Azam Bhana! Hebu Angalieni Kwa Umakini Sana Simu Ya Huyo Kiongozi Wa Azam Aliyevaa Kofia ILIVYOCHOKA Na KUCHAKAA. Halafu Tunaambiwa Eti Ni Timu Ya Matajiri. Hata Mimi Ngumbaru ( Masikini ) Siwezi Kuwa Na Simu Ya Hovyo Iliyolika / Kuchakaa Kila Pembe.
Sawa mkuu ili kujikomboa kimaisha ila kumbuka kipaji chake ndiyo kazi yake
Kwa hivyo kipaji kinakua ukicheza simba pekee....hata bila kucheza mechi za kimataifa kama za Klabu Bingwa Africa....... .?
Mkuu tuvute subira msimu wa kwanza ukiisha tutajua huyu dogo kafikia wapi
Mkuu tuvute subira msimu wa kwanza ukiisha tutajua huyu dogo kafikia wapi
Azam nao siku hizi ni kuchukua tu watu wa simba na yanga, si ajabu mpira wao umeshuka!
Mkuu GENTAMYCINE heshima kwako,simu yake usikute ina air time yenye thaman ya simu yako teh teh teh
AMEPEWA 50milioni na mshahara wake utakuwa milioni 2 kwa mwezi amesaini mkataba wa miaka miwili
Ushuke Mara Ngapi? Wewe Unaona Wana AKILI Hao? Sasa Tega Sikio Usikie Tamko La Simba Weekend Hii Ambapo Litatoka Azimio La Wana Simba Wote Nchi Nzima Kugomea Products Zozote Za Azam Na Nadhani Kwa Hatua Hiyo Tutaheshimiana Hapa Mjini. Na Mnaokumbuka Hii Haitakuwa Mara Ya Kwanza Kwa Simba Kufanya Hivi Kwani Kipindi Kile Radio One Kupitia Maulid Kitenge Walipotukorofisha Simba Aden Rage Alituasa Wana Simba Wote Kuacha Kutumia au Kununua Products Zozote Zile Za IPP Media Na Kwakweli Tulifanikiwa Hadi IPP Wakaomba Po Kwa Simba Kwani Walipata Hasara Kubwa Mno Haswa Ukizingatia Kuwa Watanzania Wengi Matajiri Ni Mashabiki Wa Simba Tu Hapa Nchi Huku Wa Yanga Wakiishia Kugongea Tu Na Kudoea Kwa Wana Simba Majumbani Mwao.
Azam wadhamini wa Simba. Halafu kuna Azam kampuni na Azam timu ya mpira. Sasa ukigomea Azam Cola ya kampuni kwa masuala ya kimpira huoni itakuwa ni kuchanganya madesa?
Hagomewi mtu hapa ila Messi amekosa ushauri mzuri
na tukienda kutetea kombe letu Unguja tutapanda boti gani kma sio zao jamaaUshuke Mara Ngapi? Wewe Unaona Wana AKILI Hao? Sasa Tega Sikio Usikie Tamko La Simba Weekend Hii Ambapo Litatoka Azimio La Wana Simba Wote Nchi Nzima Kugomea Products Zozote Za Azam Na Nadhani Kwa Hatua Hiyo Tutaheshimiana Hapa Mjini. Na Mnaokumbuka Hii Haitakuwa Mara Ya Kwanza Kwa Simba Kufanya Hivi Kwani Kipindi Kile Radio One Kupitia Maulid Kitenge Walipotukorofisha Simba Aden Rage Alituasa Wana Simba Wote Kuacha Kutumia au Kununua Products Zozote Zile Za IPP Media Na Kwakweli Tulifanikiwa Hadi IPP Wakaomba Po Kwa Simba Kwani Walipata Hasara Kubwa Mno Haswa Ukizingatia Kuwa Watanzania Wengi Matajiri Ni Mashabiki Wa Simba Tu Hapa Nchi Huku Wa Yanga Wakiishia Kugongea Tu Na Kudoea Kwa Wana Simba Majumbani Mwao.
sasa kipaji bila hela kina faida gani? mwacheni akachukue mpunga dogo, ulishasikia mtu anaondoka azam huku anadai pesa yoyote?Sawa mkuu ili kujikomboa kimaisha ila kumbuka kipaji chake ndiyo kazi yake
sasa kipaji bila hela kina faida gani?
mwacheni akachukue mpunga dogo, ulishasikia mtu anaondoka azam huku anadai pesa yoyote?