Nzagambaaa
JF-Expert Member
- Jan 22, 2023
- 1,135
- 1,826
Achana nae, Mwenye kipato hanaga zarau za kishamba hizi....hii kenge Moja tu inasubili ugari kwa Shemeji yake.Sawa ndg, All in all jaribu kuheshimu kitu kinachompatia mtu riziki hata kama kwako hakikufai kwa maana ni Mungu Mwenyezi ndiye aliyempangia apate riziki kupitia kitu hicho. Haijalishi una mali kiasi gani, una cheo gani maisha ni mapito hivyo hakuna sababu yoyote inayoruhusu binadamu kudharauriana. Ramani yangu ni takataka sawa, lakini kuna elimu pia naitoa hapo mbali na kuuza ramani (hata hiyo pia haikufai?)