Hechy Essy
JF-Expert Member
- Mar 30, 2023
- 640
- 2,413
- Thread starter
- #281
Kipindi cha mvua kubwa, nyumba nyingi utaona zile bomba za kukingia maji ya mvua (gutter) zinan'goka. Kitaalam ni vizuri kila upande wa nyumba ukaweka down pipe moja ya kushusha maji chini lakini pia gutter ukiiweka level, maji yanakuwa yanatuama kwenye bomba bila kutembea.
Inatakiwa wakati wa kufix gutter, fundi atumie pima maji ambapo anatakiwa aweke slope ndogo sana ambayo haiwezi kuenekana kwa macho ili maji yanapokuwa yanaingia kwenye bomba yawe yanaondoka muda huo huo kuelekea mahali unapotaka yaende
Inatakiwa wakati wa kufix gutter, fundi atumie pima maji ambapo anatakiwa aweke slope ndogo sana ambayo haiwezi kuenekana kwa macho ili maji yanapokuwa yanaingia kwenye bomba yawe yanaondoka muda huo huo kuelekea mahali unapotaka yaende