Lupweko
JF-Expert Member
- Mar 26, 2009
- 23,566
- 24,891
Haufahamu soka la vilabu vya Africa wewe. Vilabu vyote vya Zimbabwe vimefikia walau robo fainali mara chache zaidi kuliko ilivyofikia Simba ya Tanzania pekee! Watu wengi mnashindwa kutofautisha mashindano ya vilabu na ya timu za taifaUoni zimbabwe ni majuu???
Sio sawa na mchangani bunju/boko