Hechy Essy
JF-Expert Member
- Mar 30, 2023
- 640
- 2,413
- Thread starter
- #21
Karibu mkuuSafi saana
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Karibu mkuuSafi saana
Ndio mkuu, uko sahihi kabisa japo ni wachache wanaohitaji hiyo huduma..wengi wanawaamini mafundi waoMkuu kujenga kunahiraji usimamizi pia
Habari mkuuMkuu umetisha sana.
Ahsante sana kwa nondo iliyoenda shule.
Mimi naomba unisaidie picha ya baadhi ya kazi zako iwe ni nyumba ya chumba 3 na nyingine 4 zenye sebule, jiko, vyoo 2,dining na uzio ili nijiridhishe muonekano na ubora wake kabla sijafanya maamuzi.
Ahsante sana.
nakadirio bei gan?Ramani, Makadrio na Ushauri wa kitaalam kuhusu ujenzi tuwasiliane
Bei inaanzia 50,000 na kuendelea mkuu, inategemea na ukubwa / aina ya nyumba. Ukishakuwa na makadirio full, utaepukana na zile gharama za kumlipa fundi kuja site kupima pima mfano fundi tiles akija lazima atapima kwanza ili akupe hesabu ya vifaa (atakata umpe nauli) n.knakadirio bei gan?
vipande kutoka Room A si vitaenda kutumika Room B?Wakati mwingine design inaweza kuchangia ongezeko la gharama za ujenzi mfano unaweza ukakuta chumba kina urefu wa mita 3.7 kwa upana wa mita 4.3 ambapo ukija kwenye kazi kama za tiles, gympsum n.k unabaki na wastage (vipande visivyotumika) nyingi wakati kama chumba hicho hicho kingekuwa na urefu wa mita 3.6 kwa upana wa mita 4.2 au 3.9 ungepunguza hii wastage na kuokoa gharama
Nikitolea mfano wa tiles, tiles zipo za 30cmx30cm, 40cmx40cm,50cmx50cm n.k
Mita 3.6 inagawanyika kwa 30cm au 40cm bila kubaki lakini mita 3.7 inagawanyika kwa 30cm na kubaki 10cm hivyo itakulazimu ukate vipande ili uweze kujazia hizo sehemu zilizobakia. Ni vyema ktk designing ukazingatia vitu kama hivi ili mwisho wa siku usiingie gharama zisizo na ulazima
Ni kweli lakini kuna vipande vingine ukivikata huwezi ukavitumia tena sehemu nyingine..kama vipimo utavipangilia vizuri, utajikuta umebaki na wastage chache sana (vipande ambavyo ni vidogo vidogo sana)vipande kutoka Room A si vitaenda kutumika Room B?