Hechy Essy
JF-Expert Member
- Mar 30, 2023
- 640
- 2,413
- Thread starter
- #621
Ulishawahi kuona mahali nyufa zinatokea katika kuta kabla hata ya udongo(mortar) kukauka?
Sasa hiyo hali huwa inasababishwa na udongo kuwa na maji mengi katika uchanganyaji. Udongo ambao unakuwa na maji mengi bado unakuwa na mjongeo (slump) kwa hivyo kadri unavyoendelea na ujenzi na wenyewe unakuwa unashuka chini taratibu taratibu na kufanya huo udongo uachane na tofali.
Udongo wa kujengea unatakiwa uwe mgumu kiasi kwamba hata ukichukua ndoo ukaujaza huo udongo, kisha ukaumwaga mahali, ile shape ya ndoo unakuwa unaiona na sio kutawanyika wote chini (collapse)
Ramani, Makadirio au Ushauri tuwasiliane
Sasa hiyo hali huwa inasababishwa na udongo kuwa na maji mengi katika uchanganyaji. Udongo ambao unakuwa na maji mengi bado unakuwa na mjongeo (slump) kwa hivyo kadri unavyoendelea na ujenzi na wenyewe unakuwa unashuka chini taratibu taratibu na kufanya huo udongo uachane na tofali.
Udongo wa kujengea unatakiwa uwe mgumu kiasi kwamba hata ukichukua ndoo ukaujaza huo udongo, kisha ukaumwaga mahali, ile shape ya ndoo unakuwa unaiona na sio kutawanyika wote chini (collapse)
Ramani, Makadirio au Ushauri tuwasiliane