Laurence
JF-Expert Member
- Jun 11, 2011
- 3,104
- 423
Azam Bhana! Hebu Angalieni Kwa Umakini Sana Simu Ya Huyo Kiongozi Wa Azam Aliyevaa Kofia ILIVYOCHOKA Na KUCHAKAA. Halafu Tunaambiwa Eti Ni Timu Ya Matajiri. Hata Mimi Ngumbaru ( Masikini ) Siwezi Kuwa Na Simu Ya Hovyo Iliyolika / Kuchakaa Kila Pembe.
Mkuu GENTAMYCINE heshima kwako,simu yake usikute ina air time yenye thaman ya simu yako teh teh teh
Last edited by a moderator: