Hechy Essy
JF-Expert Member
- Mar 30, 2023
- 640
- 2,413
- Thread starter
- #41
Ramani, Makadrio na Ushauri wa kitaalam kuhusu ujenzi tuwasiliane
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nakuomba PM mkuuJe wajua milango (frame na top zake) na madirisha ( grill na aluminium zake) pekee huchukua kati ya asilimia 20 mpaka 30 ya gharama zote za ujenzi wa nyumba?
Maelezo yako yote ni mazuri sanaJe wajua milango (frame na top zake) na madirisha ( grill na aluminium zake) pekee huchukua kati ya asilimia 20 mpaka 30 ya gharama zote za ujenzi wa nyumba?
Karibu mkuu, upate ramani pamoja na makadirio yakeMaelezo yako yote ni mazuri sana
Hii ramani ,, nyumba yake inaweza cost kama Shilling ngapi?PLN 0001 2BR
Ramani ya Vyumba Viwili
- Living room (Sebule)
- 1 Master bedroom with a Dressing room (W.I.C)
- 1 Single bedroom
- Kitchen (Jiko)
- Public toilet (Choo cha jumuiya)
Ramani hii ina privacy na ventilation ya hali ya juu sana
Bei: Tsh. 100,000/=
Ramani inakuwa na Makadirio yake ya vifaa vya ujenzi kuanzia hatua ya msingi mpaka finishing ambapo itakusaidia kukuongoza katika manunuzi ya vifaa na kuepuka kulanguliwa na mafundi wenye tamaa ya kukuzidishia hesabu ili wajinufaishe zaidi.
View attachment 2694970
Inategemea na mkoa unapotaka kujenga maana bei za material hazifanani, lakini pia inategemea na aina ya umaliziaji wa nyumba (finishing). Mwingine anaweza akaweka dirisha za mbao na wavu, mwingine akaweka grill na aluminiumHii ramani ,, nyumba yake inaweza cost kama Shilling ngapi?
Nailoni lina kazi yake, na mkanda pia una kazi yake, havitegemeani. Nailoni linaitwa DPC (Damp proof course)Niko n swali hv mtu akishindwa kuweka mkanda kwenye msingi wa fensi si anaweza kuweka lile nailoni turubai. Au ni nailoni special? Je linaitwaje?
Asante
Alishakupa mkuu amaMkuu umetisha sana.
Ahsante sana kwa nondo iliyoenda shule.
Mimi naomba unisaidie picha ya baadhi ya kazi zako iwe ni nyumba ya chumba 3 na nyingine 4 zenye sebule, jiko, vyoo 2,dining na uzio ili nijiridhishe muonekano na ubora wake kabla sijafanya maamuzi.
Ahsante sana.
Takataka hiiPLN 0001 2BR
Ramani ya Vyumba Viwili
- Living room (Sebule)
- 1 Master bedroom with a Dressing room (W.I.C)
- 1 Single bedroom
- Kitchen (Jiko)
- Public toilet (Choo cha jumuiya)
Ramani hii ina privacy na ventilation ya hali ya juu sana
Bei: Tsh. 100,000/=
Ramani inakuwa na Makadirio yake ya vifaa vya ujenzi kuanzia hatua ya msingi mpaka finishing ambapo itakusaidia kukuongoza katika manunuzi ya vifaa na kuepuka kulanguliwa na mafundi wenye tamaa ya kukuzidishia hesabu ili wajinufaishe zaidi.
View attachment 2694970
Sawa ndg, All in all jaribu kuheshimu kitu kinachompatia mtu riziki hata kama kwako hakikufai kwa maana ni Mungu Mwenyezi ndiye aliyempangia apate riziki kupitia kitu hicho. Haijalishi una mali kiasi gani, una cheo gani maisha ni mapito hivyo hakuna sababu yoyote inayoruhusu binadamu kudharauriana. Ramani yangu ni takataka sawa, lakini kuna elimu pia naitoa hapo mbali na kuuza ramani (hata hiyo pia haikufai?)Takataka hii
Mtaalamu hayo matundu yanasaidia nini?Ni muhimu sana kuacha matundu katika kuta za msingi ili kuruhusu ardhi ipumue na kuzuia nyufa zitokanazo na joto kali lililopo chini ya ardhi. Matundu yasiwekwe katika usawa mmoja, weka katika level mbili yaani chini na juu katika kila umbali wa mita moja mpaka mita moja na nusu kati ya tundu na tundu kuzunguka kuta. Kwa kuwa joto huwa linaongezeka zaidi kadri unavyoenda chini, basi weka matundu mawili chini, tundu moja juu kwa kufatana kuzunguka kuta