibusu Al-Hajar Al-Aswad:

"Najua kuwa wewe ni jiwe, huwezi kuleta madhara wala manufaa. Na kama nisingemuona Mtume wa Mwenyezi Mungu (S.A.W) akikubusu, nisingekubusu." (Sahih al-Bukhari, Hadithi No. 1597)

Sasa sijui Tunajitia Upogu wapi Ndugu zanguni Tukubali Wema Tukubali Pia Na Vitu vyote visimwavyo ambavyo tunavifanya si Vyema Kufanya Taqiya kwa Kukwepa Aibu
Kwahiyo waislamu wanaabudu jiwe?
 
The thing , they believe everything without questioning.

Kwenye uislamu unaamini kweli utakuta MTO una pombe peponi. Kama hapa duniani mmekatazwa iweje muikute peponi?

Kwanini Mama wa Yesu aelezewe Swkwenye Quran kuliko mama wa Mtume Muhammad ( S.A.W)?
Siku Nyingine Acha kujiuliza maswali ya kitoto Mbele za Watu Mambo kama haya huwa nakaa najiuliza peke yangu hivi na wewe uenda ni mtumishi wa Serikali uenda ni Mume/Mke wa Mtu tena na watoto juu.

Swali lako la kwanza nakujibu kama Akili yako ilipofikia tena nafanya kosa kukujibu mimi ilitakiwa nimwite mwanangu wa kike wa darasa la pili akujibu.
Waislam wameahidiwa pombe peponi kwa hulka ya mwanadam ya kupenda starehe na ktk starehe mwanadam anapenda ni pombe na ngono je unakubali au unakataa?
Sasa kwa kuwa hakuna binadam amewahi kuingia peponi Mungu ameamua kukupa mifano ya vitu unavyovijua na hata ukisoma hilo andiko la Ahadi ya pombe,Hiyo pombe ina sifa Tofauti na pombe wanayokunywa watu Duniani.
Alafu kuhusu kukatazwa pombe ya hapa duniani kunywewa ni sawa kwa sababu hii pombe ya wanadam ina sifa ya kutoa Akili na kualibu Mwili pale unapoitumia je kweli Ama urongo?
Pombe ya peponi haina hizo sifa kwa sababu Muandaaji ni yule aliyemuumba mnywaji hivyo anajua nini aweke na nini aondoe isiwe na madhara kwa Mtumiaji.
Na mfano lahisi ni kwamba Bange nchini Tanzania ni Khalamu ila Holland ni Halal.
Tanzania hapa hapa Gongo ni kosa kisheria kuuza na kunywa ila Konyagi ni Halal Haya Ebu tuelezee utofauti wa gongo na konyagi.

Na swali lako la mwisho umeji Expose jinsi ulivyo mweupe kichwani
Ilitakiwa uumize Akili yako juu ya jambo hilo na utafute Majibu.
Quran ni kitabu cha Mungu sio cha Muhammad S.A.W
Hivyo mwenye kitabu ndo ameamua kusimulia Khabari za Maryam na hiyo yote alifanya kwa sababu kupitia Maryam kuna mambo mengi humo kwa mfano:
Bint amejifungua angali akiwa bikra je jambo hilo ni la kawaida kwako?

Bint amempata mtoto ambaye watu huyo mtoto Wanamwita Mungu Jambo hili lilihitaji kupita bila kufanyiwa ufafanuzi wakati huo huo wanasema ni mwana wa Mungu (Ametakasika Allah)Haya mambo ilikuwa ni lazima Mungu achimbe Ndani kabisa kuhusu Maryam,Wapi katoka alikuwaje na kila kitu kumuhusu ilibidi mtume aambiwe na sio yeye tu Kuna Sura Nzima Kumuhusu Babu yake Na Maryam Inaitwa Surat al Imraan
kwa sasa ngoja niishie hapa nipo tayari kukufundisha.
 
  • Kicheko
Reactions: rr4
Acha uongo dogo. Uislamu una miaka 600 plus na alinzisha Muhamed na Majini yalikuwa ya kwanza kabisa kuslimu
Sawa Kubwa!Nipe Ukweli unapoambiwa neno Islam Linamaanisha nini?
Ukishajibu tutaamia sasa kujua kwamba nani mkweli kati ya Dogo na Kubwa.
 
Siku Nyingine Acha kujiuliza maswali ya kitoto Mbele za Watu Mambo kama haya huwa nakaa najiuliza peke yangu hivi na wewe uenda ni mtumishi wa Serikali uenda ni Mume/Mke wa Mtu tena na watoto juu.

Swali lako la kwanza nakujibu kama Akili yako ilipofikia tena nafanya kosa kukujibu mimi ilitakiwa nimwite mwanangu wa kike wa darasa la pili akujibu.
Waislam wameahidiwa pombe peponi kwa hulka ya mwanadam ya kupenda starehe na ktk starehe mwanadam anapenda ni pombe na ngono je unakubali au unakataa?
Sasa kwa kuwa hakuna binadam amewahi kuingia peponi Mungu ameamua kukupa mifano ya vitu unavyovijua na hata ukisoma hilo andiko la Ahadi ya pombe,Hiyo pombe ina sifa Tofauti na pombe wanayokunywa watu Duniani.
Alafu kuhusu kukatazwa pombe ya hapa duniani kunywewa ni sawa kwa sababu hii pombe ya wanadam ina sifa ya kutoa Akili na kualibu Mwili pale unapoitumia je kweli Ama urongo?
Pombe ya peponi haina hizo sifa kwa sababu Muandaaji ni yule aliyemuumba mnywaji hivyo anajua nini aweke na nini aondoe isiwe na madhara kwa Mtumiaji.
Na mfano lahisi ni kwamba Bange nchini Tanzania ni Khalamu ila Holland ni Halal.
Tanzania hapa hapa Gongo ni kosa kisheria kuuza na kunywa ila Konyagi ni Halal Haya Ebu tuelezee utofauti wa gongo na konyagi.

Na swali lako la mwisho umeji Expose jinsi ulivyo mweupe kichwani
Ilitakiwa uumize Akili yako juu ya jambo hilo na utafute Majibu.
Quran ni kitabu cha Mungu sio cha Muhammad S.A.W
Hivyo mwenye kitabu ndo ameamua kusimulia Khabari za Maryam na hiyo yote alifanya kwa sababu kupitia Maryam kuna mambo mengi humo kwa mfano:
Bint amejifungua angali akiwa bikra je jambo hilo ni la kawaida kwako?

Bint amempata mtoto ambaye watu huyo mtoto Wanamwita Mungu Jambo hili lilihitaji kupita bila kufanyiwa ufafanuzi wakati huo huo wanasema ni mwana wa Mungu (Ametakasika Allah)Haya mambo ilikuwa ni lazima Mungu achimbe Ndani kabisa kuhusu Maryam,Wapi katoka alikuwaje na kila kitu kumuhusu ilibidi mtume aambiwe na sio yeye tu Kuna Sura Nzima Kumuhusu Babu yake Na Maryam Inaitwa Surat al Imraan
kwa sasa ngoja niishie hapa nipo tayari kukufundisha.
IMG_20250312_130646_439.jpg
IMG_20250312_130605_605.jpg
 
mtu anapewa akili halafu anakataa kwa kusema yeye ni muislam, huu si ni wehu?
Uenda wewe na mwenzio mkawa wehu pro max kwa sababu hakuna chombo,mtu au kitu kinachoweza kumpa binadam ubongo.
Na huyo jamaa anaepewa ubongo na kukataa yuko sahihi huo ubongo anapewa aweke wapi?
mchoraji kabug mwambieni achore picha nyingine inayoonyesha mkataaji hana ubongo au alitaka huo ubongo auvae kama kofia?
Au mnajaribu kufarijiana na stori za Ngamia kupenya tundu la sindano?
 
Back
Top Bottom