Njia ya mawasiliano unayotumia ni ngumu sana ndg na hata kule inbox nilikuambia. Ukipiga voice call, ili mtu aone kama simu inaita na apokee ni mpaka awepo online, tunakuwa tunapichana muda wa kuwepo online.
Atleast ungekuwa unaacha voice note, ili hata mtu akiingia online asikilize lakini kupiga voice call pekee, ni mtihani ndg.
Wakati wa kudesign, kuna vitu pia nitahitaji kukuuliza na kama haupo online maana yake itabidi nisitize zoezi kwanza mpaka nitakapopata feedback yako ya kuendelea mbele na zoezi, inaweza muda mrefu kumaliza hiyo kazi